Mama yake Feisal Salum 'Fei Toto' Kamaliza Utata na Kutema Nyongo dhidi ya Yanga SC

Mama yake Feisal Salum 'Fei Toto' Kamaliza Utata na Kutema Nyongo dhidi ya Yanga SC

Nimeshiba leo ugali na sukari

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Virutubisho kama vyote
img_1_1678030165992.jpg
 
Kwenye maisha ya soka ya fei hayahusiani na familia yake,ko mayele akila ugali na sukari mama ake afurahi tu
Mayele ni mtu mzima, na pia ni baba wa familia. Hivyo ana uelewa mkubwa kuhusu maisha. Hata itokee akapitia changamoto kubwa kiasi gani! Kwake zitampa nguvu ya kupambana zaidi, ili kufikia kilele cha mafanikio yake.

Huwezi kumtolea mfano unaofanana na huyo mtoto wa mama Fei Toto.
 
Back
Top Bottom