balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Umenena vyema ,mkuuHajamalza utata hapa anataka haki isitendeke kwa kisingizio Cha unyonge mfano mzuri juve amekatwa point kwasababu alichokua nalipa na kwenye mikataba inasoma havikua sawa sasa Fei na Yanga hatukatai alilipwa mshahara mdogo kuliko anao staili lakini huo ndio ulio kua unasoma kwenye mkataba na huo ndio serikali ilikua inakata Kodi hivyo hajamaliza utata wala nini
Mama yake ni nani katika serikai na mamlaka za soka? Huyo mama yake kwanini asingekaa naye acheze naye jikoni! Subiri mamlaka ziamue.Mama yake ameshaamua endeleeni sasa Kudanganyana, kulishana Ujinga na Kupoteza muda.
Kwani wanajua maana ya presidence?Leo wanasimba mnafurahia. Lakini kumbukeni huyu dogo anatengeneza precedent mbaya sana kama atashinda. Kesho wachezaji watakuwa wanajiondokea kiholela tu kwenye timu
Bi mkubwa hawajui wanasheria maneno aliyo ya ongea wakili wa Yanga anaweza kuyatumia na kuzidi kumpa hali mbaya Fei.Unakula ugali na sukari
Alafu.
Unaweza kurudisha mil 112 kwa Yanga.
Unaweza kusafiri kwenda Dubai na kumlipa trainer binafsi.
Asee tusifanyane wajinga.
Wateendelea tu kulishana ujinga subiri utaona.Ndiyo maana nilishasema sibishani tena na shabiki ambaye timu yake haishiriki Super League.Mama yake ameshaamua endeleeni sasa Kudanganyana, kulishana Ujinga na Kupoteza muda.
We bana unakuwa kama Jemedari Said Kazumari."Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.
GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.
Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
Mshahara wa 4m anakula ugali sukari.Shida watu wanaparamia tu af hakuna sehemu ya mkataba imesema fei asile ugali na sukari unajua duniani kila mtu anakitu chake chakijinga anapenda ko huwenda anapenda Ivo yeye ila sasa wehu ya simba ndo wamesimamia apo
Labda tumtumie makonda,, 😁😁"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.
GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.
Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
Nilikua sielewi kwanini wadau hua wanakutukana ,, ila kwa sasa nmeelewa.Mama yake ameshaamua endeleeni sasa Kudanganyana, kulishana Ujinga na Kupoteza muda.
Hata angekuanazo hela nyingi zaidi ya hizo hawezi kuvunja mkataba kama aliovunja yeye,, hakuna timu duniani inaruhusu mchezaji kuvunjwa mkataba pekeake bila bila kuzingatia vipengere vya mkatabaMchezaji hawawezi kujiondokea kama kwenye mkataba hakuna kipengele kinachomruhusu kuvunja mkataba kwa kutoa kiasi fulani cha pesa.
Yaani mlimdharau Feisal hadi mkadhani hawezi pata milioni 100 za kuvunja mkataba.
Bado game 7 wale mbwa wachukue tenaWateendelea tu kilishana ujinga subiri utaona.Ndiyo maana nilishasema sibishani tena na shabiki ambaye timu yake haishiriki Super League.
Mke ukiwa mcharuko, mme atatafuta kwingine ambako atapewa heshma yake.
Sawaaa ila kumbuka hiyo milioni 100 ilikuwa pia ni kipengele cha mkataba.Hata angekuanazo hela nyingi zaidi ya hizo hawezi kuvunja mkataba kama aliovunja yeye,, hakuna timu duniani inaruhusu mchezaji kuvunjwa mkataba pekeake bila bila kuzingatia vipengere vya mkataba
Mnaacha kufuatillia timu isipigwe tena Chuma tatu mna kazi ya kufuatillia mambo ya Yanga 😂😂"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.
GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.
Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
Vipi mkataba wa SportPesa!? Mlikuwa sawa kupachika mdhamini mwingine!?Leo wanasimba mnafurahia. Lakini kumbukeni huyu dogo anatengeneza precedent mbaya sana kama atashinda. Kesho wachezaji watakuwa wanajiondokea kiholela tu kwenye timu
Kipi ni kipi "presidence", " precedent" "precedency, au " president"?Kwani wanajua maana ya presidence?
Wee nawewe unaongeaa upupu gani eti supercup wakt mnakuja kututia aibu taifaWateendelea tu kulishana ujinga subiri utaona.Ndiyo maana nilishasema sibishani tena na shabiki ambaye timu yake haishiriki Super League.
Duh kumbe ndiyo hivyo. Hapo kwenye siri ni kuwa kuna kigogo mmoja alitaka kumfanyia usodoma dogo ndiyo hasa kiini cha yote haya. Dogo alikasirika na kujiapiza kuwa ni Bora akavue samaki au awe mkwezi kuliko kucheza mpira Yanga kwa kitendo hicho cha kuombwa penzi kwani dogo siyo mshiriki wa huo upuuzi. Ameamua kutumia tafsida tu kutoa sababu ya mshahara mdogo,lakini ugomvi wa Feisal na Yanga ni huyo tajiri kumtongoza dogo."Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki .