Mama yake Feisal Salum 'Fei Toto' Kamaliza Utata na Kutema Nyongo dhidi ya Yanga SC

Kwenye maisha ya soka ya fei hayahusiani na familia yake,ko mayele akila ugali na sukari mama ake afurahi tu
Mayele ni mtu mzima, na pia ni baba wa familia. Hivyo ana uelewa mkubwa kuhusu maisha. Hata itokee akapitia changamoto kubwa kiasi gani! Kwake zitampa nguvu ya kupambana zaidi, ili kufikia kilele cha mafanikio yake.

Huwezi kumtolea mfano unaofanana na huyo mtoto wa mama Fei Toto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…