Mama yako na Mke wako nani anastahili kukaa siti ya mbele ya Gari yako mnapotoka wote kwa pamoja?

Mama yako na Mke wako nani anastahili kukaa siti ya mbele ya Gari yako mnapotoka wote kwa pamoja?

Pia cha kujazia nyama kwa kuzingatia sehemu husika mfano mnaenda nyumbani kwa mkeo basi mkeo lazima akae mbele mama atawasindikiza nyuma, ninaposema nyumbani namaanisha nyumbani kwao kwa baba na mama yake mama yako akija atawaacha mkae mbele huko mjigalamue yeye atakaa nyuma km mpambe tu wa shughuli
 
Kwakua umesha muita mke, basi jitahidi umpe heshma yake kwasababu hata mama yako alikua paswa kuipata heshma hiyo kwa baba yako.
Ukiamua kuoa, ebu usilazimishe kufananisha nafasi na mke wako na mama yako...🤨
Mama anastahili upendo kutoka kwa mtoto wake, lakini mama yako hapaswi kuiziba nafasi ya mke wako (kama umeamua kuoa).
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Mke ndio mama. Mama kazi yake kama mama imeisha, anageuka na kuwa mtoto. For me wife ndio mama yangu.. ingawa vichacha mama anarudi kuwa mama
 
Back
Top Bottom