Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitamuuliza ibengeWakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Kwani kukaa siti ya mbele kuna kipi kizuri au kibaya anachokipata mkaaji?Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Mlango wa kuzimuukijua kwanini rais hakai siti ya mbele hautaipa hadhi hiyo seat.
Kifo mkononi, halafu siku hizi umekuaje lakini?Mom siti ya mbele yaani ni ile kumpa heshima na kuepusha vinyongo vinavyoepukika
Sio mbele ya mti wa mperaMimi sina gari sasa, labda wakae mbele ya nyumba
Kwanza mama kama anajitambua utamkuta yeye mwenyewe amekaa siti ya nyuma hata bila kuambiwa.Kama mama yako alikulea kwa malezi yatakayokufanya umpe priority yeye badala la mke wako. Basi ni ukweli kwamba mama yako alifail kwenye malezi yako. Soma uelewe
Umemaliza kila kitu. Mrisha. 🤣🤣Kwanza mama kama anajitambua utamkuta yeye mwenyewe amekaa siti ya nyuma hata bila kuambiwa.