Mama yako na Mke wako nani anastahili kukaa siti ya mbele ya Gari yako mnapotoka wote kwa pamoja?

Mama yako na Mke wako nani anastahili kukaa siti ya mbele ya Gari yako mnapotoka wote kwa pamoja?

Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Kaa mbele na mke wako,mama mkwe alae na mumewe nyumba huko!
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Sii mnunue gari mbili tuu, mama mzazi awe nangari lake. Wewe na bby wako upo na gari lenu
 
Vitu vingine hata hakuna haja ya kuwaamsha great thinkers, unaweza kupata jibu mwenyewe kwa jambo kama hilo kwa kujiuliza swali Moja tu. Nalo ni hili, je, ukikosea kushika gear shaft mkono utaangukia mapajani kwa mkeo au mama'ako?!! Yupo hapo kati yao haitakiwa kabisa kumgusa?
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
tukiwa wote watatu, yani mimi mume wangu na mzazi wake au wangu, inapaswa mzazi akae nyuma as mgeni na sio nimpishe mbele. But if tuko na kijana wetu au mwanaume mwingine ndani ya gari, basi kijana wetu au huyo mwanaume mwingine atakaa siti ya mbele na mzee,,then mimi na mama mkwe tunakaa nyuma. just simple
 
Pia cha kujazia nyama kwa kuzingatia sehemu husika mfano mnaenda nyumbani kwa mkeo basi mkeo lazima akae mbele mama atawasindikiza nyuma, ninaposema nyumbani namaanisha nyumbani kwao kwa baba na mama yake mama yako akija atawaacha mkae mbele huko mjigalamue yeye atakaa nyuma km mpambe tu wa shughuli
Mzee punguza izo stick zinakuleta makosa
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Kuna siku mtakuja na nyuzi za kuuliza eti kati ya mama yako na mke wako ni yupi "anastahili kulala na wewe master bedroom"
 
Mbele nakaa na chaliangu nyuma atakaa bibie na bimkubwa , kama chaliangu ameenda shule mbele nakaa mwenyewe nyuma bimkubwa na beib
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Mke wangu ndiyo anastahili..
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Mke wako siti ya mbele
 
Back
Top Bottom