Mwambie mama yako asifanye hvo.... Angekuwa yeye ndo kaolewa anafanyiwa hivyo angejisikiaje........ Tusipende kuwafanyia watoto wa wenzetu matukio na matendo ya kuumiza hata kama Wana kasoro au hatuwapendi..... Wema ni akiba na ubaya ni akibaNlihamua kuishi na mke wangu kwetu. Lakini mama yangu amekuwa changamoto kwa mke wangu. Tumehamua kuhama tumepanga Bado anampigia mke wangu usiku na matusi juu.
Lawama zilizidi kati ya ndugu Kuja kwa wangu, mwisho mke wangu akawa Hana amani. Tukahamua tuhame Sasa mama muda wote anamjazia sms za matusi mke wangu. Najuta kuishi nyumbani na mke wanguSababu ya kumtukana ni ipi?
Hapana bado hajazaaNgoja kwanza kuna story ume ruka .kwanza uku mzalishia nyumbani kweli uyo ndo uka pewa wakati uja jipanga
Graduate. Huo uandishi ni kwasababu ya mihemukoSorry natoka nje ya mada kidogo. Hivi umesoma mpaka la ngapi mkuu? Samahani lakini huu uandishi wako unanifanya nihisi pengine mwenzetu ulirushwa darasa, somo la muandiko hukua unalipa uzito sana...
Wewe ludi kwenu dodomaWazee wana smell rat from far
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inabidi uhamue kumchimba biti mama yako...la sivyo mkeo atahamua kuondoka na kuikimbia ndoa
Kwetu ni Kilwa kivinjeWewe ludi kwenu dodoma
Na asipohamua mapema hataweza kuhamua tena maana kuhamua pia lazima uhamue kuhamua au nasema uhongo ndugu zangu?Inabidi uhamue kumchimba biti mama yako...la sivyo mkeo atahamua kuondoka na kuikimbia ndoa
Yeye ameshahamua kuhandika hivyo na ataendelea tu kuhandika hivyoSorry natoka nje ya mada kidogo. Hivi umesoma mpaka la ngapi mkuu? Samahani lakini huu uandishi wako unanifanya nihisi pengine mwenzetu ulirushwa darasa, somo la muandiko hukua unalipa uzito sana...
Atatukimbia huyu na kususa kuendelea na michango yake na atarudi kumtafuta Headmaster wake wa IFUNDAKwetu ni Kilwa kivinje