Mama yangu anamchukia mke wangu

Mama yangu anamchukia mke wangu

Sorry natoka nje ya mada kidogo. Hivi umesoma mpaka la ngapi mkuu? Samahani lakini huu uandishi wako unanifanya nihisi pengine mwenzetu ulirushwa darasa, somo la muandiko hukua unalipa uzito sana...
Mkuu
Kwani ujaelewa ujumbe wa huyu ndugu au.
Kama unamshauri Ndugu yetu toa ushauri

Habari za kusoma hayana maana yoyote hapa mkuu.
Ila
Omba yasikukute.
 
Back
Top Bottom