Mama yangu kwanza

Mama yangu kwanza

Hasira za nini?
We kama unawaza kupata urithi waza tu wengine tunamjua mama kuliko baba na ndugu za mama ndio tunawajua zaidi

Mama yangu kwanza kwenye kila kitu mali, kipaombele, hata ushauriii

Usikaririiiii kila mtu atabeba kile kinachompendeza ila mama hawezi mtupa mtu tofauti na baba yako sawa
We sema tu kuwa humjui baba yako, km baba yako angekuwepo na mnaishi wote usingesema hivyo unless una chuki binafsi na baba yako. Kiualisia nyie ndiyo mmekuzwa na ma-single mother na kukosa malezi ya baba.
 
We sema tu kuwa humjui baba yako, km baba yako angekuwepo na mnaishi wote usingesema hivyo unless una chuki binafsi na baba yako. Kiualisia nyie ndiyo mmekuzwa na ma-single mother na kukosa malezi ya baba.
Unaropoka sana kijana
Baba yangu namjua ndio aliye nipa mahitaji na mpaka sasa anamchango mkubwa sina chuki nae
Ila mama kaplay part kubwa kuhakikisha nakuwa hivi nilivyo nafasi yake ipo kipekee
 
Kiufupi tu:
Vijana wa kiume nawapa tu ushauri wa Bure kuwa km unataka mke wa kweli wa kuoa (wife material) sifa mojawapo iwe ni kulelewa na wazazi wote 2 au awe amelelewa na baba yake pekee. Iwapo huyo mke kalelewa na mama pekee basi iwe ni kwa sababu ya kufiwa na mume na siyo vinginevyo. Zingatieni hiki kigezo, mtakuja kunikumbuka. Mtoto alielelewa na single mother, 99% wanachangamoto za kisaikolojia na hao ndiyo wanaokuja humu na kuonesha makasiriko kwa wanaume.

Narudia tena na tena, zingatieni kigezo hiki, mtanishukuru siku moja.
 
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia upendo, ulinzi, na kumwezesha kukua na kuwa mtu mzima.

Kuna dhana potofu kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini hiyo si kweli. Mama ndiye mwanamke anayependa mtoto wake kwa dhati, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto wake wa kiume.

Mama anampenda mtoto wake kwa sababu ya uhusiano wa kipekee kati yao. Kwa kweli, upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume hauna kifani. Hata kama mtoto wake anafanya makosa au anapitia changamoto, mama yake ataendelea kumpenda kwa dhati na kusimama naye katika kila hali.

Mama ndiye mtu anayejua mambo mengi kuhusu maisha ya mtoto wake wa kiume. Yeye ndiye anayejua jinsi ya kumpa ushauri bora na kumwezesha kupata mafanikio katika maisha yake. Mama anafanya kila awezalo kumtunza mtoto wake na kumpatia msaada wa kihisia, kiroho na kifedha, hata kama mtoto wake wa kiume amekwisha kuoa.

Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote ule.

Kwa hiyo, dhana kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati ni potofu na haikubaliki. Mama ndiye mwanamke anayempenda mtoto wake wa kiume kwa dhati na kuwa na uhusiano wa kipekee naye. Upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa milele na hautawahi kumalizika.


Asanteni 👍
Cc; Achraf Hakimi.
 
Unaropoka sana kijana
Baba yangu namjua ndio aliye nipa mahitaji na mpaka sasa anamchango mkubwa sina chuki nae
Ila mama kaplay part kubwa kuhakikisha nakuwa hivi nilivyo nafasi yake ipo kipekee
Wewe hujiwezi kichwani, uliwezaj kupima uwajibaki wa baba na mama Yako angali ukiwa mdogo. Tena una kili mwenyewe kuwa baba yako ka-play part kubwa hadi hapo ulipo, then hapo hapo unasema hafai mama yako ndiyo Kila kitu. Pole sn. Sema hata unayoandika humu baba yako hayaoni laiti km.
 
Wewe hujiwezi kichwani, uliwezaj kupima uwajibaki wa baba na mama Yako angali ukiwa mdogo. Tena una kili mwenyewe kuwa baba yako ka-play part kubwa hadi hapo ulipo, then hapo hapo unasema hafai mama yako ndiyo Kila kitu. Pole sn. Sema hata unayoandika humu baba yako hayaoni laiti km.
Hujui kusoma pili una IQ ndogo siwezi bishana na mtu aliyefeli
 
Back
Top Bottom