Mama yangu mzazi aliwahi kuniambia bora nife tu apumzike

mtafute Naa kaka
 
Inaishaje na hujamla Naa?

Kwa ninavyokujua tafadhali endeleza Uzi mwehu wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nimela ila haujasoma kwa kutulia kuna kipande mtu aliliwa
 
Uandishi mzuri sana, umebeba maneno aliyokwambia Mama, na mwisho wa hayo maneno, complete set, sasa nataka kusikia siku moja unamtunza Mama yetu shujaa
Amin mkuu iwe kheri siku mmoja 🀲🀲🀲
 
Nikafikiri utakuwa Baba Somoe πŸ˜‚utarudi dar el usome chuo kisha umuite mjini.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Naogopa sna kuwa baba wa kambo si unajua tena mtoto wa kambo unaweza ukataka kumuwekea sukari kwenye chai akaenda kutangaza nje kuwa ulitaka kumuwekea sumu
 
Natamani kujua mwisho wa Naa jamani
Maneno ya mama yamenichoma 😭
Daaah sijui yupo wapi ila nadhn atakuwa ameshaolewa na kama watoto basi atakuwa anao weng sna maana ni mda sana tokea tumekutana mara ya mwisho pale kwa mganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…