Mama yangu na kaka yangu ni wachoyo sana, wanafunga friji wafanyakazi wasile, lakini ni washika dini sana

Mama yangu na kaka yangu ni wachoyo sana, wanafunga friji wafanyakazi wasile, lakini ni washika dini sana

Katika vitu nilivyojisemea enzi za ubachela ni kutokuoa mwanamama aloshika “dini”
Wengi wa walioshika dini mara nyingi tabia zao wameziweka pembeni kwa ajili ya matumizi ya baadae
Kwangu mwanamke bora ni yule niliyemkuta kama ni mchoyo au mnywaji ama vyovyoye ilimradi najua rangi yake ni either nichague kuishi nae au laa ila siyo mshika dini unakua obsessed na maombi/ kunena kwakw lakini siku unaweka ndani unakuta kile ulichokidhania sicho. Ni heri aupate wokovu/aanze kuswali swala 5 akiwa ndani kwangu ila siyo nikamuokote ananena kwa lugha au ana swala 5
Wengi wanajifanya kuokoka lakini lengo lao ni kuolewa na hakuna kingine. Sasa akishaolewa ndio tabia yake yote unaiona. Kuna wengine anasema kaokoka lakini hata kabla ya ndoa unaona ana tabia za kukwaza kwaza.
 
Hizo Dhambi za asili unazosema zina athiri Sana utu wa ndani wa mtu lakini ikiwa unamtumikia Mungu kwa uaminifu na unasoma sana Biblia au Quran,na ukaishi sawasawa na Maagizo ya Neno linavyosema huku akimwomba Mungu,
Hakika Mungu ni mwaminifu atakubadilisha tuu utu wa ndani yako,na hiyo Dhambi za asili taratibu zitaondoka ndani yako lakini itakutaka usimame vizuri kumwishi Mungu kweli kinyume na hapo utakuwa unafanya unafiki mwingi

Katika maisha yangu kuna vitu nilivyogundua, wapo watu wanashika dini saana lakini vipo vitu/dhambi za asili zinazowadrive ni ngumu kuviacha hata uwe padree au mchungaji, mfano kiburi, hasira, uchoyo,tamaa,ufuska n.k kama hipohipo tu hata kama ukiwa deep kwenye dini kiasi gani bado huwezi kuviacha, ndio maana makanisani kwetu mpaka wachungaji wanagombana n.k
 
Wengi wanajifanya kuokoka lakini lengo lao ni kuolewa na hakuna kingine. Sasa akishaolewa ndio tabia yake yote unaiona. Kuna wengine anasema kaokoka lakini hata kabla ya ndoa unaona ana tabia za kukwaza kwaza.
Kuna kitu kingine ni muhimu kujua, hasa dini.
Kuna mmoja alibadili dhehebu ili afanane na boss wangu,huyo boss wangu akapeleka hadi posa kwao bahati iliyoje yule mwanadada akaongea na mtu kuwa baada ya ndoa atarudi nakosali. Concept kwake ilikua ni avalishwe tu pete mengine yatavo-sort matokeo yake boss kamsusia na mahari kila siku binti kilia.
Hii pia nimeona mtu kambadili binti dini ili wafanane mapenzi yalipokua ya kawaida binti karudi kwenye dini yake.
Nadhani hapo lazima kujua hayo.
 
Unapom
Dini zote kubwa zinahalalisha mambo ya watumwa hivyo usiwe na shaka hao wafanyakazi wanatumikishwa hapo ni watumwa wao wanatimiza dini yao tu
Kama wakristo biblia inasema kabsa "Enyi watumwa watiini mabwana zenu kama Kristo" (sijajua kama nimeiquote vyema ila maana na mantiki ndio hiyo)
Kwahiyo sishangai kabisa
Unapomtumikisha mtu anastahili pia kupata haki yake au ujira wake inakuaje unamtumikisha mtu hata kumpa chakula inakuwa zengwe
 
Nimeona baadhi ya ndugu au wageni wakija nyumbani ukawaachia uhuru sana aisee, wanafilisi yaani. Kuna watu wengine wakiona kitu hawali kwa kiasi, yaani atakula na kurudia rudia mpk amalize na wakati mwingine wasiache hata wewe uliyekinunua usikuonje. Shida ya watu ambao hawatoi hela alafu hawajui badgeting ndio hiyo. Wanadhani maisha ni chakula tu. Mfano, utakuta unanunua vyakula vingi na kuweka kwenye frige walau mle pamoja kwa utaratibu watu wanavivuja tu, sabuni huyu anachukua hii , mwingine anachukua ile, mara hiki kimepotea nk. Nakwambieni bila utaratibu utaishia kufanya maendeleo ya tumboni.
 
Kuna kitu kingine ni muhimu kujua, hasa dini.
Kuna mmoja alibadili dhehebu ili afanane na boss wangu,huyo boss wangu akapeleka hadi posa kwao bahati iliyoje yule mwanadada akaongea na mtu kuwa baada ya ndoa atarudi nakosali. Concept kwake ilikua ni avalishwe tu pete mengine yatavo-sort matokeo yake boss kamsusia na mahari kila siku binti kilia.
Hii pia nimeona mtu kambadili binti dini ili wafanane mapenzi yalipokua ya kawaida binti karudi kwenye dini yake.
Nadhani hapo lazima kujua hayo.
Nyakati hizi kuna baadhi ya wadada ili afanikiwe kuolewa yupo tayari afanye maamuzi magumu hata ya kushangaza ili tu na yeye aitwe Mrs. fulani. Hapo pia ndio utaona wanawake huwa hawafikirii mbali. Huyo Dada ni wazi hakumpenda bosi wako.
 
Sasa dogo unalalamika nini tunafunga kwa ajili yako ukajiongeze kufanya kazi na kupata/kununua utakacho.
Ww umelegeza makalio unataka mimi na mama tufanye kazi ww ule tu upate nguvu ya kwenda kupiga stori na masela wako?
Kwani huko stoo hakuna unga,dagaa,mchele,mafuta ya kula?
Gesi na mkaa hakuna au maji hakuna?
Si mnaweza kupika na mkala?
Au mnataka tunavyovifungia kwenye friji tu?
Unapenda mayonaizi,samaki na nyama eeh?
Nenda kafanye kazi au nenda Mombasa ukale utakacho bure.
Na nitamuonesha Maza uzi wako wakingese.!
 
Mama yangu anaishi na kaka wa kwanza. Hawa watu ni washika dini sana, lakini ni wachoyo sana wa chakula kiasi kwamba Wamefunga friji na makufuli ili wafanyakazi wasipate nafasi ya kula vyakula kadha wa kadha.

Nimeshawasema kwa tabia yao ya kuwabagua wafanyakazi, lakini hawakomi.

Yaani hadi nashindwa kuelewa hawa watu hata hizo ibada wanazozifanya ni za kazi Gani?

Tuwapende watu wanaotutumikia.
Halafu wafanyakazi kwenye nyumba hizo wanakaa hata miaka, huku wanakoachiwa hawakai kabisa sijui kwa nini huwa inakuwa hivyo
 
Mama yangu anaishi na kaka wa kwanza. Hawa watu ni washika dini sana, lakini ni wachoyo sana wa chakula kiasi kwamba Wamefunga friji na makufuli ili wafanyakazi wasipate nafasi ya kula vyakula kadha wa kadha.

Nimeshawasema kwa tabia yao ya kuwabagua wafanyakazi, lakini hawakomi.

Yaani hadi nashindwa kuelewa hawa watu hata hizo ibada wanazozifanya ni za kazi Gani?

Tuwapende watu wanaotutumikia.
Nimefanikiwa kuondoa code. Nilimuelewa sana Mwalimu wangu wa Kiswahili Kiingereza kwenye somo la fasihi/literature.
 
kawa
Mama yangu anaishi na kaka wa kwanza. Hawa watu ni washika dini sana, lakini ni wachoyo sana wa chakula kiasi kwamba Wamefunga friji na makufuli ili wafanyakazi wasipate nafasi ya kula vyakula kadha wa kadha.

Nimeshawasema kwa tabia yao ya kuwabagua wafanyakazi, lakini hawakomi.

Yaani hadi nashindwa kuelewa hawa watu hata hizo ibada wanazozifanya ni za kazi Gani?

Tuwapende watu wanaotutumikia.
ida ya wa2 wa DINI ndivo walivo,ni wabinafsi sana!! kama vipi,kapange kwako afu jaza friji mazagazaga kibao,then kachukue wale wafanyakazi uishi nao,au vipi?
 
Hahahaha hii imenikumbusha mbali sana wakati nasoma UDSM pale miaka hiyo 2000! kuna jamaa nilikuwa na share nae chumba pale hall 5 na alikuwa na TV, sasa jamaa alikuwa mchoyo sana, akaweka kikaratasi kwenye meza tuliyowekea TV amekiandika "usiwashe TV bila remote" halafu ajabu ni kuwa hiyo remote ameifungia kwenye kabati lake!
Daah nami umenikumbusha room mate wangu mmoja,yaan siku ya kufunga chuo ndio nikagundua dumu la asali la Lita tano ambayo imeisha,swali linakuja alikuwa anakula hiyo asali saa ngapi? Ila nilimwambia we mate noma Sana Yan kumbe Una asali humu ndani sijui akabaki kucheka Tu,daah tunatofautiana sana
 
ni wakrsto tu hao watakuwa bila shaka

WAISLAM huwezi kukuta muislam mchamungu akawa mnyimi wa kula
katika kilichobora katika UISLAM ni kutoa katika miongoni mwa unavyovipenda
na moja ya mambo alotuhusia mtume ni kumpenda sana JIRANI yako
na katika thawabu bora ni kuwasaidia wasiojiweza CHAKURA
Yaan katika uislam kupika chakura lingi kisha ukashindwa kukimaliza ni dhambi kubwa
katika uislam ni SUNNAH kuokota chakura ulichodondosha bahati mbaya na kukila

sasa katika hayo machache ni Ngumu mchamungu wa uislam kufungia friji chakula kisa wafanyakaz wasule
Hakuna watu wako hovyo kwenye suala la kula kama wa hiyo dini. Si ajabu kumkuta kiongozi mkubwa kabisa akigomea sinia ya pilau mbele za watu tena bila aibu...

Kupitia ubwabwa tu unaweza warubuni watu wa hiyo dini mithili ya kenge mbele ya yai...

Ongeaengine ila watu wa hiyo dini kwenye sekta ya kula ni watu wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom