Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa JMT

Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa JMT

Maria Nyedetse

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2021
Posts
661
Reaction score
1,501
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
 
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
Mkuu mama yenu na nani maana mimi mama yangu nilisha mzika 2019 kwa hiyo sina mama.
 
Message sent..
Bwana mdogo kwema? Weka picha uthibitishe message sent and delivered. La sivyo ni porojo tu kama porojo zako "zingine" tulizozizoea humu.

😆😆😆😆😆👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👌🏿👌🏿👌🏿
 
Saa zingine katiba inapoteza Inchi.
Katiba imetulazimisha kufika hapa.
Hatuna budi kukinywa kikombe hiki
 
Upigaji una ushaidi
Things are not fine in some institutions, kama wananchi tunayaona.....

Lakini pia leo hii DEDs, DCs, DASs, RASs, RSs, Ministers, PSs wote wanateuliwa na RAIS.... kuwawajibisha kunahitaji RAIS mwenyewe na ukizingatia ana majukumu mengi....
 
Rushwa imerudi kwa kasi sana na huo ndio ukweli mpaka unajiuliza hivi hawa wanao msifia Rais kwamba anaupiga mwingi wanasema hivi ili kulinda nafasi zao kazi au nini .Tumuombe Rais awe mkali kwa wasaidizi wake .
 
Rushwa imerudi kwa kasi sana na huo ndio ukweli mpaka unajiuliza hivi hawa wanao msifia Rais kwamba anaupiga mwingi wanasema hivi ili kulinda nafasi zao kazi au nini .Tumuombe Rais awe mkali kwa wasaidizi wake .
Hao wasifiaji wanaitwa tukale wapi!
 
Mkuu mama yenu na nani maana mimi mama yangu nilisha mzika 2019 kwa hiyo sina mama.
Aise tujipe pole hata mie 2019 nilimpoteza Mama kwahiyo sina Mama mbadala
 
Yeye mwenyewe hajui afanye nini ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila huyu Maza huyuu...,hahahaa..watakaompa kura 2025 sidhani km watakua wametimia
 
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
kazi ya watumishi wa umma kwa sasa ni kuchati na kwenda lunch,muda wa kazi ukiisha wanashangilia kama wanafunzi wa form two b
 
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
Ofisi zipi za umma zina uzembe , una ushahidi wa upigaji ukiachia unayosikia kwenye vyombo vya habari? Hospitali ipi au mtumishi wa idara gani anachati wateja wakisubiri? Ofisi gani ya umma watumishi wanashangilia muda wa kazi ukiisha? Kama kweli tuna dhamira ya kumsaidia huyu Rais tuseme ukweli na uwazi ukijengwa kwenye mifano dhahiri. Niagizie kahawa hapo na kashata
 
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
MASHULENI UNAWAONEA WALIMU BURE.

SANA SANA RAIS AANGALIE WALIMU WASAIDIWE, NA KWAMBA WANASUMBULIWA SANA NA MIUNGU WATU. WENYE POSHO KAZI KIWATISHIA WALIMU ...TAGUTA NAMNA YA KUKUSANYA KERO ZAO.UTANIELEWA
 
SALAM,

Leo naomba kumwandikia MAMA YETU KIPENZI MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN kama mwanaye na mwananchi mwenye UCHUNGU NA NCHI YAKE...

Mheshimiwa Rais, kwa hakika naomba kukiri kuwa toka umechukua nchi umetekeleza sera ya kuongeza fedha kwenye mzunguko yaani expansionary monetary and fiscal policy ili KUCHOCHEA UZALISHAJI, KUTENGENEZA NAFASI NYINGI ZA AJIRA, KUONGEZA AGGREGATE DEMAND, KUONGEZA MAKUSANYO YA SERIKALI.....

Yote haya yanalenga kuboresha maisha ya WATANZANIA kwa ujumla. Kwa hakika BINAFSI NAKUPONGEZA SANA MAMA YETU MPENDWA.

Pamoja na pongezi hizo naomba kukuomba machache;

Kwanza kabisa naomba kukufahamisha kuwa kwenye Ofisi nyingi za UMMA utendaji umedorora sana na hii inatoksna na WATENDAJI wako wengi wameshindwa kuitafsiri NIA YAKO NJEMA YA KUJENGA UTAMADUNI WA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA...

Kwa sababu inawezekana mifumo yenu ya kiutumishi, kanuni na taratibu zilizowekwa ni Aidha hazisimamiwi au zina mapungufu....

Naomba MAMA YETU uongeze strictness, accountability na wasioweza kusimamia na kutekeleza majukumu yao WAKAE PEMBENI..... Watendaji hawahawa kwenye sekta BINAFSI wanaperform miracles LAKINI SERIKALINI BUSINESS AS USUAL!!!!

Sijui ili motion ya wateuliwa kurudi kwenye mishahara yao ya awali kama watashindwa kutekeleza majukumu yao kama iliidhinishwa LAKINI HALI YA UTENDAJI SIYO NZURI...

Sasa hivi maswali magumu yanatolewa majibu mepesi na wakati mwingine hakuna majibu na HII HUPELEKEA MADHAKA NA WASISI KWA UMMA.

Mambo kama Changamoto ya umeme, kukwama kwa mifumo ya malipo SERIKALINI, ajali za barabarani, utendaji katika vituo vya kutolea huduma kama Afya n.k yanahitaji kuangaliwa kwa karibu na kuchukuliwa maamuzi magumu!!!!

Mheshimiwa Mama yetu, WATANZANIA WENGI HAWAJAFIKIA KIWANGO NA NIDHAMU YA KUJITUMA BILA KUSUKUMWA!!!! NASHAURI IKIKUPENDEZA TUMBUA WASIOWEZA TO DELIVER TO THE EXPECTATIONS ZA NCHI NA KUKUSAIDIA KAMA KIONGOZI MKUU WA NCHI!!!!

Sasa hivi UPIGAJI UMESHAMIRI, HOFU IMEONDOKA NA HELA ZA UMMAH ZINACHEZEWA KWENYE MIRADI, UTOAJI WA HUDUMA NI CHANGAMOTO, WATENDAJI WANAAMINI WAMEPATA VYEO KHALASI, POLISI, HOSPITALI, MASHULENI NI SHIDA!!!! Mama yetu MPENDWA fukuza wote ambao wanadhindwa kusimamia majukumu yao kwa weledi!!!!

Inafikia wakati unaingia ofisi ya UMMAH unamkuta MFANYAKAZI amelewa yuko chakari na IMMEDIATE SUPERVISORS WAKE WAPO, Au unamkuta MGANGA yupo busy anachati na wagonjwa wanamsubiria, Je Rais wetu utaweza kuhangaika mpaka na haya ya chini WAKATI WATEULE WAKO WAPO???

Nakushauri kukitokea uzembe WEWE FUKUZA WOTE KUANZIA IMMEDIATE SUPERVISOR MPAKA WAZIRI ili kila mtu AZINDUKE KUTOKA KWENYE USINGIZI WA PONO!!!!

Leo utasikia kesi za uzembe za ajabuajabu, upigaji na hakuna anayewajibika!!!

Mlango huu utakuchonganisha na wananchi RAIS wangu, nakuomba uufunge mapema!!!!

Kwa uzoefu mabadiliko makubwa yametokea kwa KUCHUKULIWA MAAMUZI MAGUMU mpaka waliowengi kuelewa, ndiyo maana hata kwenye DEVINE SCRIPTURES kumewekwa sheria ngumu hali inayoonesha MWANADAMU bila sheria ngumu haendi....


Mimi sijui vya ndani LAKINI NAAMINI HATA WASAIDIZI WAKO WANAOKUZUNGUKA HAWAJITUMI KWA WELEDI, NGUVU NA MAARIFA KAMA UNAVYOWATEGEMEA,,,

LAKINI PIA KUTUMBUA HAKUTOSHI, WANAOTHIBITIKA WACHUKULIWE HATUA KALI kama kufilisiwa, kuzuiliwa KUSHIKA nafasi ya ummah iwe ya kuajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa MILELE.... hii italeta nidhamu, matokeo chanya na kuinua UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI.... over time tutaelewa na tutajituma kama WATANZANIA BILA KUSUKUMWA
Ofisi gani hiyo ukikuta mtumishi kalewa?

Wapi huko ambako Pesa zinapigwa nje nje? Pesa zingekuwa zinapigwa makusanyo yangeongezeka?

Pesa ingekuwa inapigwa si ungekuta miradi inasuasua

Shida huwa mnaandika maelezo meeengi bila ushahidi na uzushi tuu usio na msingi..
 
Ofisi zipi za umma zina uzembe , una ushahidi wa upigaji ukiachia unayosikia kwenye vyombo vya habari? Hospitali ipi au mtumishi wa idara gani anachati wateja wakisubiri? Ofisi gani ya umma watumishi wanashangilia muda wa kazi ukiisha? Kama kweli tuna dhamira ya kumsaidia huyu Rais tuseme ukweli na uwazi ukijengwa kwenye mifano dhahiri. Niagizie kahawa hapo na kashata
Ni majinga na mapuuzi tuu hayo,hakuna Pesa ya umma inayoweza kuliwa kienyeji hasa na watumishu na watendaji labda na wanasiasa wanaolindana huko juu Kama walivyopiga ile 1.5 T na Hakuna hatua zilizochukuliwa..
 
Nimemfuatilia kwa kina Mama yetu Samia na kuridhika kuwa ana uwezo mkubwa ndiyo maana akamudu kuendelea kujenga miradi yote aliyoacha JPM na kuongeza mingine mipya.
Ameweza kuwatumbua hata vigogo kama vile Mkurugenzi wa TISS na Katibu Mkuu Kiongozi.
Kwa hiyo Mama yuko vizuri.
 
Back
Top Bottom