Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mkuu, mambo ya porini hayapimwi hivyo, hizo ni logic za darasani, huko porini ni timing tu, ukizembea unakua kitoweo
Mkuu nimeshangaa analeta vipimo utadhani anatengeneza meza wakati mamba analiwa tuu na Jaguar na akimuona anajaribu kuzama ili asionekane lakini wapi anachukuliwa Jaguar ni shida ingine ile...
 
mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.

mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.

binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Binadamu gani mkuu wamasai walijaribu ishu yao ya kuua Simba kilichowatokea waliobaki salama mara huyu paja limekatwa mwingine mbavu mbili hakuna Simba sijui mnamchukuliaje ninyi Wananchi mimi Simba namfananisha na short ya high voltage ya umeme..
 
Mzuka wanajamvi!

Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.

Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.

Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Maghayo una matatizo
 
Sema labda utamzidi mbio akiwa nje ya mayi ila zaidi ya hapo ni assassination.
 
Hilo jamaa kwanza ni likubwa na lina nguvu kushinda mamba, na domo lake limejaa mijino mirefu ya kutisha.

Mamba huwa hajaribu hata kugusa kitoto chake anajua akijichanganya wenzie wanaimba pambio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binadamu gani mkuu wamasai walijaribu ishu yao ya kuua Simba kilichowatokea waliobaki salama mara huyu paja limekatwa mwingine mbavu mbili hakuna Simba sijui mnamchukuliaje ninyi Wananchi mimi Simba namfananisha na short ya high voltage ya umeme..
Mkuu nilitaka kukutag uwaelezee jinsi simba anavusha watoto kule zambezi na marufuku mamba kusogea
 
Mamba habari nyingine labda muwe mnamzungumzia Mamba Konki Dububaya Oil Chafu
Ila mbona Simba anambondaga asee ...Kuna clip niliona mamba alikwanguliwa macho na Simba dume, duuh lile dubwasha lilikimbia vibaya itakuwa aliliumiza[emoji1787][emoji1787]

Tena maji yalikuwa na kina kirefu tuu

Ila Simba kapinda asee daah, hasa dume
 
Simba kwake nchi kavu
Kwenye maji lazima akalishwe vizuri tu

Mamba akiwa nje ya maji hana ujanja

Alafu pia kuna simba na simba dume.

Achana na simba dume
 
Brother, mamba ni super predator bila ubishi, kwa sababu hizi. 1. Hana huruma kwa victim wake, 2. Haogopi mnyama anayekabiliana naye. 3. Vile vile, mamba Yuko accurate zaidi Katika kuwinda huwezi mlinganisha na Simba. Wapo wanyama ambao Simba huwawinda kwa taabu Sana na ikibidi huishia kujeruhiwa au kufa. Simba mmoja huwezi kuua mbogo mpaka wawe kundi.
Mamba hahitaji msaada Katika mawindo yake. Cheza na wanyama wengine sio mamba.
Kalaga baho.
 
Mamba vs simba
 
Back
Top Bottom