Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Kuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Yule sio mamba, ni jamii ya mamba ila sio mamba kamili, ni kama kenge aliechangamka.

Yule ana uzito usiozidi kilo 50 wakati mamba ana hadi kilo 400 na urefu hadi wa futi 21 na nchi 2.

Usimdanganye Jaguar ajichanganye kwenye mito yetu hii, katoto ka mamba ndio katakaomtafuna na wala hatatosha.
 
Yule sio mamba, ni jamii ya mamba ila sio mamba kamili, ni kama kenge aliechangamka.

Yule ana uzito usiozidi kilo 50 wakati mamba ana hadi kilo 400 na urefu hadi wa futi 21 na nchi 2.

Usimdanganye Jaguar ajichanganye kwenye mito yetu hii, katoto ka mamba ndio katakaomtafuna na wala hatatosha.
Hivi watafiti wa kizungu wanasubiri nini kutuletea huu mpambano? Mamba v jaguar, hao watu ni vihere here sana
 
Hivi watafiti wa kizungu wanasubiri nini kutuletea huu mpambano? Mamba v jaguar, hao watu ni vihere here sana
Haiwezekani mkuu, Jaguar ni mdogo sana kwa mamba, mdogo sana..

Jaguar ana uzito kati ya kilo 56 hadi 130 tena huo ni mkubwa sana ila average ni kilo 56 hadi 98 huku akiwa na urefu wa futi 6 maximum ama sentimita 180.

Mamba wa mito yetu anaanza na uzito mdogo ni kilo 200 hadi kilo 414.

Halafu kwenye bite force per square inch kwa hawa wanyama wala nyama Jaguar anawazidi simba, chui na hata Duma ila sio fisi ila kwa almost wanyama wote mamba ndio mwisho wa matatizo.
 
Haiwezekani mkuu, Jaguar ni mdogo sana kwa mamba, mdogo sana..

Jaguar ana uzito kati ya kilo 56 hadi 130 tena huo ni mkubwa sana ila average ni kilo 56 hadi 98 huku akiwa na urefu wa futi 6 maximum ama sentimita 180.

Mamba wa mito yetu anaanza na uzito mdogo ni kilo 200 hadi kilo 414.

Halafu kwenye bite force per square inch kwa hawa wanyama wala nyama Jaguar anawazidi simba, chui na hata Duma ila sio fisi ila kwa almost wanyama wote mamba ndio mwisho wa matatizo.
Mkuu, mambo ya porini hayapimwi hivyo, hizo ni logic za darasani, huko porini ni timing tu, ukizembea unakua kitoweo
 
Mzuka wanajamvi!

Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.

Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.

Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzuka wanajamvi!

Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.

Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.

Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Huo mtazamo wako umetokana na utafiti uliofanya au ni akili zako tu za kibangi bangi na viroba ulivyobwia?
 
Mkuu, mambo ya porini hayapimwi hivyo, hizo ni logic za darasani, huko porini ni timing tu, ukizembea unakua kitoweo
Hapa umejibu kama mtu mjinga, mtu ambae haelewi chochote. Pori lina kanuni zake na wanyama wote wanazijua.

Kwa logic yako hiyo ni kwamba hata mbwa mwitu anaweza kumgeuza tembo kitoweo iwapo atamlia timing, sio? Aisee.
 
Hapa umejibu kama mtu mjinga, mtu ambae haelewi chochote. Pori lina kanuni zake na wanyama wote wanazijua.

Kwa logic yako hiyo ni kwamba hata mbwa mwitu anaweza kumgeuza tembo kitoweo iwapo atamlia timing, sio? Aisee.
Sawa mwerevu, mtunzi wa kanuni za porini, pori master. Acha kuhamaki jenga hoja
 
Mzuka wanajamvi!

Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.

Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.

Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
...Ingia Uogelee kwenye Mto wenye Mamba ndio Utajua Vizuri kama yeye ni MCHUMBA TU ama ni Predator ! [emoji848][emoji848]
 
Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.

miaka ya nyuma kulikuwa home na jogoo ukienda kulifungulia lazima upate kipondo hadi unaingia ndani kujifungia.
Ndio Africa hii, bara kivuruge.

Wakati ulaya jogoo linaangalia TV.

Africa kila kakiumbe kamevurugwa,sio siafu, nyegere n.k yani ukizingua vinazingua.
 
Back
Top Bottom