Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Haiwezekani mkuu, Jaguar ni mdogo sana kwa mamba, mdogo sana..

Jaguar ana uzito kati ya kilo 56 hadi 130 tena huo ni mkubwa sana ila average ni kilo 56 hadi 98 huku akiwa na urefu wa futi 6 maximum ama sentimita 180.

Mamba wa mito yetu anaanza na uzito mdogo ni kilo 200 hadi kilo 414.

Halafu kwenye bite force per square inch kwa hawa wanyama wala nyama Jaguar anawazidi simba, chui na hata Duma ila sio fisi ila kwa almost wanyama wote mamba ndio mwisho wa matatizo.
Fuatilia. Jaguar anawinda mamba mtoni na anamfuata huko huko ndani.
 
miaka ya nyuma kulikuwa home na jogoo ukienda kulifungulia lazima upate kipondo hadi unaingia ndani kujifungia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha nyumbani tuliwahi kuwa na Jogoo lilikuwa linakimbiza watoto...

Mdogo wangu wa mwisho hakuna rangi hakuona[emoji1787][emoji1787]
 
Ni sababu ipi
images - 2022-07-27T082905.024.jpeg
 
Huwa wanatafuna vile vi-cayman au alligators vya America na Asia. Ila sio African crocodile. Huyu kiumbe ni habari nyingine!

Kila kiumbe kinachoishi Africa kimevurugwa. Kuna documentary moja niliona simba aliingia mtoni kwa kiburi chake akajua jamaa hawamuwezi. Alinusurika ila akabaki taya linaning'inia, akaenda kufia mbele huko!
Kuna moja simba aliuliwa na mamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na wakamla aisé kumbe mamba abagui achagui atayemzika hamjui
 
Huwa wanatafuna vile vi-cayman au alligators vya America na Asia. Ila sio African crocodile. Huyu kiumbe ni habari nyingine!

Kila kiumbe kinachoishi Africa kimevurugwa. Kuna documentary moja niliona simba aliingia mtoni kwa kiburi chake akajua jamaa hawamuwezi. Alinusurika ila akabaki taya linaning'inia, akaenda kufia mbele huko!
Itakuwa ni simba jike huyo mkuu, dume huwa hagusiki aisee. Anaweza kuwafanya mamba wote mtoni waonekane mijusi mbele yake.
 
Back
Top Bottom