Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

hivi vile vimamba vinavyoshikwa na jaguar unasema ni mamba??? kijana hujui ukisemacho... kuna clip moja mamba alikavuta kacheetar kama kakamata sunguraa... ongelea mamba wa afrika kijana sio vile vikenge vya ulayaa
Jaguar sio cheeter. Ngoja nitafute clip moja kama ntaipata. Mm ni mpenzi wa animal planet. Kuhusu ukubwa hata simba wakat mwingine huwa anazidiwa anapoingia kwa mnyama mkubwa.

Jaguar ni wa tatu kwa ukubwa katika familia ya paka wakubwa
images - 2022-07-27T104757.490.jpeg

Pia ndiye paka anayeweza kuwinda ndani ya maji
download (24).jpeg
download (26).jpeg
images - 2022-07-27T145709.421.jpeg
download (25).jpeg
 
Mkuu kwenye maji marefu huyo simba dume anageuzwa msosi dakika sifuri na mamba, hii nimeishuhudia mwenyewe. Anaweza kumshindwa kwenye maji ya kina kifupi na siyo deep water, hadi mtangazaji akasema Simba anahitaji kujua kwamba mmiliki wa mto ni mamba.
Maji marefu simba hata bila mamba anaweza kufa. Simba hana asili ya kuishi majini, kwahiyo mara nyingi anapotaka kuvuka huvuka kwa kutumia maji mafupi, anapoenda kwenye maji marefu ni dhahiri ataishiwa nguvu na kukosa balance ya kujisimamia, hivyo ni rahisi kufa maana wakati mwenzake wa majini ana mshambulia yeye atakuwa anapambana kwanz kuitafuta balance ya kumuwezesha kutoka pale ndani ya maji. Ila unapoweka sehem yenye maji ambayo simba ataweza kujibalance ni lazima mamba atageuzwa kitoweo licha ya kwamba mamba ndio mwenye maji yake na simba ni mgeni tu humo majini.
 
Jaguar sio cheeter. Ngoja nitafute clip moja kama ntaipata. Mm ni mpenzi wa animal planet. Kuhusu ukubwa hata simba wakat mwingine huwa anazidiwa anapoingia kwa mnyama mkubwa.

Jaguar ni wa tatu kwa ukubwa katika familia ya paka wakubwa
View attachment 2305503

usifananishe mamba wa afrika hasa mto nile na vikengee vya ulayaaa
 
usifananishe mamba wa afrika hasa mto nile na vikengee vya ulayaaa
Nimekuwekea baadhi ya sources uwafahamu Nile crocs ili tusiongee siasa.

" It is the largest freshwater predator in Africa, and may be considered the second-largest extant reptile in the world, after the saltwater crocodile (Crocodylus porosus).[7][8] Size is sexually dimorphic, with females usually about 30% smaller than males"

Due to the large size and highly aggressive nature of these apex predators, adult crocodiles have very few predators within their natural environments with the exception of occasional takings by big cats such as lions, jaguars and tigers.


Ni vile Africa jaguar hawapatikani sana.....

Pitia hii link pia soma soma kama utaona ni sawa.

 
Hakuna uthibitisha wa video au picha yoyote inayoonesha mamba akimgeuza simba dume chakula chake. Hakuna, narudia tena hakuna, na kama unayo iweke hapa tuione, sio tuongee kwa hisia tu. Simba dume ni habari nyingine aisee. Ni Tiger pekee ndo huwa na uwezo wa kupambana na hilo dubwasha, ila sio hiyo mijusi ya majini. Never.
View attachment 2305370View attachment 2305371View attachment 2305372View attachment 2305373
Wewe utakuwa hauijui habari ya mamba vizuri.

Yule kiumbe ni hayawani kweli kweli. Ana ngozi ngumu kama koti la chuma na ana uwezo wa kunyumbulika na kujigeuza kwa kasi ya radi (REFLEXES).

Simba akitaka kulikamata lile dude sijui anaanzia wapi. Ni jambo lisilowezekana.

Labda akutane na mamba mgonjwa anayekaribia kujifia kwa magonjwa au majeraha.

Simba ni mtoto wa kike sana kwa kile kiumbe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha nyumbani tuliwahi kuwa na Jogoo lilikuwa linakimbiza watoto...

Mdogo wangu wa mwisho hakuna rangi hakuona[emoji1787][emoji1787]
umenikumbusha mbali,,Nina ka anko kangu kangu wakati bado mdogo Kama mwaka na nusu alikuwa na bifu na jogoo...hili jogoo lilikuwa muda mwingi linamsaka ,anko akitoka nje tu jogoo anauma nae NI mwendo wa kumparua Sana...anko ikawa NI kushinda ndani kutoka nje hataki mpaka usalama wa jogoo udhibitiwe..

Ilitokea siku moja katika kucheki usalama wa jogoo akaona NI Kama jogoo limezama kibandani...ikabidi atoke ndani apunge upepo nje,kumbe jogoo lilikuwa linapiga misele tu karibu ,,,aisee kipigo alichokula anko ilikuwa sio ,,maana mpaka msaada ufike tulikuta anko jino linaning'ia damu zinavuja mdomoni...ikabidi tumwaishe hospital,,kufika dokta akamalizia kutoa vipande vya jino..

Jogoo siku hiyo hakubaki salama kisu kilimuhusu na aliliwa nyama yote kwa hasira ..

Anko wangu mpaka Leo hii Ana miaka sita,,nyama ya kuku Hali kabisaa na Wala hataki kuwasikia kuku zaidi ya kuwatazama..

Kibaya zaidi anawaonea huruma tu wanavyochinjwa mpaka huwa analia Sana..kwaiyo kuchinja kuku tunalazimika asijue kabisa maana itakuwa msiba..

NAKAZIA ,AFRIKA KILA KIUMBE KIMEVURUGWA...MAMBA NDIE KIUMBE ANAEWEZA KUKAA SEHEMU HATA MIEZI MIWILI AKIKUWINDA MTU MMOJA...NA HAYO NDIO MAFUNZO YA SNIPER SOLDIER...HIKI KIUMBE NI HATARI SANA..
 
Jaguar sio cheeter. Ngoja nitafute clip moja kama ntaipata. Mm ni mpenzi wa animal planet. Kuhusu ukubwa hata simba wakat mwingine huwa anazidiwa anapoingia kwa mnyama mkubwa.

Jaguar ni wa tatu kwa ukubwa katika familia ya paka wakubwa
View attachment 2305503
Sasa huyo kwenye video ni mamba?

Huyo ndio caiman na wala siyo mamba
 
Itakuwa ni simba jike huyo mkuu, dume huwa hagusiki aisee. Anaweza kuwafanya mamba wote mtoni waonekane mijusi mbele yake.
To be specific, alikua simba dume. Mamba akiwa kwenye maji, ni viumbe wawili tu ndio wanamshinda, either Tembo au Kiboko. Hao wengine wachumba tu!
 
Back
Top Bottom