makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Sio Mamba ni Pridator NduguKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mamba ni Pridator NduguKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Watu wa CCM banaSimba dume huwa anavuka kwa raha mustarehe kwenye mto wowote wenye mamba zaidi ya 200 na hawamsogelei. King lion ni habari nyingine aisee.
Na stress za mifumuko ya beiWewe utakuwa hauijui habari ya mamba vizuri.
Yule kiumbe ni hayawani kweli kweli. Ana ngozi ngumu kama koti la chuma na ana uwezo wa kunyumbulika na kujigeuza kwa kasi ya radi (REFLEXES).
Simba akitaka kulikamata lile dude sijui anaanzia wapi. Ni jambo lisilowezekana.
Labda akutane na mamba mgonjwa anayekaribia kujifia kwa magonjwa au majeraha.
Simba ni mtoto wa kike sana kwa kile kiumbe.
Nilikuwa nasafiri kule kwenye Mto Zambezi. Jioni,usiku,nikaenda kunawa miguu mtoni. Niliporudi nikawaeleza wenzangu nimetoka kunawa miguu. Wanasema kwa nini na sisi tusiende kunawa. Mwenyeji wa kule akasema:"Don't go---- crocodile!"Mzuka wanajamvi!
Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.
Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.
Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Anapenda sana nyama ya mamba yule mselaKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
mamba wa bongo ni balaaa...Nilikuwa nasafiri kule kwenye Mto Zambezi. Jioni,usiku,nikaenda kunawa miguu mtoni. Niliporudi nikawaeleza wenzangu nimetoka kunawa miguu. Wanasema kwa nini na sisi tusiende kunawa. Mwenyeji wa kule akasema:"Don't go---- crocodile!"
Yule rafiki yangu akasema,hapana, lakini mimi naenda kunawa. Nikamwambia huwezi kwenda,kama huyu anasema,"crocodile",Ina maana huwezi kwenda.
Halafu nikamwambia yule rafiki yangu anipe coke. Akasema,ajabu sana,Sasa hivi nilikuuliza unataka coke,ukasema "hapana". Nikamwambia ndiyo nilisema "hapana", lakini baada ya huyu mtu kusema "crocodile" nahitaji coke kutuliza nerves zangu.
Haswa wale Mamba wa Uyebusi🤣🤣Mzuka wanajamvi!
Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.
Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.
Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Wanamwita alligator au siyo mkuu?Yule hakamati Mamba, anakamata caiman(crocodile's cousin). Mlete huyo jaguar pale mto mara uone shughuli yake.
Hahaa linakuapa dozi au sio ?miaka ya nyuma kulikuwa home na jogoo ukienda kulifungulia lazima upate kipondo hadi unaingia ndani kujifungia.
Jaguar sio cheeter. Ngoja nitafute clip moja kama ntaipata. Mm ni mpenzi wa animal planet. Kuhusu ukubwa hata simba wakat mwingine huwa anazidiwa anapoingia kwa mnyama mkubwa.
Jaguar ni wa tatu kwa ukubwa katika familia ya paka wakubwa
View attachment 2305503
Pia ndiye paka anayeweza kuwinda ndani ya maji
View attachment 2305731View attachment 2305732View attachment 2305733View attachment 2305734
Acha ushabiki mandazi. Simba hamuwezi mamba.
Simba wanaweza tu mamba kama wako wengi zaidi ya 2 tena madume na pili awe mbali na maji.
Kwenye maji mamba hana mpinzani isipokua Kiboko tu.
Mwingine aliua kunguru atakuwa ni kuku wa maraUpo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Hakuna uthibitisha wa video au picha yoyote inayoonesha mamba akimgeuza simba dume chakula chake. Hakuna, narudia tena hakuna, na kama unayo iweke hapa tuione, sio tuongee kwa hisia tu. Simba dume ni habari nyingine aisee. Ni Tiger pekee ndo huwa na uwezo wa kupambana na hilo dubwasha, ila sio hiyo mijusi ya majini. Never.
View attachment 2305370View attachment 2305371View attachment 2305372View attachment 2305373
Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZMamba akiwa kwenye maji huyo Simba tunamzika asubuhi tu. Huyo jamaa akiwa kwenye maji labda Kiboko na Tembo ndio hawawezi.
Nimecheka sana pale Msamvu round about wameweka sanamu ya Jaguar na mambaKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Jaguar sio cheeter. Ngoja nitafute clip moja kama ntaipata. Mm ni mpenzi wa animal planet. Kuhusu ukubwa hata simba wakat mwingine huwa anazidiwa anapoingia kwa mnyama mkubwa.
Jaguar ni wa tatu kwa ukubwa katika familia ya paka wakubwa
View attachment 2305503
Pia ndiye paka anayeweza kuwinda ndani ya maji
View attachment 2305731View attachment 2305732View attachment 2305733View attachment 2305734