We don't have jaguars in africa.Hivi hiyo miamba tunayo kwenye mbuga zetu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We don't have jaguars in africa.Hivi hiyo miamba tunayo kwenye mbuga zetu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahUpo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
lilikuwa linapiga hadi watoto wa majirani lawama zilivyozidi mzee akalichinja yani sisi tukiwa wadogo tulikula maini tu maana nyama ilikomaa hata wakubwa kutafuna ilikuwa ni kazi. ingekuwa wakati wangu huu ile mbegu ningeitumia sana maana lilikuwa giant haswa.Hahaa linakuapa dozi au sio ?
Wamejaa tele, mamba Hana ubabe wowote NDIO maana analiwaHivi hiyo miamba tunayo kwenye mbuga zetu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti ni bora akale hata maperaunajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.
sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.
ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
Ww kweli kilaza yaan simba jike ana nguvu kuliko dume!!! Acha kubwabwaja fiche huu ujinga.Ungejua simba jike ndiye mwenye nguvu kuliko dume usingebwabwaja hapa, usipagawe na manyoya.
Huyo simba jike akiwa peke yake akikutana na fisi wa 3 au 4 wanamgeuza msosi na kama amewinda wana mnyang'anya msosi.... ila hao fisi hata wawe ukoo mzima wakimuona King wanatawanyika vibaya sana maana wanamjua anawavunjaga viuno alafu anawaacha Wakafie mbeleUngejua simba jike ndiye mwenye nguvu kuliko dume usingebwabwaja hapa, usipagawe na manyoya.
Heshima ya mamba ni kwa farasi wa majini (hippopotamus), kwa lugha laini KIBOKO na tembo labda. Wengine wote halali.
Toa mamba hapo, mamba ni mdebwedo tu kama mijusi wenginemzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.
mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.
binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Kama nyegere anavyosumbua wakongweMkuu, mambo ya porini hayapimwi hivyo, hizo ni logic za darasani, huko porini ni timing tu, ukizembea unakua kitoweo
Taga na wewe tukupandeMzuka wanajamvi!
Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.
Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.
Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Niliona pia Anaconda anakula mamba vizuri tu,tena lile dude aise halichagui awe mamba au kiboko linachukua popote pale hata nchi kavu au majini..japo likishiba halina ujanja.hata huko nchi kavu haiwezekani.
mamba anakomaa kufikia hatua ngozi haiingii jino wala kucha ya simba.
Mamba anamuogopa kiboko balaa,,yupe mpole lakini ukimchokoza ni hatari japo niliwahi ona video kadhaa Anakonda anakula kiboko mkubwa na mamba mkubwa tena walipomuona tu wakaanza kuogopa.Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ
Ongeza na Nyegere huyo nae mbishi sana haogopi kitu labda wale wanaoishi majini.mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.
mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.
binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Watu mnachekesha sanaaa hahaha hauna kosa kakuparua, kavurugwa tuuUpo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.
Si mamba huyo ni vile vi alligators, kwa macho yangu nilimuona mamba wamemuua pale ziwa Victoria, aisee mamba kabebwa kwenye zile landcruiser mkonge, wamemuweka kimshazali lakini kia loote liko chini kudadekiKuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Kuna bata maskani alikimbiza mwanangu, kaingia ndani kilio tu 😂Upo sahihi, viumbe vya Africa vyote vimevurugwa, kuna kuku ana vifaranga Leo kanirukia aniparue bila kosa lolote.