Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

Mamba asingewekwa kwenye kundi la Super Predator hastaili kabisa

unajua simba au paka wote wana nguvu sana kwa wanyama wenye shingo.

sasa ukiiangalia shape ya kiboko,na ule mdomo unaofanya shambulio kama mkasi,ni hatari sana kwa simba.

ni bora akale hata mapera lakini sio kuingia mtoni kumfata kiboko,kwanza ratio ya uzito ni kama 1:6[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti ni bora akale hata mapera
 
Mamba ambae huwa anawawinda hao predator na pia Kuwatafuna.....Kuna some case hasa wale salt water Crocodile ambao huwaua Hadi Papa a.k.a Great White Shark huko Australia

Mimi nilidhani Uzi ulitaka apandishwe daraja yaani more than Predator
 
Ungejua simba jike ndiye mwenye nguvu kuliko dume usingebwabwaja hapa, usipagawe na manyoya.
Ww kweli kilaza yaan simba jike ana nguvu kuliko dume!!! Acha kubwabwaja fiche huu ujinga.

Kazi ya simba dude ni kulinda mipaka na jike kutafuta chakula,, wakiwa wanawinda wanyama wakubwa kama twiga, tembo, nyati dume husaidia kwann hao majike wasifanye wenyewe?

Futa hiyo comment
 
Ungejua simba jike ndiye mwenye nguvu kuliko dume usingebwabwaja hapa, usipagawe na manyoya.
Huyo simba jike akiwa peke yake akikutana na fisi wa 3 au 4 wanamgeuza msosi na kama amewinda wana mnyang'anya msosi.... ila hao fisi hata wawe ukoo mzima wakimuona King wanatawanyika vibaya sana maana wanamjua anawavunjaga viuno alafu anawaacha Wakafie mbele
 
mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.

mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.

binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Toa mamba hapo, mamba ni mdebwedo tu kama mijusi wengine
 
Mzuka wanajamvi!

Mamba hakidhi vigezo vya kuitwa au kuwa Super Predator. Kwa mtazamo wangu hastaili kuwa kabisa kwenye Hilo kundi la Super predator.

Wanyama wengine ambao wako kwenye Hilo kundi Simba, Chui, Duma, Mbwa mwitu na Fisi wanastahili sifa zote na wanakidhi vigezo.

Licha ya uhodari wa Mamba, nguvu, kuogopwa, ukubwa wa mwili ushupavu na nguvu zote anazo anavyowinda na kutwaa windo Bado tu ni mchumbaaa kwasababu ANATAGA.
Taga na wewe tukupande
 
hata huko nchi kavu haiwezekani.

mamba anakomaa kufikia hatua ngozi haiingii jino wala kucha ya simba.
Niliona pia Anaconda anakula mamba vizuri tu,tena lile dude aise halichagui awe mamba au kiboko linachukua popote pale hata nchi kavu au majini..japo likishiba halina ujanja.
 
Unataka kuniambia kiboko ni balaa.? Mbona anaonekana mlegevu? Laini laini kama kubwa jinga MutuZ
Mamba anamuogopa kiboko balaa,,yupe mpole lakini ukimchokoza ni hatari japo niliwahi ona video kadhaa Anakonda anakula kiboko mkubwa na mamba mkubwa tena walipomuona tu wakaanza kuogopa.
 
mzee
amazon ndio kuna hawa jaguar kwa wingi,anaconda nk.
picha hizi ni mwendelezo wa huyo mamba wa mchongo wa america ya kusini akiliwa na anaconda.

mamba wa ki nigga ni habari nyingine.
kuhusu simba kuwa jasiri ni kweli,ila ujasiri wake una mipaka,ngoja nikutajie wanyama ambao simba huwa hafikirii kuwadhuru isipokuwa aamue kubeti,kufa au kupona sawa.

binaadam,tembo,faru,boko,mamba na nyati dume.hapo simba hukimbia kabisa na ukiona kasimama ujue kakibali kila kitu.
Ongeza na Nyegere huyo nae mbishi sana haogopi kitu labda wale wanaoishi majini.
 
Kuna mwamba anaitwa jaguar, anafuata mamba kumayi na kumburuta
Si mamba huyo ni vile vi alligators, kwa macho yangu nilimuona mamba wamemuua pale ziwa Victoria, aisee mamba kabebwa kwenye zile landcruiser mkonge, wamemuweka kimshazali lakini kia loote liko chini kudadeki
 
Nasikia Wachina walimaliza mamba wa wami pale kwa kitoweo. Au huenda walikuwa mamber.
 
Back
Top Bottom