matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
1: Uwe msiri na usiwe unapatikana kirahisi wakati wote au kuwa adimu( do not be too available).
Huwezi kumkuta nabii wa uongo anatembeatembea hovyo au anapatikana kirahisi. Watu wanatafuta kitu adimu sio kinachopatikana kila mahali.
2: Usijibujibu tuhuma. Usiongee au kujitetea unaposhambuliwa maana unawapa maadui points za kukushambulia zaidi.
Hawa mabingwa wanatuhumiwa misikitini,makanisani, baa, sokoni, kwenye mitandao na vyombo vya usafiri nakini wao wako kimya wanapiga pesa tu na kufocus kwenye mambo yao. Mfano kanisa ninaposali kila akisimama muhubiri anawazungumzia hadi kero.
3: Jifunze kutumia wanawake kuendesha mambo yako. Wanawake wengi ni waoga, alafu ni viumbe ambavyo ni rahisi kuvitawala. Hata ukifungua ofisi yenye wanawake wezi, hawawezi kukupiga ufirisike, huwa wanadokoa kwa hofu kuliko vidume.
Pia ukiwasifia huwa hawakubali kushindwa. Pia ni machawa wazuri wenye uwezo mkubwa wa kukuletea mafanikio. Moja ya siri ya mafanikio ya mitume na manabii ni mbinu bora za kucheza na akili za wakina mama. Hata Yesu masponsa wake wakubwa walikuwa wake za watu na wanawake wengi.
4: Kaa mkao wa kitaalam. Muda wote umaintain professional posture. Huwezi kujibrand kuwa wewe ni mtu flani mkubwa alafu unakaa kizembe. Huchani nywele, meno ya njano, shati limepauka, Ukitembea shape inatawanyika hovyo. Jifunze (diplomatic walk). Tembea kimamlaka. Vaa vizuri, jali afya na tumia muda mwingi kuboresha namna unavyoongea.
Hata paulo alionekana kama tajiri hadi Feliki akamuomba rushwa. Hakuwa mzembemzembe alikaa kitaalam.
5: Kuwa jasiri hata kama unaogopa igiza ujasiri. Watu wanapenda kuwa wafuasi wa mtu jasiri anayejiamini.
Hawa jamaa ni majasiri kupitiliza. Kumuaminisha mtu uongo ukiwa muoga au unaongea kimasihara rahisi kukudaka. Viongozi wengi wa dini hasa za mifumo kama Sabato,Katoriki,KKKT na dini kubwa duniani hawajiamini. Maana juu yao kuna watu wanaoweza kuathili maisha yao. Ndio maana wengi hawana mvuto kuliko hata mwinjilisti tu std 7 anayeamini kaitwa na Mungu moja kwa moja. Yesu alivuta watu wengi kwa sababu alijiamini sana na alikuwa na kauli za mamlaka kuliko mtu yeyote israel. Hii kitu hawa wajomba wamecopy vizuri kuliko hata watumishi wa Mungu halali. Na ndio chanzo cha wao kuwa na mvuto ukiacha backup za kafara za kishirikina.
Ni hayo tu...
Niwatakie Sabato njema.
Huwezi kumkuta nabii wa uongo anatembeatembea hovyo au anapatikana kirahisi. Watu wanatafuta kitu adimu sio kinachopatikana kila mahali.
2: Usijibujibu tuhuma. Usiongee au kujitetea unaposhambuliwa maana unawapa maadui points za kukushambulia zaidi.
Hawa mabingwa wanatuhumiwa misikitini,makanisani, baa, sokoni, kwenye mitandao na vyombo vya usafiri nakini wao wako kimya wanapiga pesa tu na kufocus kwenye mambo yao. Mfano kanisa ninaposali kila akisimama muhubiri anawazungumzia hadi kero.
3: Jifunze kutumia wanawake kuendesha mambo yako. Wanawake wengi ni waoga, alafu ni viumbe ambavyo ni rahisi kuvitawala. Hata ukifungua ofisi yenye wanawake wezi, hawawezi kukupiga ufirisike, huwa wanadokoa kwa hofu kuliko vidume.
Pia ukiwasifia huwa hawakubali kushindwa. Pia ni machawa wazuri wenye uwezo mkubwa wa kukuletea mafanikio. Moja ya siri ya mafanikio ya mitume na manabii ni mbinu bora za kucheza na akili za wakina mama. Hata Yesu masponsa wake wakubwa walikuwa wake za watu na wanawake wengi.
4: Kaa mkao wa kitaalam. Muda wote umaintain professional posture. Huwezi kujibrand kuwa wewe ni mtu flani mkubwa alafu unakaa kizembe. Huchani nywele, meno ya njano, shati limepauka, Ukitembea shape inatawanyika hovyo. Jifunze (diplomatic walk). Tembea kimamlaka. Vaa vizuri, jali afya na tumia muda mwingi kuboresha namna unavyoongea.
Hata paulo alionekana kama tajiri hadi Feliki akamuomba rushwa. Hakuwa mzembemzembe alikaa kitaalam.
5: Kuwa jasiri hata kama unaogopa igiza ujasiri. Watu wanapenda kuwa wafuasi wa mtu jasiri anayejiamini.
Hawa jamaa ni majasiri kupitiliza. Kumuaminisha mtu uongo ukiwa muoga au unaongea kimasihara rahisi kukudaka. Viongozi wengi wa dini hasa za mifumo kama Sabato,Katoriki,KKKT na dini kubwa duniani hawajiamini. Maana juu yao kuna watu wanaoweza kuathili maisha yao. Ndio maana wengi hawana mvuto kuliko hata mwinjilisti tu std 7 anayeamini kaitwa na Mungu moja kwa moja. Yesu alivuta watu wengi kwa sababu alijiamini sana na alikuwa na kauli za mamlaka kuliko mtu yeyote israel. Hii kitu hawa wajomba wamecopy vizuri kuliko hata watumishi wa Mungu halali. Na ndio chanzo cha wao kuwa na mvuto ukiacha backup za kafara za kishirikina.
Ni hayo tu...
Niwatakie Sabato njema.