Mambo 05 ya kujifunza maishani kutoka kwa mitume na manabii wa uongo nchini Tanzania

Hao wote wanabebwa na nguvu ya kafara wanazomtolea shetani ndie uwaletea watu kujaza makanisa Yao.
 
kama mtu anaujasiri wakusema mbele yawatu elfu moja kuwa amefufua misukure na anakuja nao hadi kanisani kuwaonyesha hao waumini wake lakini wengi wakiwa niwanawake

mtuhuyo muacheni apige hela mana kafika kiwango chajuu chauongo nawatu wameamini
 
Huu ni uthibitisho uislam ulianzishwa na Wakatoliki ili kuwacontrol waarabu
 
🤣🤣🤣usiondoke,,,,ngoja waje
 
kama mtu anaujasiri wakusema mbele yawatu elfu moja kuwa amefufua misukure na anakuja nao hadi kanisani kuwaonyesha hao waumini wake lakini wengi wakiwa niwanawake

mtuhuyo muacheni apige hela mana kafika kiwango chajuu chauongo nawatu wameamini
Uongo ukiusema kwa ujasiri na ukaupitilizisha (exaggeration), na ukausema kwa kujirudiarudia watu wasiofikiri sana ni rahisi kukuamini. Na hawa ndio wengi kwenye jamii.

Hata Wayahudi walipotaka kumfanyia fujo Paulo huko asia, waliwatafuta watu kama hawa kufanikisha mission yao.
 
Huu ni uthibitisho uislam ulianzishwa na Wakatoliki ili kuwacontrol waarabu
Hakuna uhakika kwa hiyo nadharia. Kwa sababu wakristo waliokuwepo middle east wengi hawakuwa wakatoriki walikuwa ni Jacobian na Nestorian na makao makuu yao yalikuwa iraq, hawa walienda hadi india na mashariki mwa china. Na hawa waliinfluence mambo mengi sana kwenye uislam. Hata misikiti shape yao ilikuwa ndio shape ya makanisa ya hao jamaa.
 
Kwa hiyo hizi mbinu watu wenye ujasiri wakitumia kuanzisha huduma watatoboa sio...
Ukiwa na ujasiri wa roho mtakatifu na ukawa unetumwa na Mungu hakuna wa kukuzuia. Sema wale wajomba kama ni ujasiri wa gizani pia huwa unachuja over time.
Ila ujasiri yote kwa yote ni muhimu sana ili watu wakuamini na kukufuata kama mtatuzi wa mambo yao yanayowasumbua.
 
Mmmmh kuna walakini mahali ebu atoe muongozo
Hakuna walakini. Masponsor wakubwa wa Yesu walikuwa ni wanawake. Ndio maana watu wa kwanza kufuka kaburini walikuwa ni wakina mama. Walimuamini Yesu kuliko hata mitume 12.

Luka 8:3
na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…