Elections 2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha

Elections 2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha

Uko sahihi, hata baadhi ya wabunge walioonekana kuunga mkono juhudi za upinzania bungeni kama akina Kangi Lugora leo yupo bega kwa bega na Fisadi Papa Lowasa, hii haiingii akilini mwangu na pengine ni kitu kinachotufanye tushindwe kujenga hali ya kuwaamini wanasiasa hasa wabunge mle mjengoni wanachofanya ni kwa masilahi binafsi si kwa moyo wa kujenga nchi.
Mbunge kama Kangi Lugola kwa sababu kwa kipindi cha utawala Kikwete alitegemea kupata uwaziri hata kwa kipindi kimpja lankini mambo haya kuwa hivyo kwa hiyo ana tafuta fadhila kwa Eddo ili amkumbuke wakati atakapo ingia katika ufalme.
 
Mtoa mada ni sawa lkn wtz wengi bado wajinga leo nimekaaa restaurant na bar km mbili watu wengi wanajifanya kummunga mkono lowassa na kumuonea huruma km kaonewa nikasema kwel kazi ipo yaani kuna hitajika elimu maana jamaa amecorrupt akili za watu tayar
 
Ni wazi kuwa Mkutano wa EL pale Arusha Umefunika mikutano yote iliyowahi kutokea A-town ... Najiuliza tu; Hawa wenye kupingana na ukweli wanajifurahisha nafsi zao au wanajaribu kuwaliwaza vibaraka wao? ... Wote tumeshuhudia kilichokuwa kinaendelea pale Uwanjani... ameonyesha Leadership inayokosekana kwa viongozi wengi wa CCM, ameweza kukonga nyoyo za Watanzania wenye kutamani maendeleo ... Itoshe kusema, Watanzania wa leo hawadanganyiki tena ...
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu ataamini mtu yeyote kutoka ccm!. Kina Karamagi, Tibaijuka na mafisadi wengine, sikuona tatizo wako kuwa upande wa fisadi mwenzao lakini SIYO KANGI LUGOLA. Anaonekana kama mtetezi wa taifa kumbe huwa ni usanii tu na makelele ya kuwahadaa Watanzania. Sasa anakwwenda kwa Lowasa ili apate kura za lowasa lakini pia Lowasa amkumbuke. Itikadi za kulipana fadhila kwa ktutumia raslimali za nchi!.

Ccm haina mtu wa kumwamini. Wote majizi, malaghai na wauaji wa Watanzania.
 
Hapo namba mbili ndio ilivyo! Na hofu yangu nikwamba; atawakumbuka woooote waliokua nyuma yake?
 
Asilimia kubwa waliyoenda huko ni wasaka tonge njaa inawasumbua wezi mafisadi tu
Team yote na supporters wake ni majambazi na mafisadi
Ukawa pekee ndy tumaini...October tuipigieni ukawa kura kwa wingi
 
Mtoa mada ni sawa lkn wtz wengi bado wajinga leo nimekaaa restaurant na bar km mbili watu wengi wanajifanya kummunga mkono lowassa na kumuonea huruma km kaonewa nikasema kwel kazi ipo yaani kuna hitajika elimu maana jamaa amecorrupt akili za watu tayar
wengine ni kama hawa,inatia hasira,huyu tulikuwa nae kwenye mapambano,hana kinachomshawishi zaidi ya umati wa watu
Ni wazi kuwa Mkutano wa EL pale Arusha Umefunika mikutano yote iliyowahi kutokea A-town ... Najiuliza tu; Hawa wenye kupingana na ukweli wanajifurahisha nafsi zao au wanajaribu kuwaliwaza vibaraka wao? ... Wote tumeshuhudia kilichokuwa kinaendelea pale Uwanjani... ameonyesha Leadership inayokosekana kwa viongozi wengi wa CCM, ameweza kukonga nyoyo za Watanzania wenye kutamani maendeleo ... Itoshe kusema, Watanzania wa leo hawadanganyiki tena ...
 
Mkuu itachukua muda kidogo kunielewa: Lowassa ni mtu muhimu sana kulekea kwenye Ukombozi wa kiuchumi kama Taifa! Lowassa ndo mtu pekee mwenye kukubalika ndani na nje ya CCM! Lowassa ndo mtu pekee ndani ya CCM mwenye uwezo wa kutekeleza miradi timely kwa gharama yoyote ile! Lowassa ndo kiongoozi pekee mwenye kuogopwa na viongozi wenzie waliomtenda ... Lowassa ndo pekee mwenye kuweza kusababisha mpasuko wa kudumu ndani ya CCM ... Strategically UKAWA wanaweza kushirikiana na Lowassa kuliko wanafiq wengine walioko ndani ya CCM kwani kwenye Maendeleo hakuna mambo ya vyama... Umati huu wote sikuwa wamenunuliwa ama hawana akili... hawa ni Watanzania wanaojua kuwa Mifumo yetu ni migumu kuachia dola upinzani; wamechoshwa na CCM ILA wanatamani angalau apatikane Rais mwenye kujua sababu za UMASIKINI wa nchi yetu yenye Utajiri wa Rasilimali za kila aina ... I stand to be corrected ...
wengine ni kama hawa,inatia hasira,huyu tulikuwa nae kwenye mapambano,hana kinachomshawishi zaidi ya umati wa watu
 
Mkuu itachukua muda kidogo kunielewa: Lowassa ni mtu muhimu sana kulekea kwenye Ukombozi wa kiuchumi kama Taifa! Lowassa ndo mtu pekee mwenye kukubalika ndani na nje ya CCM! Lowassa ndo mtu pekee ndani ya CCM mwenye uwezo wa kutekeleza miradi timely kwa gharama yoyote ile! Lowassa ndo kiongoozi pekee mwenye kuogopwa na viongozi wenzie waliomtenda ... Lowassa ndo pekee mwenye kuweza kusababisha mpasuko wa kudumu ndani ya CCM ... Strategically UKAWA wanaweza kushirikiana na Lowassa kuliko wanafiq wengine walioko ndani ya CCM kwani kwenye Maendeleo hakuna mambo ya vyama... Umati huu wote sikuwa wamenunuliwa ama hawana akili... hawa ni Watanzania wanaojua kuwa Mifumo yetu ni migumu kuachia dola upinzani; wamechoshwa na CCM ILA wanatamani angalau apatikane Rais mwenye kujua sababu za UMASIKINI wa nchi yetu yenye Utajiri wa Rasilimali za kila aina ... I stand to be corrected ...

MMGL3054.jpg


Mbona Lowasa mwenyewe kajichokea kabisa, labda macho yangu tu, waliokuwepo wanasema kuapnda ngazi kufikia nusu alishasalimu amri wakaja kumsaidia kumalizia kupanda kwa kumshikilia. Tamaa ya madara nayo kazi kwelikweli.
 
Chuki binafsi tu... amepanda ngazi mara 2 tena kwa ku-trot ... amehutubia kwa dk ngapi akiwa amesimama? alishiriki matembezi ya kupinga mauaji ya albino umbali wa km 5... Msipende sana kujikita kwenye ugonjwa badala ya hoja wakuu ... wengi wetu ni maiti zinazotembea ....
MMGL3054.jpg


Mbona Lowasa mwenyewe kajichokea kabisa, labda macho yangu tu, waliokuwepo wanasema kuapnda ngazi kufikia nusu alishasalimu amri wakaja kumsaidia kumalizia kupanda kwa kumshikilia. Tamaa ya madara nayo kazi kwelikweli.
 
Mkuu,Karibu tuungane kwenye safari ya nmatumaini kuelekea kwenye mchaka mchaka wa maendeleo na rais Lowasa.....Haya....MCHAKAMCHAKA.....CHINJA.....MCHAKAMCHAKA.....CHINJA....MAENDELEO ...CHINJA....MAENDELEO....CHINJA...Ateh teh teh...kale malimao
 
Dr Slaa hatujasikia kwamba anakududia kugombea urais wala kutangaza nia, ikitokea hapo ndipo ulete swali kama hilo. Kwa sasa tunamjadili aliyetangaza kugombea urais Edward Ngoyai Lowasa
Mkuu ushabiki saa nyingine nao huwa unawafanya watu wanakuwa vichaa wa aina fulani hivi. Maana huyo unayemjibu wanamuita mwanasheria sasa pata picha kwa shabiki ambaye hakujaaliwa kupata elimu na uelewa mkubwa kama ambao tunategemea mwanasheria awe nao!
 
Hichi ndio kipindi ambacho WATANZANIA wanapaswa kuzitumia akili zao vyema kuliko kipindi chocchote cha maisha yao....ndicho kipindi ambacho fikra zao zinatakiwa kuchunguza mambo kwa kina na kuyafanyia maamuzi makini kwa ajili ya kipindi cha miaka mitano ijayo....Maamuzi magumu na makini katika kipindi hiki yanatakiwa yachochewe na mateso makali tuliyopitia kwa kipindi cha miaka mitano....Lazima tutambue kuwa mateso na machungu tuliyopitia kwa kipindi cha miaka mitano hayawezi kuzimwa sahani za pilau, vipande vya khanga, posho za vikao vya kampeni wala lifti za magari ya wanasiasa bali kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kumchagua mtu sahihi ambaye atatufuta machozi na kutufanya tusahau yote yaliyopita huku tukiganga yajayo kwa matumaini makuu....matatizo ya huduma duni za afya tulizopitia kwa kipindi cha miaka mitano vinatosha kutupa somo la namna ya kufanya maamuzi.....huduma mbovu za usafirishaji katika kila Nyanja ,hapa namaanisha kuanzia majini, nchi kavu , na angani zilizotokana viongozi wetu wabovu kutokujali maslahi ya wengi pia vitupe somo la namna kiongozi bora anapaswa kuwa....kashfa kubwa kubwa zinazowakabili viongozi wa umma za ubadhilifu wa mali za umma na wizi wa fedha za umma pia vinapaswa vituamshe akili kuwa tunataka kiongozi wa aina gani.....lazima tukumbuke kuwa uongozi kamwe haununuliwi......mtu yoyote anayetumia fedha au mali kuwania uongozi tunapaswa kumuogopa na kumkwepa kama ukoma...ni dhahiri shahiri kuwa mtu huyo hatufai...kiongozi wa umma ni wa makundi yote ya kijamii, hapo wapo wenye nacho na wasio nacho, wapo weusi kwa weupe, wapo pia na walemavu sasa mtu kama huyu anapotumia fedha au mali inamaanisha kuwa atajenga matabaka katika jamii yetu kwa atatakiwa kulipa fadhila kwa wale wote waliochangia kuingia kwa madarakani, na hapo ndipo hatari inapoanzia kwani hatakuwa tena kiongozi wa umma bali ni kiongozi wa UMATI......Hichi ndio kipindi ambacho hatupaswi kupumbazwa na kauli tamu za wanasiasa waongo, hatupaswi kuacha akili zetu zichezewe na wanasiasa walaghai , lazima tukumbuke kuwa hatima za mustakabali wa maisha yetu kwa kipindi cha miaka mitano ijayo kinategemea na maamuzi ya leo......MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU ZIBARIKI AKILI ZA WATANZANIA.........AMEN......
 
Unaetegemea mapya kupitia ccm ni sawa na mgonjwa anaetegemea anaetamani kupona bila tiba.kwa miaka 4o mie nimejifunza.
 
huyu anataka afie madarakani tu tuingie tena kwejue uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom