Elections 2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha

Elections 2015 Mambo 10 niliyojifunza 'sanaa za maonyesho' za Lowassa - Arusha

Mimi nnaongelea uteja wa madawa.

Na kipengele nilichokiweka ni cha afya.

Hiyo ya "madaraka" ni nani duniani asiyetaka kuwa na madaraka kwenye shughuli zake? - Labda ni wewe pekee.
Huyu mzee kweli anaweza kuwa teja.

kama siyo teja wa madawa basi teja wa pombe.

Ukimwangalia anavyogeuka utadhani kafungwa nati au mafuta yameisha kwenye maungio.
 
Baada ya kumwona jana, EL haonekani kama ni mtu mwenye afya nzuri. Hata kuheuka tuu anageuka kama robot na taratiiiibu, afya haiko sawa!
 
We mleta mada ni sawa na nyoka tafuta pesa na wewe ukusanye watu kama edo otherwise wewe ni kinyesi cha nape
Mtetezi wa mafisadi upo? Mwaka huu kiukweli kamwe hatuwezi kudanganyika jipangeni kivingine.
 
Kilicho nivutia watu wengi wenye asili ya kaskazini walikuwa wakisema hawaipendi ccm na walikuwa wakijinasibu kwa vyama vya ukawa leo baada ya mkutano wa luwasa wamerudi ccm na kumsifia sanaa luwasa.
Kumbe walikuwa ukawa ukawa kwa mkopo leo wamerudi chama lao zamani.

Acha upimbi wewe watu wa kazikazini sio watu wakuyumbishwa!? uliowaona Arusha wameokotwa toka kila upande wa nchi!!
 
Niliwahi kufanya kikao cha dak30 na huyu mzee kiukweli afya yake hairuhusu kuomba top job.Angalia fitness ya akina Uhuru kenyata ,mwangalie Obama, nkurunzinza, nk.Tuweni serious jamani
 
Hujui Siasa wewe,kama ni hivyo Kikwete basi angekosa cha kuongea kwenye bunge la katiba baada ya Warioba kuongea.Utangazaji nia wa Lowasa nina imani watu walikuwa na expectation kubwa lkn hazijafikiwa,hizo sasa ndio advantage kwa wapinzani wake.
 
Kwa jinsi nilivyoona advertise ya Lower Sir jana wengi waliopania kutangaza nia itabidi wajipime upya kwani muziki wa jana haukuwa lelemama. Kigwangala, makamba,sita, mwigulu membe etc wataingiwa na woga sana.
Mimi ningeshauri lower Sir angekuwa wa mwisho ili na wenzake wapate vifua kusimama jukwaani.

Hata mimi nakubaliana na wewe
 
Weweeeeeee! Mbona mtu unashuhudia dem anafukuziwa na jamaa mwenye Range rover, kesho yake we unaenda na kibaiskeli au kiboda boda na unamng'oa? Taiz sio ishu, inategemea unaingia na gia gani mkuu!
 
Kama watanzania hasa wasomi, tujifunze kufanya utafiti hapo kidogo kabla ya ku present any issue wheather it is for, or against especially if it is somebodys willing and desire katika kuomba ridhaa. Hata tukimuhukumu mtu ingawa si vema Sana lkn Kama Kuna ulazma WA kumhukumu basi tujitahidi kuwa WA kweli zaidi Na zaidi.

Kwa maneno uloandika kuhusu Lowasa mengi hujamtendea haki kabsa, suala la bifu kalikana toka siku anaanza Dodoma, pale alikuwa anaelezea Profile yake Kama Mgombea, kazi ndan Na nje Chama alizozifanya, suala la afya sijamchunguza vizuri, ila vingine hujamtendea haki kabsa, hata kwa Mungu wako Na kwa Iman yako try to be the righteous one.

Katika suala la kumchambua mtu si zuri, ila Kama Ni kuchambua tuchambue kazi za mtu, Na sifa za mtu Na uwezo wake kiafya, kiakili n.k so guys lt us be objective not too much subjective be realistic not too much Idealistic.thanks
 
Kwa jinsi nilivyoona advertise ya Lower Sir jana wengi waliopania kutangaza nia itabidi wajipime upya kwani muziki wa jana haukuwa lelemama. Kigwangala, makamba,sita, mwigulu membe etc wataingiwa na woga sana.
Mimi ningeshauri lower Sir angekuwa wa mwisho ili na wenzake wapate vifua kusimama jukwaani.
Hayo mawazo yako mkuu.

wenzake wanabebwa na sifa zao siyo pesa kama yeye.
 
Kama watanzania hasa wasomi, tujifunze kufanya utafiti hapo kidogo kabla ya ku present any issue wheather it is for, or against especially if it is somebodys willing and desire katika kuomba ridhaa. Hata tukimuhukumu mtu ingawa si vema Sana lkn Kama Kuna ulazma WA kumhukumu basi tujitahidi kuwa WA kweli zaidi Na zaidi. Kwa maneno uloandika kuhusu Lowasa mengi hujamtendea haki kabsa, suala la bifu kalikana toka siku anaanza Dodoma, pale alikuwa anaelezea Profile yake Kama Mgombea, kazi ndan Na nje Chama alizozifanya, suala la afya sijamchunguza vizuri, ila vingine hujamtendea haki kabsa, hata kwa Mungu wako Na kwa Iman yako try to be the righteous one. Katika suala la kumchambua mtu si zuri, ila Kama Ni kuchambua tuchambue kazi za mtu, Na sifa za mtu Na uwezo wake kiafya, kiakili n.k so guys lt us be objective not too much subjective be realistic not too much Idealistic.thanks

Ebu mkosoe kwa pointi na kuweka ukweli wenyewe
 
Mada nzuri haiwezi kuandikwa na mtu ambaye yuko affiliated upande mmoja kama wewe. Kumpaka matope Edo, hakuisafishi UKAWA... Nyie mje na sera zenu kuwa mnaweza kufanya lipi na sio kuwafitini Watanzania!
 
Obama hakuwa na nguvu alizokuwa nazo Clinton ndani democrats wakati anaanza kuutafuta urais, lkn alifanikiwa kumshinda na baadae kuwa rais wa marekani!!
 
Kuna SIFA ZA MTU Wanayemtaka CCM awe Rais, LOWASSA hana sifa hata moja. unless uniambie atajiteua???
Kwani hujamsikia jana akigusia Rasimu ya Warioba inayoongelea mgombea binafsi?

Inaelekea hata yeye 'keshanusa' na kugundua kuwa kupenya kwenye chekeche la CCM ili aweze kupeperusha bendera ya chama hicho, nafasi hiyo ni finyu kama kupenya kwenye tundu la sindano!

Ndiyo maana jana kwenye kikao chake cha kutangaza nia ya kugombea Urais alimtaja mzee Mangula, zaidi ya mara 5 'akimsihi' asilikate jina lake.
 
Pole, mbwembwe zilizidi, akapoteza hoja. Maswali kuhusu ufisadi, maswahiba wake na usafi/vyanzo vya utajiri wake hayakutolewa majibu. Matumizi makubwa kutangaza nia tu, eti anataka kuondoa umaskini, wapi na wapi
 
Back
Top Bottom