Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
 
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024

La mukwala kukaa benchi na Mashaka kuingia limenifikirisha sana...

Kingine huyu kocha inaonekana sio mkali... na aina hii ya makocha kufundisha timu inayotengenezwa ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom