Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

Umenena vyema mkuu,,
Kuna wachezaji wa ligi na wachezaji wa CAF) shirikisho,
Bakua
Chasambi
Karabaka
Na genge lao wote ni wa ligi kuu.

Simba ilifanya kosa kubwa sn kuwaacha wachezaji 80% ya timu ya msimu uliopita.
Mtoe Chasambi hapo dogo ana goli na assist champion league. Kawazidi wote hapo ila ajabu hapewi nafasi. Kolo hana kocha.
 
Wewe ni mchambuzi WA MATEMBELE.
kucheza mbele ya mashabiki 45,000 tena kwao.ukapambana na kutoa suluhu wewe ni mwanaume. Simba wamecheza vizuri TUACHE LAWAMA.hao watoto ndo wanapata uzoefu huko hatuna fha kuwalaumu
 
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Amuulize kocha wa azam mechi na pamba hana hamu Feisal wa sub weweee...
 
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Kumtoa Ateba kumuweka Mashaka kwakweli naanza kuona kwamba kocha wetu kuna namna anakosa kujianini
 
Timu gani ilishawahi fungwa bao 6 club bingwa?
download.jpeg
 
Kuna vitu hata kama mimi sina taaluma ya ukocha naona fadlu anatutafuta lawama bila sababu, na ipo siku ao wachezaji wake anaowaamini wanatatugombanisha na yeye......
Mfano;
1. Kwanini huwa kila mechi anamtoa Fernández? Na kila Fernández akitoka mpira unaharibika.?
2. Kwanini Mashaka awe bora over Mukwala????
3. Kwanini Kibu awe bora kuliko Aweso Aweso

1. Fernandez alichoka, mipira mingi ilifia kwake. Kifupi tank la Deborah linawahi kuisha.
2. Kwa namna Tripoli alivyokuwa anacheza, Kibu alikuwa chaguo sahihi over Awesu
3. Tatizo naliona kwa Mashaka, first touch mbovu, hana mikimbio mizuri, hapo sijajua mwalimu aliona nini over Mukwala
Unajua timu Okinawa inashambuliwa sana ata ukimuingiza Halland utamuona hajui tu.
 
Sasa utalinganisha mchezo wa simba na ule upuuzi uliochezwa jana kati ya Yanga na CBE( Timu ya chuo🤣🤣)
Ni Tanzania pekee team iliyocheza vizuri ugeni na kupata matokeo champions league ikiwa na takwimu nzuri inaonekana ilicheza vibaya kuliko team iliyotoa sare ugenini shirikisho kwa zero shot on target. Haya ni maajabu
 
Kwamba duniani ndio wachezaji pekee waliokuwa wamebaki? Wakichoka inaingizwa nguvu mpya kama ilivyo kwa Dube, Boca, Baleke, Aziz na Fundi Abuya.
Utopolo tangu kuwape code mmekuwa na mdomo sana. Your days are numbered, misimu miwili hao wachezaji wote watakuwa hoi
 
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Chura wote kwenye maji hakukaliki, kelele mji mzima.

Mtu unaacha kupalilia matembele yako unajiona nawe mchambuzi wa soka.
 
1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.

2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.

3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu

4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100

5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa

6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli

7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa

8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika

9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini

10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.

Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Niliwai kusema hapa kwamba Simba walisajili cheap labour ivyo wasitegemee mafanikio kwa hao cheap labour, walienda kuokoteza wachezaji wa bei nafuu, kwenye vilabu vya kawaida ambavyo vingine ata kucheza hatua ya makundi shirikisho avijawai, watawezaje kuhimili mikiki mikiki ya vilabu vyenye wachezaji Wenye uzoefu mechi za kimataifa? Matokeo yake kocha anakwenda na game plan ya kulinda na wachezaji 8 dk zote 90!
Tena analinda dhidi ya timu ya kawaida kama iyo ya tripoli, ni aibu!
No shoot on target ata Moja ndani ya dk 90, No chance created ata Moja, Mpira walikuwa wakiugusa wanakaa nao si zaidi ya dk Moja washanyang'anywa, Kina ahoa, mutale, Debora, barua walikuwa kama vile na wao ni mabeki ilikuwa ni zero performance!
 
Back
Top Bottom