Zakayomfupi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 281
- 320
Mtoe Chasambi hapo dogo ana goli na assist champion league. Kawazidi wote hapo ila ajabu hapewi nafasi. Kolo hana kocha.Umenena vyema mkuu,,
Kuna wachezaji wa ligi na wachezaji wa CAF) shirikisho,
Bakua
Chasambi
Karabaka
Na genge lao wote ni wa ligi kuu.
Simba ilifanya kosa kubwa sn kuwaacha wachezaji 80% ya timu ya msimu uliopita.
Amuulize kocha wa azam mechi na pamba hana hamu Feisal wa sub weweee...1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.
2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.
3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu
4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100
5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa
6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli
7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa
8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika
9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini
10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.
Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Kumtoa Ateba kumuweka Mashaka kwakweli naanza kuona kwamba kocha wetu kuna namna anakosa kujianini1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.
2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.
3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu
4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100
5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa
6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli
7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa
8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika
9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini
10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.
Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Timu gani ilishawahi fungwa bao 6 club bingwa?
Keshacheza timu ya taifaBalua asamehewe bure!! Ni mechi yakle ya kwanza ya kimataifa!! Mchecheto ulimhusu!!
Kuna vitu hata kama mimi sina taaluma ya ukocha naona fadlu anatutafuta lawama bila sababu, na ipo siku ao wachezaji wake anaowaamini wanatatugombanisha na yeye......
Mfano;
1. Kwanini huwa kila mechi anamtoa Fernández? Na kila Fernández akitoka mpira unaharibika.?
2. Kwanini Mashaka awe bora over Mukwala????
3. Kwanini Kibu awe bora kuliko Aweso Aweso
Unajua timu Okinawa inashambuliwa sana ata ukimuingiza Halland utamuona hajui tu.1. Fernandez alichoka, mipira mingi ilifia kwake. Kifupi tank la Deborah linawahi kuisha.
2. Kwa namna Tripoli alivyokuwa anacheza, Kibu alikuwa chaguo sahihi over Awesu
3. Tatizo naliona kwa Mashaka, first touch mbovu, hana mikimbio mizuri, hapo sijajua mwalimu aliona nini over Mukwala
Kumekucha...! Ulikuwa wapi wakati wa kupeleka CV mzee ili tuone na wewe maujuzi yako?Simba awana kocha wa mbinu,wachazaji wengi ni wazuri shida ni kocha mbovu kuwai kutokea ni bora hata mzee Mgunda maramia.
nilipeleka ila wapigaji wakanikataa.wakaleta kocha msaidizi kuja kuwa kocha mkuu wa Simba inayotaka kubeba taji la CAF kuchuana na kina Ibenge.Kumekucha...! Ulikuwa wapi wakati wa kupeleka CV mzee ili tuone na wewe maujuzi yako?
Basi subiri mpaka wakati mwingine..! Utakazoongea hapa itakuwa ni chuki zako binafsi.nilipeleka ila wapigaji wakanikataa.wakaleta kocha msaidizi kuja kuwa kocha mkuu wa Simba inayotaka kubeba taji la CAF kuchuana na kina Ibenge.
sio chuki zangu kocha hana mbinu.timu imemzidi.Basi subiri mpaka wakati mwingine..! Utakazoongea hapa itakuwa ni chuki zako binafsi.
Kwa namna mechi ilivyo, timu ilibidi icheze vile.sio chuki zangu kocha hana mbinu.timu imemzidi.
Ni Tanzania pekee team iliyocheza vizuri ugeni na kupata matokeo champions league ikiwa na takwimu nzuri inaonekana ilicheza vibaya kuliko team iliyotoa sare ugenini shirikisho kwa zero shot on target. Haya ni maajabuSasa utalinganisha mchezo wa simba na ule upuuzi uliochezwa jana kati ya Yanga na CBE( Timu ya chuo🤣🤣)
Utopolo tangu kuwape code mmekuwa na mdomo sana. Your days are numbered, misimu miwili hao wachezaji wote watakuwa hoi
Aione chizi Laban og.
Chura wote kwenye maji hakukaliki, kelele mji mzima.1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.
2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.
3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu
4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100
5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa
6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli
7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa
8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika
9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini
10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.
Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024
Niliwai kusema hapa kwamba Simba walisajili cheap labour ivyo wasitegemee mafanikio kwa hao cheap labour, walienda kuokoteza wachezaji wa bei nafuu, kwenye vilabu vya kawaida ambavyo vingine ata kucheza hatua ya makundi shirikisho avijawai, watawezaje kuhimili mikiki mikiki ya vilabu vyenye wachezaji Wenye uzoefu mechi za kimataifa? Matokeo yake kocha anakwenda na game plan ya kulinda na wachezaji 8 dk zote 90!1. Kama Simba ingefungwa leo lawama angebeba kocha wetu, kocha kabisa una taaluma zako umeaminiwa kufundisha klabu kubwa kama Simba unadiriki kumnyanyua na kumuingiza Valentine Mashaka akawasumbue waarabu kweli? Fahdu umeniudh sana.
2. Wanasimba lazima tukubali wapo wachezaji katika timu yetu ni wa kucheza ligi kuu, kombe la Mapinduzi na kombe la Azam lakini sio kombe Shirikisho, Mashaka na Balua ni mojawapo.
3. Wale waarabu wala sio wa kuiihami, Kibu Dennis alipoingia ndio ameichangamsha sana timu
4. Kipa wa Simba ni 100 kwa 100
5. Upangaji wa timu leo haukuwa mzuri kabisa, viungo Joshua na Balua kama ndio anawategemea Basi ajiandae kufukuzwa
6. Kama tungecheza na timu zenye uwezo mzuri leo tungekula hata bao 6 pale tripoli
7. Jean Charles Ahoua kwa uchezaji ule hatuwezi kutoboa kabisa kabisa
8. Ateba ni striker mzuri mno ila kwa viungo hawa akina Mutale sasa hv tutalalamika
9 Yaani Mukwala akae benchi halafu Mashaka aingie, we kocha mbona unanitia mashaka namna hii.Mashaka hata hajui alikuwa anafanya nini
10. Che Malone Fondoh kama anajiamini kwa namna ile basi kuna cku tutakuja kulia.
Soma Pia: FT: Al Ahly Tripoli 0-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Tripoli International Stadium | 15/09/2024