Mambo 10 niliyoyaona leo Simba vs Al Ahly Tripoli

Sijui wewe na kocha wa simba ni nani tumwamini?
 
Nilisinzia kwenye sofa dakika ya 82 Kama sikosei nimeyapata matokeo Jf saa saba usiku..

Kuna moja che Malone alifanya tackling na akamwangusha kwa gwara mchezaji wa tripoli ndani ya 18 wachezaji wa tripoli wakamzonga refa Sanaa refa hakuyumbishwa..
 
Kwakweli kumtoa ateba na kuingia mashaka ni shida hii. Pia kuanza kwa balua na kumuacha awesu awesu na penyewe ni kufeli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…