Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann watoto wanaozaliwa na wamama wenye HIV+ FAKE kama haikuchukuliwa tahadhari wakat wakujfungua nao huwa HIV+FAKE?..na hupatwa na miongoni mwa magonjwa 29 uliyo yainisha katika kipindi cha ndani ya miaka20 hatakama mamayake hakuonyesha dalili za ukimwi?..
wanaobisha wengine hata hawajui tofauti kati ya hiv na ukimwi.ila binafsi nashukuru sana nimepata kitu kwakupitia hapa.
Kwa nilivyo kuelewa mleta mada,.HIV ipo na ukimwi pia upo..
..japo sio wote wenye HIV wana ukimwi..
..ila wenye ukimwi wote wakipimwa wanakutwa na HIV+ fake kutokana na vipimo vsivyo standard vinavyopina antibodies na si kirusi..
..pia kinachoua si kirusi bali ni ukimwi..kama nimekuelewa nipe pata
Lengo ni kucreate fear tu na kuiaminisha dunia kwamba hakuna ukimwi bila HIV ili wafanye biashara zao
na kwanini wakati mwingine unakuta kuna dawa za kupunguza makali ya UKIMWI?
kwahiyo nikijigundua nina UKIMWI/AIDS nichukue hatua gani? kwa sababu katika vituo vya afya utashauriwa utumie ARVs, sasa mbali na kutumia ARVs nifanye nini nikigundua nina AIDS?
na AIDS inaambukizwa kwa njia gani?
AIDS is not both epidemiology and infectious disease. Kushuka kwa kinga ya mwili hakuambukizwi mkuu. Kama kinga ya mwili itashuka , itaanzia kwenye mwili wako na kuishia kwenye mwili wako. Huwezi kumuambukiza mtu ukimwi. Thanks God to that coz laiti kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa Tanzania ingejaa makaburi.
Mku embu utusaidie kwa hili.a.kusini rais wao alipiga marufuku ambaye ni t.mbeki.je huyu wa sasa karuhusu?
Nikumbushe jina la yule Dr aliekiri kwenye house if numbers kuwa we can get rid of HIV kama tukibadili mfumo wa maisha na kuinua kinga zetu hasa sub saharan African.
Mkuu ukimwi haumbukizwi kwa sababu si ugonjwa ambao unasababishwa na kirusi kama inavyoaminika na walio wengi. Watanzania tunasumbuliwa na maladies (Malaria na TB), matumizi yaliyopitiliza ya antibiotics, lishe mbovu na matatizo mengi tu.katika kuomba kujuzwa: mbona kuna mtua ambaye mimi namfahamu aliambukizwa AIDS hakutumia ARVs lakini alikufa?