Mambo 10 ya kisayansi yanayothibitisha kuwa VVU sio chanzo UKIMWI

Mambo 10 ya kisayansi yanayothibitisha kuwa VVU sio chanzo UKIMWI

Mkuu, kutokana na maelezo yako, huo ukimwi husababishwa na nini?
Na kwa nini hao tunaodhani wanaHIV CD4 zao hushuka endapo T- helper cell hazifi kuliko kawaida?
Mi nakubalina na wewe kuwa ukimwi husababishwa na vitu vingi, lakini maelezo yako kuhusu visababishi vya UKIMWI hayaeleweki.

Mkuu kuna mtu aliuliza swali kama hilo nilishalijibu. Ila ngoja nikujibu tena, nilisema kwenye moja ya reply zangu kwamba, sababu za UKIMWI hazifanani kwenye nchi zilizoendelea na nchi maskini kwasababu UKIMWI sio viral epidemiology and Infectious disease. Ugonjwa ambao husababishwa na kirusi na huambukizwa huwa una spread kwa kiwango sawa ulimwengu kote kuanzia upande wa gender hadi geographical. Hii ni toafuti kwa kesi ya UKIMWI. Ukienda Amerika na Ulaya rate ya ukimwi iko tofauti na Afrika. Kwa hiyo sababu za ukimiwi hazifanani duniani.

Nchi zilizoendelea utumiaji wa madawa makali ya kulevya ambayo hutumika kama sehemu ya starehe ndiyo sababu ya kushuka kwa mfumo wa kinga kwenye miili ya watu (UKIMWI). Mfano wa madawa ni kama vile; HEROIN, COCAINE, POPPERS, BARBITUATES, SPEED, PCP na LSD.


Kwa nchi maskini, sababu ni utapiamlo, matumizi yaliyopitiliza ya antibiotics, maambukizi ya magonjwa yanayojirudia kama malaria, stress na mitindo mibaya ya maisha.

Kwahiyo ukimwi ni Multifactorial Disease.

Nikija kwenye swali la 2, Kushuka kwa CD4 sio kwa watu wenye HIV tu. Katika Afrika utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 65% ya wagonjwa wa UKIMWI hawana HIV. Katika Afrika vipimo vya kuwa positive havina muhimu kwa ajili ya kuripoti wagonjwa wa UKIMWI; dalili za kuugua muda mrefu zinatosha.

Kwa kuongezea hapo, hili pia limetokea marekani. Kesi 4,621 za UKIMWI bila HIV zimejitokeza katika Kituo cha kudhibiti magonjwa cha Marekani (CDC), ripoti ya hadi 1993. Na idadi inaweza kuwa kubwa zaidi lakini tafsiri rasmi ya UKIMWI imeundwa ili kuondoa kabisa UKIMWI bila ya HIV.

UKIMWI unatofautiana karibu na ugonjwa wowote ambao umewahi kutokea duniani kutokana na ukweli kuwa hauna dalili maalumu za ukweli za kudumu. UKIMWI ni neno mwamvuli kwa ajili ya magonjwa mengine zaidi ya 29 ya zamani na mmoja ambao siyo ugonjwa (wa chembechembe za seli T4 wa chini ya 200/ul ya damu) wakati mtu amekutwa na kinga dhidi ya VVU anapofanya vipimo vya ukimwi.

Namna tafsiri ya UKIMWI ya CDC inavyofanya kazi:

  • Kaposi sarkoma + HIV = UKIMWI
  • kaposi sarkoma – VVU = kaposi sarkoma
  • Pneumonia + HIV = UKIMWI
  • Pneumonia – VVU = Pneumonia
  • Dementia (matatizo ya akili) + HIV = UKIMWI
  • Dementia – VVU = Dementia
  • Chembechembe chini ya 200 za seli T4 + HIV = UKIMWI
  • Chembechembe chini ya 200 za seli T4 – VVU = hakuna ugonjwa

Ukiangalia hap juu, hakuna ugonjwa ambao husababishwa na HIV pekee. HIV inasemwa husababisha magonjwa 29 ya zamani wakati inapokuwepo sasa inapojitokeza sambamba na magonjwa mengine. Wakati HIV hakijaanza kusemwa kusababisha ukimwi, sababu za magonjwa hayo zaidi ya 29 zinajulikana, si HIV.

Kwahiyo tafsiri ya UKIMWI inajenga uhusiano wa asilimia 100% kati ya Ukimwi na HIV. Uhusiano huu hauko proved scientifically....Hili halina ubishi hata medical experts wa kiafrika wanaofatilia mambo kwenye ulimwengu wa sayansi wanajua hili.

Nikija kwenye swali lako la mwisho, ni kwamba hauwezi kunielewa kwa urahisi, UKIMWI hausabishwi na kitu kimoja. NI MULTIFACTORIAL DISEASE, na baadhi ya factor nimekupa hapo.
 
Mwisho wa siku nimekuja kugundua kwamba,hii controversy haina tofauti sana na elimu ya dini..ila kitu ambacho wenye dini wote wanakubaliana ni kwamba Mungu yupo,au something like that..
Na hapa ni mwanzo tu..bado kuna mengi yatasemwa..lakini at least kwa sasa wote tunakubaliana kuwa UKIMWI upo na HIV ipo.

Na kingingine tukubaliane pia kwamba hizi nadharia zote zinazokinzana zimetoka kwa wazungu..kwa maslahi ya nani,sina jibu..

Tatizo kubwa niloona hapa ni kuwachanganya wagonjwa..maana habari kama hii sijui watu wengi wanaoishi na VVU wataipokeaje.

Lakini hii yote ni matokeo ya kukua kwa elimu sayansi na humo humo wanatokea wajasiriamali wanatumia fursa hizo kutengeneza pesa.

Baada ya monopoly ya miaka mingi ya hii inayoitwa tiba rasmi watu wamekuwa wakiitegemea sana..na tafiti nyingi zilijikita ktk kuipanua taluma hii..tumekuwa tukielimishwa sana juu ya afya zetu na usalama wa maisha yetu..Sasa miaka ya hivi karibuni imeibuka taaluma nyingine inayoitwa tiba mbadala..hapa ndipo tatizo lilipojitokeza..kimsingi hii tiba ilikuwepo hata kabla ya hii inayoitwa rasmi..tatizo ni kwamba hii inayoitwa rasmi,kwa miaka mingi imekuwa ikipata support kutoka serikali na mashirika mengi duniani,na hivyo ikajikuta imepiga hatua kubwa.

Sasa hawa jamaa wa tiba mbadala nao wameamua kurudi tena barabarani kujibu mapigo..sasa hapa ndipo controversy inapotokea..mgongano wa two schools of thought..Kwanza hawa jamaa wao wadai wana tiba ya magonjwa yaliyoshindikana kwa tiba rasmi..ndo hapo tunasikia siku hizi kwamba kansa inapona,kisukari kinapona,presha inapona..hadi leo tunaambiwa HIV/AIDS ni nadharia feki..nk..nk..nk..

Hawa jamaa walichofanya kwanza, ni kutangaza kuwa magonjwa yote yanayotutisha si kweli bali ni conspiracy! Baada ya hapo wanatangaza kuwa na tiba mbadala ya magonjwa hayo.Na hawa jamaa wamejitahidi sana kiasi cha kufanya hata dini zimesurrender kwao..maana tofauti na tiba za dini zinazolenga zaidi watu wasio na elimu sana,hawa jamaa wamepata ufuasi wa wasomi pia..na hata hii nadharia tunayojadili hapa mi naamini imetokea huko huko..

Kimsingi taluma zote hizi ni nzuri,maana zote ni kwa ajili ya afya zetu..tatizo ni pale zinapokinzana na kutuweka watumiaji wake njia panda..watu wanafika mahali wanashindwa kujua nani ni mkweli,maana wote wanatibu na watu wanapona,tunawaona..
 
Sorry!!!hapa unafurahisha genge au uko serious????NO!! Hiyo nadharia itapotosha wengi,muhimu jua UKIMWI UPO NA UNAUWA!!!!!!
Nimekusoma mkuu, hitmisho ni kwamba HIV sio sababu ya UKIMWI isipokuwa UKIMWI katika nchi za viwanda husababishwa na matumizi ya dawa za kulevyazinazotumiwa na watu kama sehemu ya starehe, miongoni mwa madawa hayo ni; HEROIN, COCAINE, POPPERS, BARBITUATES, SPEED, PCP na LSD, ila kwa nchi zinazoendelea ikiwemo nchi zilizopo bara la afrikka sababu ya UKIMWI ni; utapiamlo, ukosefu wa maji safi na salama, matumizi yaliyokithiri ya antibiotics, maambukizi ya magonjwa yanayojirudia kama malaria na tb, stress na mitindo mibovu ya maisha.

Hivyo ndivyo vinavyosababisha ku break down kwa mfumo wa kinga wa binadamu.
 
Mwisho wa siku nimekuja kugundua kwamba,hii controversy haina tofauti sana na elimu ya dini..ila kitu ambacho wenye dini wote wanakubaliana ni kwamba Mungu yupo,au something like that..

Na hapa ni mwanzo tu..bado kuna mengi yatasemwa..lakini at least kwa sasa wote tunakubaliana kuwa UKIMWI upo na HIV ipo..


Na kingingine tukubaliane pia kwamba hizi nadharia zote zinazokinzana zimetoka kwa wazungu..kwa maslahi ya nani,sina jibu..

Ni kweli Mkuu Controversy ipo, na hii Controversy imetokana na uweli kupindishwa since day 1.
Na ndiyo maana nikasema haya maelezo ni kwa ajili ya elimu na ufahamu wa mambo yanayoendelea kwenye hii dunia. Kwahiyo si sheria wala msahafu kwahiyo ulazimishwi kuamini.

Ila kama mwafrika na matanzania mwenzangu nakushauri pia usome, udadisi na ufatilie mambo yanayoendelea kwenye huu ulimwengu, sio ukimwi tu kuna vitu vingi tu ukweli wake umepinduliwa juu chini.

Kuhusu kukubaliana tunakubaliana kwasababu waliyoishika hii dunia wao ndiyo wamefanya tukubaliane na sio tunakubaliana kwasababu wote tupo gizani.

Mwisho hii dhana ya kila mzungu ni adui wa mwafrika, nadhani watu kama wamecrame hivi. Believe me or not si kila mtu mweupe ni adui wa mwafrika.
 
Sorry!!!hapa unafurahisha genge au uko serious????NO!! Hiyo nadharia itapotosha wengi,muhimu jua UKIMWI UPO NA UNAUWA!!!!!!

Huwezi kuamini kwasababu umezaliwa umeukuta ukimwi na tangu ukiwa darasa la kwanza mpaka secondary umefundishwa kwamba ukimwi husababishwa na kirusi cha HIV. Kwahiyo ni vigumu kuamini kitu ambacho umekalilishwa kwa zaidi ya miaka 20 uje kuwaambiwa hakina ukweli.

Unaposema hii ni dharia itapotosha, una maana gani? kupotoshwa tupotoshwe mara ngapi? tayari wewe ushapotoshwa hapo ulipo.

Ukimwi upo kweli ndiyo na unaua ila HIV sio sababu.
 
Mkuu Poverty eliminator na Mkuu Deception nisaidieni hapa, Je? Kila Mwanadamu anae HIV mwilini?

Thanks! Mkuu kwa swali lako, Kuhusu kila mtu kuwa na kirusi cha HIV sina uhakika na hiyo kitu. Ila Kutokana na kanuni ya mwanasayansi Farr (Farr's Law) Kirusi cha HIV kimekuwepo enzi na enzi kwenye miili ya binadamu bila kusababisha ugonjwa wowote ule . Na kimekuwa transmitted kutoka kizazi kimoja kwenda kingine kwa njia ya mama kwenda kwa mtoto (Perinatal Transmission).

Kitu ambacho watu wengi hawakifahamu ni kwamba kuna retrovirusi kati ya 50-100 kwenye mwili wa binadamu yeyote mwenye afya, ila wako chini ya uangalizi wa mfumo wa kinga.

Na kundi hili la Virusi aina ya retrovirus kwa asili yao hupenyeza taarifa zao za kijenetiki katika seli na kuwa virusi mfu mara tu vinapokuwa neutralized na mfumo wa kinga ya mwili na HIV ni moja ya kirusi kutoka kundi hili la retrovirus.
 
Mwisho wa siku nimekuja kugundua kwamba,hii controversy haina tofauti sana na elimu ya dini..ila kitu ambacho wenye dini wote wanakubaliana ni kwamba Mungu yupo,au something like that..
Na hapa ni mwanzo tu..bado kuna mengi yatasemwa..lakini at least kwa sasa wote tunakubaliana kuwa UKIMWI upo na HIV ipo..
Na kingingine tukubaliane pia kwamba hizi nadharia zote zinazokinzana zimetoka kwa wazungu..kwa maslahi ya nani,sina jibu..

Tatizo kubwa niloona hapa ni kuwachanganya wagonjwa..maana habari kama hii sijui watu wengi wanaoishi na VVU wataipokeaje..
Lakini hii yote ni matokeo ya kukua kwa elimu sayansi na humo humo wanatokea wajasiriamali wanatumia fursa hizo kutengeneza pesa.

Baada ya monopoly ya miaka mingi ya hii inayoitwa tiba rasmi watu wamekuwa wakiitegemea sana..na tafiti nyingi zilijikita ktk kuipanua taluma hii..tumekuwa tukielimishwa sana juu ya afya zetu na usalama wa maisha yetu..Sasa miaka ya hivi karibuni imeibuka taaluma nyingine inayoitwa tiba mbadala..hapa ndipo tatizo lilipojitokeza..kimsingi hii tiba ilikuwepo hata kabla ya hii inayoitwa rasmi..tatizo ni kwamba hii inayoitwa rasmi,kwa miaka mingi imekuwa ikipata support kutoka serikali na mashirika mengi duniani,na hivyo ikajikuta imepiga hatua kubwa.

Sasa hawa jamaa wa tiba mbadala nao wameamua kurudi tena barabarani kujibu mapigo..sasa hapa ndipo controversy inapotokea..mgongano wa two schools of thought..Kwanza hawa jamaa wao wadai wana tiba ya magonjwa yaliyoshindikana kwa tiba rasmi..ndo hapo tunasikia siku hizi kwamba kansa inapona,kisukari kinapona,presha inapona..hadi leo tunaambiwa HIV/AIDS ni nadharia feki..nk..nk..nk..

Hawa jamaa walichofanya kwanza, ni kutangaza kuwa magonjwa yote yanayotutisha si kweli bali ni conspiracy! Baada ya hapo wanatangaza kuwa na tiba mbadala ya magonjwa hayo.Na hawa jamaa wamejitahidi sana kiasi cha kufanya hata dini zimesurrender kwao..maana tofauti na tiba za dini zinazolenga zaidi watu wasio na elimu sana,hawa jamaa wamepata ufuasi wa wasomi pia..na hata hii nadharia tunayojadili hapa mi naamini imetokea huko huko..

Kimsingi taluma zote hizi ni nzuri,maana zote ni kwa ajili ya afya zetu..tatizo ni pale zinapokinzana na kutuweka watumiaji wake njia panda..watu wanafika mahali wanashindwa kujua nani ni mkweli,maana wote wanatibu na watu wanapona,tunawaona..

Mkuu Mrimi, sijui kama nimekupata vizuri? una maana kwamba scientists ambao wame question Hypothesis ya HIV/AIDS ni watu wenye maslahi na tiba mbadala au nimeelewa vibaya? naomba nisaidie?
 
baadhi ya watu ni wapotoshaji humu JF taarifa unazozipata humu ni vyema ukazihakiki kwa kusoma majarida na vitabu usije ukajifunza ujinga

Wanapotosha watu ili wafaidike na nini?

Maana wao wanawaponda hao wanashabikia ugonjwa kwani wanafaidika na kuuza dawa.
 
Huwezi kuamini kwasababu umezaliwa umeukuta ukimwi na tangu ukiwa darasa la kwanza mpaka secondary umefundishwa kwamba ukimwi husababishwa na kirusi cha HIV. Kwahiyo ni vigumu kuamini kitu ambacho umekalilishwa kwa zaidi ya miaka 20 uje kuwaambiwa hakina ukweli.

Unaposema hii ni dharia itapotosha, una maana gani? kupotoshwa tupotoshwe mara ngapi? tayari wewe ushapotoshwa hapo ulipo.

Ukimwi upo kweli ndiyo na unaua ila HIV sio sababu.
poverty eliminator inaelekea unapenda ligi za ubishi na ndio kusudio la kuanzisha uzi huu, tafadhali kama acha utani na suala hili kila mmoja hapa ni muathirika wa janga hili kwa namna moja au nyingine. Elimu yako haina msaada wowote
 
poverty eliminator inaelekea unapenda ligi za ubishi na ndio kusudio la kuanzisha uzi huu, tafadhali kama acha utani na suala hili kila mmoja hapa ni muathirika wa janga hili kwa namna moja au nyingine. Elimu yako haina msaada wowote

Jifunze kusoma,kudadisi na kufikiri.Fungua akili yako ndio utaona yaliyojificha,usiongee tu kwa sababu una uhuru wa kuongea.Je,una uthibitisho wowote kwamba elimu inayotolewa hapa haina masaada?
Watu tumeshathibitisha haya mambo kwa kutumia miili yetu wenyewe,kama unaona haina msaada kaa pembeni acha watu wenye akili ya kudadisi wajifunze.Hizi ndizo sababu zinazofanya ngozi nyeusi ziendelee kutawaliwa na wakoloni hadi leo.Mtanisamehe kwa kuzungumza kwa hasira.

Unajua kama mtu una uhakika na jambo fulani,halafu unaliona ni muhimu na wengine wakalijua halafu watu wanatoka huko wanakotoka kuja kupinga bila sababu za msingi mimi huwa napata hasira sana.Nimeshapoteza ndugu zangu wengi kabla sijafahamu ukweli huu,sasa najua ukweli huu na nimeshaokoa wengi,sasa watu wanakurupuka na kuongea hovyo tu bila kuthibitisha kwamba haya mambo ni uongo.

Kama kuna mtu yeyote anayejiamini kwamba anajua na ana uthibitisho aje hapa tuone nani ni mkweli.Tutapambanisha evidence kwa evidence za kisayansi kuanzia kwenye Historia ya HIV/AIDS,Hypothesis yake,Vipimo vyake na madawa yake(ARVs).Kama yupo mtu kama huyo aje hapa.Sio mnakurupuka na kuja kuwaharibia watu mood hapa.Kama wewe unaona hapakufai kaa kimya watu wenye akili zao waendelee,hatuhitaji BRAIN WASHED people hapa,tunataka watu wanaojitambua na wenye nia ya kujifunza mambo mapya.

Haya njooni sasa,evidence kwa evidence kama kweli mnajua.
 
Jifunze kusoma,kudadisi na kufikiri.Fungua akili yako ndio utaona yaliyojificha,usiongee tu kwa sababu una uhuru wa kuongea.Je,una uthibitisho wowote kwamba elimu inayotolewa hapa haina masaada?
Watu tumeshathibitisha haya mambo kwa kutumia miili yetu wenyewe,kama unaona haina msaada kaa pembeni acha watu wenye akili ya kudadisi wajifunze.Hizi ndizo sababu zinazofanya ngozi nyeusi ziendelee kutawaliwa na wakoloni hadi leo.Mtanisamehe kwa kuzungumza kwa hasira.

Unajua kama mtu una uhakika na jambo fulani,halafu unaliona ni muhimu na wengine wakalijua halafu watu wanatoka huko wanakotoka kuja kupinga bila sababu za msingi mimi huwa napata hasira sana.Nimeshapoteza ndugu zangu wengi kabla sijafahamu ukweli huu,sasa najua ukweli huu na nimeshaokoa wengi,sasa watu wanakurupuka na kuongea hovyo tu bila kuthibitisha kwamba haya mambo ni uongo.

Kama kuna mtu yeyote anayejiamini kwamba anajua na ana uthibitisho aje hapa tuone nani ni mkweli.Tutapambanisha evidence kwa evidence za kisayansi kuanzia kwenye Historia ya HIV/AIDS,Hypothesis yake,Vipimo vyake na madawa yake(ARVs).Kama yupo mtu kama huyo aje hapa.Sio mnakurupuka na kuja kuwaharibia watu mood hapa.Kama wewe unaona hapakufai kaa kimya watu wenye akili zao waendelee,hatuhitaji BRAIN WASHED people hapa,tunataka watu wanaojitambua na wenye nia ya kujifunza mambo mapya.

Haya njooni sasa,evidence kwa evidence kama kweli mnajua.

kuna watu kila kitu huwa wanabishaga tu bila hata kudadisi, ila umetoa bonge ya elimu mkuu na tulioelewa tumeelewa ambao bado wanatia ubishi achana nao
 
baadhi ya watu ni wapotoshaji humu JF taarifa unazozipata humu ni vyema ukazihakiki kwa kusoma majarida na vitabu usije ukajifunza ujinga

Ni kweli mkuu hii ni forum, kila mtu anaweza akalala, akamka na kuja na kitu ambacho anakiamini, lakini unapopinga kitu, pinga kwa hoja na sio kusema kwamba watu ni wapotoshaji. Kila info ambayo naiweka nimejaribu kuweka reference za site na online journals kwa mtu kama wewe ambaye unapenda kusoma vitabu na journals. Na haya maelezo si maneno yangu, hizi ni reference kutoka kwenye hizo journal na vitabu ambavyo unasema. Na je una uhakika gani kwamba sisi hatujasoma hivyo vitabu na journals? au kwasababu sisi ni waswahili wenzako? unanipa mashaka sana mkuu kama kweli wewe ni msomaji wa vitabu. HERE IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.
 
poverty eliminator inaelekea unapenda ligi za ubishi na ndio kusudio la kuanzisha uzi huu, tafadhali kama acha utani na suala hili kila mmoja hapa ni muathirika wa janga hili kwa namna moja au nyingine. Elimu yako haina msaada wowote

Ni kweli Mkuu, kwa mtazamo wako hii elimu inaweza ikawa haina msaada wowote kwako na kwa familia yako. Nataka nikwambie kitu kimoja hatupo hapa kutaniana. Nadhani wewe uko hapa kwa ajili ya utani na ndiyo maana unatoa comment nyepesi nyepesi kwa fact nzito zilizo mbele yako.

Mtu ambaye yuko smart akisikia kitu ambacho kinagusa hisia za wengi huwa hakiachi kipite tu, anakwenda beyond kwa kutafuta fact juu ya kitu husika. Hii dunia kuna watu wameumbwa kwa ajili ya ku expose mambo yote mabaya wanaofanya baadhi ya binadamu (MIUNGU WATU) zidi ya binadamu wenzao ambao hawana hatia.

Sasa basi nakushauri soma vitabu, dadisi na ufatilie mambo yanayoendelea kwenye huu ulimwengu. Sio unatumia muda mwingi kusoma magazeti ya udaku. FREE YOUR MIND.
 
Kwann watoto wanaozaliwa na wamama wenye HIV+ FAKE kama haikuchukuliwa tahadhari wakat wakujfungua nao huwa HIV+FAKE?..na hupatwa na miongoni mwa magonjwa 29 uliyo yainisha katika kipindi cha ndani ya miaka20 hatakama mamayake hakuonyesha dalili za ukimwi?..
 
...hii controversy haina tofauti sana na elimu ya dini.....

Yaani hapo unajiona umedadavua kweli!!!

..kwa sasa wote tunakubaliana kuwa UKIMWI upo na HIV ipo....

Una uhakika kwamba wote tumekubaliana kwamba HIV yupo?Wewe utakuwa hujui hata maana ya HIV na hujui hata historia ya jina hilo imeanzia wapi,hivyo kwa kifupi hujui ukisemacho.Ushauri wangu ni kwamba,kama uliweza kutoa muda wako kwa kusoma elimu hiyo unayoijua sasa,basi si vibaya ukatoa muda wako tena kwa kusoma elimu hii mpya.Sio dhambi kusoma kitu kipya,wewe unaonaje?

Mrimi,
Maneno meeeengi lakini hamna kitu.Hii ni hatari sana.Kwani mkitenga muda wenu kusoma kwa undani elimu hii mpya mtapungukiwa nini?Kwa nini hamtaki kusoma?Msiwe kama mmepigwa welding kwenye hiyo elimu rasmi kiasi cha kushindwa kugeuka na kuangalia upande wa pili.Badilikeni basi.
 
Back
Top Bottom