Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Na kwanini na wewe unaamini kuwa mtu fulani ana akili na maarifa? Kwani ulishawahi kuiona akili kwa macho?
Akili ni jina la kufikirika tu, halipo katika uhalisia.

Tukipasua kichwa cha binadamu hatuwezi kuona hiyo akili, kwa sababu akili ni dhana ya kufikirika tu inayo onyesha ufanyaji kazi wa ubongo na uchakataji wa taarifa.
 
Umeona tunapoelekea?

Hivi ningesema nina vidole vitano kwenye mkono ungeuliza nimejuaje?

Umeona haya maswali yako yanavyozidi kuongezeka?

Hiyo ndio proof kuwa tuhuma nzito zinataka uthibitisho mzito. Na ndio maana unaanzia kwangu kutaka kujua nimejuaje.

Namimi nakuambia unataka maelezo kuhusu mimi ili iweje wakati maelezo uliyopewa yamejitosheleza?

Kwani hukubaliani na hayo maelezo?

Haya lets say nimesema nimejua kupitia kitabu chake ambacho nimekipoteza na sina backup yeyote ya kuweza kukupatia usome.

Then what?
Ndio unataka kulinganisha nini hapa au unalenga nini maana naona kama umepanic bila sababu ya msingi.
 
Kuamini ni haki ya kila mmoja shida inakuja pale unachokiamini wewe kulazimisha kila mtu aamini ndio maana unatakiwa uthibitishe.

Wapi nimeandika kujua ni kinyume cha kuamini?
Umelazimishwa kuamini kvp yani?

Mnaposema hamtaki kuamini mnataka kujua mna maana gani?
 
Wewe ndiye ambaye huelewi.

Mimi Sidai kwamba hakuna Mungu.

Mimi NAPINGA madai yenu ya kusema kwamba kuna Mungu.

Kwa sababu madai ya uwepo wa Mungu yametoka kwenu nyie waamini huyo Mungu.

Ninyi ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu hayo, Ya kusema kuna Mungu.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa huyo Mungu, Ni kwamba madai yenu ni ya uongo, Na huyo Mungu mnayedai yupo, HAYUPO.

Una elewa hilo?

Dhana ya Mungu imeanzia kwenu nyie waamini Mungu, Lakini mmeshindwa kutoa uthibitisho wa uwepo wake.

Sasa huoni tu kwamba madai yenu ni ya uongo?

Huoni kwamba huyo Mungu mnayedai yupo, Hayupo?
Unapinga madai madai ya kuwepo Mungu kwa sababu unasema hakuna Mungu na hajawahi kuwepo, sasa huko sio kupinga madai ya Mungu kisa hakuna uthibitisho bali unachofanya ni kutoa madai ya kutokuwepo Mungu. Kama ishu ingekuwa ni kukosekana uthibitisho tu usingekuwa unasema kwa kujiamini kuwa hakuna Mungu.

Agnostics hawaamini Mungu pia ila hawasemi moja kwa moja kuwa hakuna Mungu na hajawahi kuwepo maana hakuna namna ya kuweza kujua hilo kiuhakika ila wewe unasema kabisa hakuna Mungu na hajawahi kuwepo halafu unakataa kuwa hayo sio madai.

Kushindwa kuthibitisha madai ndio kunafanya moja kwa moja kuwa madai ya uongo au ni madai yasio na ushahidi?
 
Thibitisha uwepo wa huyo Mungu?
Kuna ndugu yangu alikuwa anaishi kijijini anaumwa VVU Yan UKIMWI na anatumia vidonge zaidi ya mwaka na alikuwa na hofu ya Mungu sanaa siku Moja alipo pita nyumban kwenda kuchukua dawa kama kawaida usiku tulimuomba Mungu .na asubuh aliomba sana.. alipo enda hospital akapima hakakutwa Hana kabisa virus vya UKIMWI..ashukuliwe Bwana Yesu ndie alimponya ...
 
Eti mtu anataka uthibitisho wa kitu ambacho hakipo!!

Hivi hii inawezekana vipi?

Uthibitisho ukisha kuwepo ni kwamba kitu kipo.

Uthibitisho ukikosekana ni kwamba kitu hakipo.

Tatizo la hawa watu wanakaza mafuvu yao, Na wanataka ubishi usio na tija.

Wanataka tu, kutetea imani zao uchwara za kidini zisizo na logic wala reasoning.
Hivi unaelewa hata kazi ya uthibitisho? Kwako wewe uthibitisho ndio unafanya kitu kiwepo?
 
Ndio unataka kulinganisha nini hapa au unalenga nini maana naona kama umepanic bila sababu ya msingi.
Nataka uniambie ni aina gani ya uthibitisho ambao kwako utaku satisfy kuthibitisha teapot inayo orbit jua ipo
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.

Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.

2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).

Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.

Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.

Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Uliwahi kumuona wap huyoo munguu wewe
 
Nataka uniambie ni aina gani ya uthibitisho ambao kwako utaku satisfy kuthibitisha teapot inayo orbit jua ipo
Kwani kuna uthibitisho ambao umetoa nikaukataa hadi uniulize hivyo?
 
Unapinga madai madai ya kuwepo Mungu kwa sababu unasema hakuna Mungu na hajawahi kuwepo, sasa huko sio kupinga madai ya Mungu kisa hakuna uthibitisho bali unachofanya ni kutoa madai ya kutokuwepo Mungu. Kama ishu ingekuwa ni kukosekana uthibitisho tu usingekuwa unasema kwa kujiamini kuwa hakuna Mungu.

Agnostics hawaamini Mungu pia ila hawasemi moja kwa moja kuwa hakuna Mungu na hajawahi kuwepo maana hakuna namna ya kuweza kujua hilo kiuhakika ila wewe unasema kabisa hakuna Mungu na hajawahi kuwepo halafu unakataa kuwa hayo sio madai.

Kushindwa kuthibitisha madai ndio kunafanya moja kwa moja kuwa madai ya uongo au ni madai yasio na ushahidi?
Unataka uthibitisho na ushahidi gani kwa kitu kisichokuwepo, ilhali wewe unayedai kipo umeshindwa kuthibitisha kipo?

Hivi uko timamu kweli?

Ukisema Mungu yupo, Ina maana una ushahidi na uthibitisho wa uwepo wake.

Sasa nyie mnasema Mungu yupo, Halafu uthibitisho wake hamna. Halafu hapohapo mnakataa kwamba hayupo.

Sasa unataka nini?
 
Unataka uthibitisho na ushahidi gani kwa kitu kisichokuwepo, ilhali wewe unayedai kipo umeshindwa kuthibitisha kipo?

Hivi uko timamu kweli?

Ukisema Mungu yupo, Ina maana una ushahidi na uthibitisho wa uwepo wake.

Sasa nyie mnasema Mungu yupo, Halafu uthibitisho wake hamna. Halafu hapohapo mnakataa kwamba hayupo.

Sasa unataka nini?
Watu wa dini machizi hawajielewii mungu yupo thibitishaa sasa uwepo wa mungu haletu yeye yupo tuu mungu yupo mungu yupoo
 
Hivi unaelewa hata kazi ya uthibitisho? Kwako wewe uthibitisho ndio unafanya kitu kiwepo?
Ndio uthibitisho unafanya kitu kiwepo.

Bila uthibitisho hakuna kitu.

Niambie ni kitu gani kipo bila uthibitisho wa kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika au kupimika?
 
Back
Top Bottom