Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Kwani kuna uthibitisho ambao umetoa nikaukataa hadi uniulize hivyo?
Hujakataa uthibitisho.

Namimi nipo katika hatua ya kutaka kukupa uthibitisho. Ila kabla sijafanya hivyo nataka nipate jibu kutoka kwako ni uthibitisho wa namna gani unaoweza kutimiza haja yako ya kukufanya ukubaliane na maelezo hayo?

Hili ndio swali ambalo unatakiwa kujibu ili nijue huo uthibitisho unaoutaka unafananaje.
 
Huyo Erick ni wako na wajapani ila Mungu wangu yupo kabisa. My prime cause of everything and whatever exist. He must be exit somewhere.
 
Ila sasa vipi kuhusu hawa ambao wanaamini asili kuliko Mungu?!
Soma Warumi 2:12-16(BHN)
"Wale wanaotenda dhambi bila kuijua sheria wataangamia ingawaje hawaijui sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua sheria watahukumiwa kisheria. Maana sio wanaosikia sheria ndio walio waadilifu mbele ya Mungu, ila wenye kuitii sheria ndio watakaokubaliwa kuwa waadilifu. Mathalani: Watu wa mataifa mengine hawana sheria; lakini kila wanapotimiza matakwa ya sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha sheria ingawa hawaijui sheria. Mwenendo wao unaonesha kwamba matakwa ya sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea. Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo."
 
Mkianza kuleta mambo ya hukumu ndio mnachanganya watu, Mungu yupo ila hukumu haipo msiwatishe watu, dini hizi za watu zinafanya watu wakae mbali zaidi na Mungu zimekuwa zikiwatisha sana watu

Ukigeuka huku hukumu, ukienda kule mapepo , ukihudhuria misibani huko ndio kabisa kujazana hofu ni kwingi hofu tupu wakati kuna namna tunaweza ishi bila kutiana hofu,
Kama unaendesha gari, ukiona vibao vya alama za tahadhari/hatari, unawalaumu walioviweka kwamba wanakutisha au unawashukuru kwamba watakuwezesha kufika salama? Kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa dunia hii ukifika, kifuatacho ni hukumu. Wanaotenda dhambi ndio wanaoona wanatishwa. Lakini wanaomcha Mungu hawana hofu hata wakiambiwa hukumu ni kesho!
 
You have explained the works done by that God but we don't need that.

We need to understand the meaning of God first, and then what His/Her/It's origin is?

If we know what God's origin is, Then we'll accept those works were done by Him/Her/It.
 
Hujajibu hoja
Erick ni wa huko na Iman yao ila na mimi nina Imani yangu juu ya Mungu wangu kama wajapani walivyo na Imani yao juu ya huyu m-ngu wao. Mazingira ya ukuaji na tamaduni zetu kama ambavyo haziko sawa basi nami namna ya kumuelekea Mungu wangu haiwezi kuwa sawa na wao.
 
Cosmological Argument ni hoja zilizojaribu ku-assume kuwa kuna Mungu kupitia mifano ya mazingira, hazithibitishi Mungu yupo.
The Cosmological Argument presents a systematic reasoning based on observations of the universe and its origins, rather than relying on mere assumptions or casual speculation. To counter the claim that "it doesn’t prove God exists," here are some key points:

  1. Principle of Causality: The Cosmological Argument asserts that everything that has a beginning of existence must have a cause. The universe has a beginning, so it must have a cause outside of itself—one that aligns with the characteristics of God.
  2. Avoiding an Infinite Regress: If everything required a prior cause indefinitely, nothing would exist now. To avoid this infinite regress, there must be a first cause that is uncaused and eternal, which corresponds to the concept of God.
  3. Environmental Observations as Rational Basis: The argument doesn’t merely use environmental examples to assume God’s existence. Instead, it reflects on the fundamental nature of all created things. For instance, the laws of physics and the universe's tendency towards order suggest an intelligent mind behind them.
  4. Metaphysical Reasoning: The argument moves beyond natural science to address questions about the very essence of existence. While science explains how things work, the Cosmological Argument seeks to answer why anything exists at all rather than nothing.
Thus, the Cosmological Argument is not about mere assumptions but offers a logical foundation that points to God’s existence as the most plausible explanation based on observations of the universe.
 
Kama kuna uwezekano wa kuwa na kitu ambacho hakina mwanzo, kwanini binadamu na kila kilichopo kisiweze kutokuwa na mwamzo? Thibitisha hili.
The possibility of something existing without a beginning depends on the distinction between contingent beings (those that depend on something else for their existence) and a necessary being (something that exists independently and eternally). This can be explained as follows:

  1. The Nature of Contingent Beings: Everything observable in the universe has a beginning and is caused by something else. For example, humans are born through reproduction, and stars and planets are formed through environmental processes. This demonstrates that anything with a beginning relies on something else for its existence.
  2. The Need for a First Cause: If humans and everything else existed without a beginning, there would be an infinite regress of causes. However, such an infinite regress is logically problematic because it cannot lead to the present moment. To explain the current state of existence, there must be a first cause—one without a beginning and not dependent on anything else.
  3. Difference in Essence: Beings like humans and the universe exhibit change and decay, indicating their dependence on external causes. This requires a fundamentally different origin—something that is uncaused, unchanging, and self-existent. This aligns with the concept of God as a necessary being.
  4. Rational Evidence: If humans and everything else lacked a beginning, the universe would lack the principles of causation and change. However, what we observe is a world governed by cause-and-effect relationships and constant change, affirming the necessity of a foundational, uncaused origin.
Thus, not everything can exist without a beginning. The nature of created things inherently depends on causation, unlike a necessary being like God, who exists independently and eternally.
 
Erick ni wa huko na Iman yao ila na mimi nina Imani yangu juu ya Mungu wangu kama wajapani walivyo na Imani yao juu ya huyu m-ngu wao. Mazingira ya ukuaji na tamaduni zetu kama ambavyo haziko sawa basi nami namna ya kumuelekea Mungu wangu haiwezi kuwa sawa na wao.
Ukishaleta hapa jukwaani kutuhubiria unakuwa umevuka mipka ya imani unless ufanye hivyo ukiwa kanisani.

Leta uthibitisho kuonesha huyo Mungu wako yupo.
 
Mleta mada wewe huamini miungu 16,999 iliyoundwa na binadamu tokea kale.

Mimi siamini miungu yote 17,000 iliyoundwa na binadamu.

Si unaona hatutofautiani sana?😊

Basi tuishi kwa amani na upendo, tusibaguane wala kutishiana. Maisha yenyewe mafupi mno.
Kwa nini Maneno aliyosema Mungu ili kututahadharisha na hatari iliyoko mbele yetu yanaitwa vitisho?
 
Ukishaleta hapa jukwaani kutuhubiria unakuwa umevuka mipka ya imani unless ufanye hivyo ukiwa kanisani.

Leta uthibitisho kuonesha huyo Mungu wako yupo.
Ukileta udhibitisho kuonyesha kuwa hayupo nami nitaleta udhibitisho kuonesha kuwa yupo.
Ukishaleta hapa jukwaani kutuhubiria unakuwa umevuka mipka ya imani unless ufanye hivyo ukiwa kanisani.

Leta uthibitisho kuonesha huyo Mungu wako yupo.
 
Back
Top Bottom