Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Sasa huo uthibitisho mnatudai sie sio Mungu, hivyo ndio maana mie nawauliza ni kwa njia gani unadhani Mungu anapaswa kuthibitishwa? Sasa ukisema hujui halafu hapo hapo unadi huo uthibitisho huoni inakuwa inaonyesha hilo ni tatizo maana unaweza ukaukataa uthibitisho kwa sababu kwanza haujui unafananaje.
Ndio maana hayo mambo yakaitwa ya kiimani tu na kuna imani tofauti zaidi ya 2000 tatizo nyie mnalazimisha yawe ya uhakika wakati ni imani tu.
 
Itokee mababu au isitokee hizo ni imani tu nazina rithiwa kwa mapokeo tu .
Ndio nakwambia hata wewe kutoamini Mungu sio jambo jipya ni misimamo tu ambayo umeikuta na unaifuata tu kama ambavyo zipo imani na watu hufuata. Umezaliwa umekuta teyari tangu mababu na mababu huko watu walikuwa hawaamini Mungu. Na ndio maana utaona atheist nao wanatoka huko na kuamini Mungu japo walikuwa wanakazana kusema hakuna uthibitisho kama wewe.
 
The fact that an almighty God and all powerful God needs Humans to speak for him and defend him, Proves his non-existence.

If the theists all shut up, God would be speechless.
 
Ndio nakwambia hata wewe kutoamini Mungu sio jambo jipya ni misimamo tu ambayo umeikuta na unaifuata tu kama ambavyo zipo imani na watu hufuata. Umezaliwa umekuta teyari tangu mababu na mababu huko watu walikuwa hawaamini Mungu. Na ndio maana utaona atheist nao wanatoka huko na kuamini Mungu japo walikuwa wanakazana kusema hakuna uthibitisho kama wewe.
Hivi ndio umethibitisha au unabwabwaja tu
 
Ndio maana hayo mambo yakaitwa ya kiimani tu na kuna imani tofauti zaidi ya 2000 tatizo nyie mnalazimisha yawe ya uhakika wakati ni imani tu.
Tatizo sio hilo bali tatizo ni nyinyi kujiwekea msimamo wa kwamba hamkubali kuamini na kuchukulia imani moja kwa moja ni uongo, hilo ndio tatizo hivyo tatizo sio sisi muda wote tunatamka kuw tunaamini.
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.

Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.

2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).

Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.

Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.

Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Mthibitishe huyo Mungu yeye kama yeye.

Sio kutumia mambo au vitu ambavyo tayari vipo kwenye existence vyenyewe, Kufosi kwamba viliumbwa na huyo Mungu wako wa kufikirika.

Thibitisha uwepo wa huyo Mungu, yeye kama yeye.
 
Tatizo sio hilo bali tatizo ni nyinyi kujiwekea msimamo wa kwamba hamkubali kuamini na kuchukulia imani moja kwa moja ni uongo, hilo ndio tatizo hivyo tatizo sio sisi muda wote tunatamka kuw tunaamini.
Unahisi kwa nini napaswa kuamini na sio kujua?
 
Biblia inaeleza mambo mengi kuhusu Mungu. Na Biblia imeandikwa na wanadamu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Kwa maneno mengine, ukisoma Biblia utajua habari za Mungu na unaweza kuwaelezea wengine wasiomjua Mungu.
Biblia na maandiko ya namna yake ni uongo na uzushi mtupu.
Wewe unakaaje na kuamini mtu anayekaa anaandika kitabu halafu anakuletea story za mungu kumuagiza?
Yaani out of nowhere mtu analeta misemo na majina kama roho, mara roho mtakatifu nawe unaamini?

Mtu mwenyewe anathibitishaje kama roho au kitu chochote chenye uungu kilimuongoza kwenye uandishi wake?
 
Hebu nipe mfano wa aina huo ya uthibitisho mkubwa, kwamba mfano muonyeshwe huyo Mungu huko aliko mumuone kwa macho wazi wazi au kwa aina gani huo uthibitisho mkubwa wa wazi?
Okay

Nikikuambia kuwa nina vidole 10 kwenye mikono yote miwili, unaweza kuniamini bila hata kuhoji swali.

Lakini nikikuambia mbali na hivyo vidole 10, nina vidole viwili vya ziada kwenye kila mkono.

Pengine utashangaa na huwenda ukaamini labda i'm just born different.

Lakini nikaja na hii

Nikasema nina macho matatu kwenye paji la uso na kwenye kisogo so nauwezo wa kuona vision zote katika nyuzi 360.

Halafu nikakutumia na hii picha kama uthibitisho

1735592850027.jpeg


Je utakuwa satisfied na huo uthibitisho?

Bila shaka hautorudhika na ushahidi wa aina hiyo na utaomba ushahidi mwingine.

Kwa hiyo kadri unavyozidi kuelezea vitu ambavyo sio vya kawaida ndivyo jinsi ambavyo utahitaji kutoa uthibitisho mkubwa zaidi ku prove madai hayo.

The more extraordinary the claim, the more extraordinary the evidence that is required to demonstrate it.
 
Biblia na maandiko ya namna yake ni uongo na uzushi mtupu.
Wewe unakaaje na kuamini mtu anayekaa anaandika kitabu halafu anakuletea story za mungu kumuagiza?
Yaani out of nowhere mtu analeta misemo na majina kama roho,Ara roho mtakatifu nawe unaamini?

Mtu mwenyewe anathibitishaje kama roho au kitu Chochote chenye uungu kilimuongoza?
Ni kuamini tu mkuu
 
Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:

1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.
This is a logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

You have to prove the existence of that God as he himself. You should not use things which are already in existence to prove the existence of your fictional God.

First prove the existence of that God as he himself.
Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.
Logical non sequitur.
2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).
Logical non sequitur.
Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.

3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.
Logical non sequitur.
Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.

4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.
Logical non sequitur.
Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.

5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).

Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.

6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.

Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.

7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.

8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.

Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.

9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.

10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!

Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.

Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.

Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.

Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
All of these are logical non sequitur.

You need mental rehabilitation therapy.

You need an urgent brain 🧠 reset.

You need to restore your brain to factory settings.
 
This is a logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

You have to prove the existence of that God as he himself. You should not use things which are already in existence to prove the existence of your fictional God.

First prove the existence of that God as he himself.

Logical non sequitur.

Logical non sequitur.

Logical non sequitur.

Logical non sequitur.

All of these are logical non sequitur.

You need mental rehabilitation therapy.

You need an urgent brain 🧠 reset.

You need to restore your brain to factory settings.
huyo jamaa inafaa athibitishe huo uwepo wa huyo mungu maana kaleta janja janja
 
Okay

Nikikuambia kuwa nina video 10 kwenye mikono yote miwili, unaweza kuniamini bila hata kuhoji swali.

Lakini nikikuambia mbali na hivyo vidole 10, nina vidole viwili vya ziada kwenye kila mkono.

Pengine utashangaa na huwenda ukaamini labda i'm just born different.

Lakini nikaja na hii

Nikasema nina macho matatu kwenye paji la uso na kwenye kisogo so nauwezo wa kuona vision zote katika nyuzi 360.

Halafu nikakutumia na hii picha kama uthibitisho

View attachment 3188949

Je utakuwa satisfied na huo uthibitisho?

Bila shaka hautorudhika na ushahidi wa aina hiyo na utaomba ushahidi mwingine.

Kwa hiyo kadri unavyozidi kuelezea vitu ambavyo sio vya kawaida ndivyo jinsi ambavyo utahitaji kutoa uthibitisho mkubwa zaidi ku prove madai hayo.

The more extraordinary the claim, the more extraordinary the evidence that is required to demonstrate it.
Good
 
The fact that an almighty God and all powerful God needs Humans to speak for him and defend him, Proves his non-existence.

If the theists all shut up, God would be speechless.
Wapi Mungu kamuhitaji binaadamu kwa lolote? Kwamba kwa sababu wewe unasema hayupo basi yeye huko ajioneshe kwa watu kuwa yupo ili wewe uthibitishe uwepo wake ili iweje sasa?

Ipo hivi mkuu, suala la Mungu ni la imani na si bahati mbaya bali ndio alivyotaka, hivyo kuwepo wasioamini haiwezi kuwa ajabu ni lazima iwe hivyo maan kuamini ni hiari.
 
huyo jamaa inafaa athibitishe huo uwepo wa huyo mungu maana kaleta janja janja
Athibitishe uwepo wa huyo Mungu, yeye kama yeye.

Sio aanze kufosi kwamba vitu vilivyopo ulimwengu vimeumbwa na huyo Mungu wa kufikirika.

Kwanza amthibitishe huyo Mungu.
 
Sasa huo uthibitisho mnatudai sie sio Mungu, hivyo ndio maana mie nawauliza ni kwa njia gani unadhani Mungu anapaswa kuthibitishwa? Sasa ukisema hujui halafu hapo hapo unadi huo uthibitisho huoni inakuwa inaonyesha hilo ni tatizo maana unaweza ukaukataa uthibitisho kwa sababu kwanza haujui unafananaje.
Maana yake ni kwamba Mungu angekuwepo hata wewe ungeweza kujua ni aina gani ya uthibitisho naoutaka.

Kwasababu angeweza kujua ni uthibitisho upi ambao kwa upande wangu mimi ningekuwa satisfied na kuweza kukupa wewe ufunuo wa kuweza kuujua.
 
Back
Top Bottom