Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Huyo Mungu hayupo.Wapi Mungu kamuhitaji binaadamu kwa lolote? Kwamba kwa sababu wewe unasema hayupo basi yeye huko ajioneshe kwa watu kuwa yupo ili wewe uthibitishe uwepo wake ili iweje sasa?
Ni wewe tu unahangaika kufosi aonekane yupo.
Kuamini unaweza kuamini hata uongo.Ipo hivi mkuu, suala la Mungu ni la imani na si bahati mbaya bali ndio alivyotaka hivyo kuwepo wasioamini haiwezi kuwa ajabu ni lazima iwe hivyo maan kuamini ni hiari.
Sasa tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi kwamba imani yako ina ukweli?