min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mhm ukalale sasa nafikiri 🤫Hao waliokuzaa wametoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm ukalale sasa nafikiri 🤫Hao waliokuzaa wametoka wapi?
Amen. Sifa kwa Yesu. Mimi nimeona miujiza mingi ya uponyaji.Kuna ndugu yangu alikuwa anaishi kijijini anaumwa VVU Yan UKIMWI na anatumia vidonge zaidi ya mwaka na alikuwa na hofu ya Mungu sanaa siku Moja alipo pita nyumban kwenda kuchukua dawa kama kawaida usiku tulimuomba Mungu .na asubuh aliomba sana.. alipo enda hospital akapima hakakutwa Hana kabisa virus vya UKIMWI..ashukuliwe Bwana Yesu ndie alimponya ...
Mhm ukalale sasa nafikiri
Kwa nini unahisi kuna umuhimu wa kutokea wapi?Hamna twende pole pole, hao waliokuzaa wamezakiwa sio?, na hao waliowazaa wazazi wametoka wapi ? Ok process hio hio inaanzia wapi?
Okay tufanye binadam katokea wapi?
I'm not interested in religion politics
Nataka uthibitisho
Umuhimu umeuleta wewe kwasababu umesena umezaliwa, means kutokea.Kwa nini unahisi kuna umuhimu wa kutokea wapi?
Kulingana na biblia hapo kuhusu watoto wa middle east kuuliwa inatokana na yy hawezi ku.intervine na yy mwenyewe karuhusu suffering..deaths akiwa na sababu zake kama njia ya wao kumbukumba kristo..kupima imani na kuokoa wengine ambao hawamuamini...mimi binafsi concept ya free will, siielewi mkuu. tuchukulie mfano pale middle east serikali ya netanyahu inashusha kombola mpaka hospitali na kuua watoto walio icu, hapa free ipo kwa netanyahu peke yake au hadi hawa watoto?
Binadamu wanazaliana , kama viumbe wote wanavyofanya , hivi umesoma ulichouliza kweli au una fikiri unachojibu tu?Umuhimu umeuleta wewe kwasababu umesena umezaliwa, means kutokea.
Watakuja na evolution theory......Mimi nliwaambia something cannot come from. Nothing ni evidence tosha ....Hamna twende pole pole, hao waliokuzaa wamezakiwa sio?, na hao waliowazaa wazazi wametoka wapi ? Ok process hio hio inaanzia wapi?
Okay tufanye binadam katokea wapi?
Wanapimwa imani watoto wachanga au wazazi wao au wote?Kulingana na biblia hapo kuhusu watoto wa middle east kuuliwa inatokana na yy hawezi ku.intervine na yy mwenyewe karuhusu suffering..deaths akiwa na sababu zake kama njia ya wao kumbukumba kristo..kupima imani na kuokoa wengine ambao hawamuamini...
he promises suffering wil not be forever
Soma Biblia. Hakuna aliyewahi kumuona Mungu akaishi. Mungu ni mkuu sana. Mimi nimeona matendo yake makuu. Aliyoyasema katika Biblia nimeyathibitisha wazi wazi. Kwa mfano amesema "Ombeni nanyi mtapewa" Niliomba nipate mtoto wa kiume baada ya kupata watoto wa kike mfululizo, akanipa wa kiume. Niliomba nipate pesa za kulipa deni benki nikapata kwa muujiza. Magonjwa mengi ameniponya baada ya kumuomba.Uliwahi kumuona wap huyoo munguu wewe
Hayo yote yanatokea watu wamkumbuke Mungu na ana sababu zake kwanini anaruhusu hayo yatokeeeWanapimwa imani watoto wachanga au wazazi wao au wote?
swali nililouliza hujajibu mkuuHayo yote yanatokea watu wamkumbuke Mungu na ana sababu zake kwanini anaruhusu hayo yatokeee
Mbona nakuelewa sana, kuna point naitafuta tu kutoka kwako.Binadamu wanazaliana , kama viumbe wote wanavyofanya , hivi umesoma ulichouliza kweli au una fikiri unachojibu tu?
Ndio utaweza kuthibitisha Mungu yupo nikupe hiyo point ?Mbona nakuelewa sana, kuna point naitafuta tu kutoka kwako.
Everything happens with a reason in this world na hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya as a smart guy you can connect the dotsswali nililouliza hujajibu mkuu
Ndio utaweza kuthibitisha Mungu yupo nikupe hiyo point ?
mimi sio smart mkuu ndo maana nauliza. jibu kama halipo unasema tu hapo sinauelewa.Everything happens with a reason in this world na hakuna kitu kinatokea kwa bahati mbaya as a smart guy you can connect the dots