Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

You have explained the works done by that God but we don't need that.

We need to understand the meaning of God first, and then what His/Her/It's origin is?

If we know what God's origin is, Then we'll accept those works were done by Him/Her/It.
Understanding the concept of God begins with recognizing that God, by definition, is eternal and uncreated—beyond human comprehension of origin. The works of God, including creation and the laws of nature, reveal His nature and power, which is independent of any origin as He exists outside time. Instead of focusing on trying to define His origin, I invite you to experience His presence and recognize His works as evidence of His existence and divine nature.
 
Kama kuna uwezekano wa kuwa na kitu ambacho hakina mwanzo, kwanini binadamu na kila kilichopo kisiweze kutokuwa na mwamzo? Thibitisha hili.
Mtaalam mmoja wa kirusi ambaye hakuwa anaamini uwepo wa Mungu, aliulizwa kuwa kama hukuna Mungu ambaye ni muumbaji, mwanadamu alitokeaje?
Akasema kuwa mwanadamu ni matokeo ya evolution ya wanyama kama sokwe na nyani.

Akaulizwa, na hao sokwe walitokea wapi? Akasema ni lutokana na cells na oxegen.

Akaulizwa, hiyo cell na hiyo oksijeni, vilotokea wapi? Akajibu:

There must had been a supernatural power, without which nothing could be done. Wanateolojia wakamwambia kuwa hiyo supernatural power, is what we call GOD.

Wanadamu kuna mengi tusiyoyajua kuhusu MUNGU na vitu vingi vinavyotuzunguka, lakini yalemachacheyaliyofunguliwa kwetu, yanatosha kutuongoza na kutufanya tutembee kwenye njia ya Bwana. Tumshukuru Mungu kwa kutufanya kuwa miongoni mwa waliojaliwa kumfahamu.
 
Binadamu yupo tu wala hakuna chanzo chake kwa sababu sio lazima kila kitu kiwe na chanzo ila kila kitu kipo kwenye cycle tu. Haya nimekusaidia jibu.
Kila kitu kina chanzo leta mfano wa kitu ambacho hakuna chanzo
 
Soma Biblia. Hakuna aliyewahi kumuona Mungu akaishi. Mungu ni mkuu sana. Mimi nimeona matendo yake makuu. Aliyoyasema katika Biblia nimeyathibitisha wazi wazi. Kwa mfano amesema "Ombeni nanyi mtapewa" Niliomba nipate mtoto wa kiume baada ya kupata watoto wa kike mfululizo, akanipa wa kiume. Niliomba nipate pesa za kulipa deni benki nikapata kwa muujiza. Magonjwa mengi ameniponya baada ya kumuomba.
Sasa ulifanya kazi au ulilala ukapata hivyoo vyote
 
Mtaalam mmoja wa kirusi ambaye hakuwa anaamini uwepo wa Mungu, aliulizwa kuwa kama hukuna Mungu ambaye ni muumbaji, mwanadamu alitokeaje?
Akasema kuwa mwanadamu ni matokeo ya evolution ya wanyama kama sokwe na nyani.

Akaulizwa, na hao sokwe walitokea wapi? Akasema ni lutokana na cells na oxegen.

Akaulizwa, hiyo cell na hiyo oksijeni, vilotokea wapi? Akajibu:

There must had been a supernatural power, without which nothing could be done. Wanateolojia wakamwambia kuwa hiyo supernatural power, is what we call GOD.

Wanadamu kuna mengi tusiyoyajua kuhusu MUNGU na vitu vingi vinavyotuzunguka, lakini yalemachacheyaliyofunguliwa kwetu, yanatosha kutuongoza na kutufanya tutembee kwenye njia ya Bwana. Tumshukuru Mungu kwa kutufanya kuwa miongoni mwa waliojaliwa kumfahamu.
Mimi naongezea maswali aliyoulizwa huyo mrusi , Mungu katokea wapi?
 
Watakuja na evolution theory......Mimi nliwaambia something cannot come from. Nothing ni evidence tosha ....
Kweli , watasema oh God origin ni ipi yani asiyeonekana wanataka kujua origin yake

Sasa na mimi nimeaauliza wao wanaonekana wanipe material iliyotumika kuunda upepo unaowapuliza ? 😹
Ok wanipe material inayounda dam , iwe katka process 1 to the final, wakishindwa basi ni VILAZA TU.
 
Kweli , watasema oh God origin ni ipi yani asiyeonekana wanataka kujua origin yake

Sasa na mimi nimeaauliza wao wanaonekana wanipe material iliyotumika kuunda upepo unaowapuliza ? 😹
Ok wanipe material inayounda dam , iwe katka process 1 to the final, wakishindwa basi ni VILAZA TU.
Mnafarijiana tu hapo
 
Kweli , watasema oh God origin ni ipi yani asiyeonekana wanataka kujua origin yake

Sasa na mimi nimeaauliza wao wanaonekana wanipe material iliyotumika kuunda upepo unaowapuliza ? 😹
Ok wanipe material inayounda dam , iwe katka process 1 to the final, wakishindwa basi ni VILAZA TU.
😅Huo ni uvivu wa kutomkubali kristo
#team.mpinga kristo
 
Back
Top Bottom