Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Msiyoyajua msiyaache, Mkazane kuyafuatilia kwa kina ili mpate kujua ukweli.Aiseeee tusiyoyajua tuyaache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiyoyajua msiyaache, Mkazane kuyafuatilia kwa kina ili mpate kujua ukweli.Aiseeee tusiyoyajua tuyaache
Pole sana kwa hali unayopitia, Inaonekana umechoka sana.
Ningependa upate muda kupumzika.
Haya mambo tulzaliwa tukapata na tutakufa tuyaache kama yalivyo?!Msiyoyajua msiyaache, Mkazane kuyafuatilia kwa kina ili mpate kujua ukweli.
Sahihi, Hata hivyo mara nyingi, maswali magumu hutuongoza kwenye kutafakari kwa kina na ugunduzi mpya.Thanks
Lakini maswali memgine ni beyond ata mwanadamu kuweza kufikiri unajua...?!
Hapo kwenye kutafakari one can also think wrong aje kutupotoshaSahihi, Hata hivyo mara nyingi, maswali magumu hutuongoza kwenye kutafakari kwa kina na ugunduzi mpya.
Akili imekua Overwhelmed mpaka you can't think anymore.Hali ipi naipitia lkini?!
Kwanini sio Mwakatobe 3:33?Ndiyo. Yeremia 33:3
Wote tumejikuta tuko ulimwenguni tu, Hakuna anayejua tumetokea wapi.Haya mambo tulzaliwa tukapata na tutakufa tuyaache kama yalivyo?!
Let's live a life 🤍
That's true, Hata hao walioleta dini kupitia hizo books claimed to be spiritual books Huenda walifikiri wrong na wamefanikiwa kupotosha watu, How do we know?Hapo kwenye kutafakari one can also think wrong aje kutupotosha
Naunga mkono...umewai kujiuliza where you could be by now if you never existedWote tumejikuta tuko ulimwenguni tu, Hakuna anayejua tumetokea wapi.
Akitokea mtu anayeclaim anajua, Bhasi lazima ayajibu maswali yetu yote ili nasi tupate kujifunza.
From where is that something (Mungu) arised from? As something cannot arise from nothing!Something cannot arise from nothing..
I'm in dilemmaThat's true, Hata hao walioleta dini kupitia hizo books claimed to be spiritual books Huenda walifikiri wrong na wamefanikiwa kupotosha watu, How do we know?
He is uncreatedFrom where is that something (Mungu) arised from? As something cannot arise from nothing!
OK. Kwa ufupi, Mungu ni Muumba wa mbingu na dunia. Yeye ni mmoja tu, mwenye nguvu zote, upendo usio na kipimo, na mwenye haki. Mistari hii ya Biblia itakusaidia zaidi kujua Mungu ni nani:Nahitaji majibu sasahivi.
Mungu ni nani? Ni nini?
😇😇 Hili swali ni gumu mno asee!Naunga mkono...umewai kujiuliza where you could be by now if you never existed
Umezishika amri? Usizini,usiibe, usishuhudie uongo, usitamani😁Wale wasioamini kwamba Mungu yupo, someni kwa makini sababu hizi 10 zinazothibitisha uwepo wa Mungu. Asiyeelewa lugha iliyotumika atumie google translator, itampa tafsiri ya Kiswahili:
1. Orderly Laws of Nature
Science reveals that the universe operates under unchanging natural laws, such as gravity, planetary motion, and the speed of light. This order suggests the presence of a supreme Designer(God) who established and sustains these principles.
Scientific Example: Einstein's equation, E=mc², demonstrates the precise balance between energy and matter, pointing to an intelligently structured universe.
2. Fine-tuning of the Universe
Fundamental constants like gravitational force, the mass of electrons, and the expansion rate of the universe are finely calibrated to support life. Such precision implies an intelligent Creator(God).
Scientific Example: The "Anthropic Principle" highlights that slight changes in these constants would make life impossible.
3. Origin of Life
Life depends on DNA, a highly complex system containing detailed genetic instructions. The existence of such intricate "code" raises the question of who or what authored it - God.
Scientific Example: DNA stores billions of instructions in a microscopic structure, functioning like sophisticated software.
4. Human Consciousness
Human abilities like reasoning, dreaming, and moral awareness transcend physical processes, suggesting a higher source of intellect and soul - God.
Scientific Example: Science has yet to explain how biological impulses alone could produce self-awareness.
5. Moral Laws
Universal moral values shared across cultures reflect an inherent sense of right and wrong, hinting at a moral Lawgiver(God).
Scientific Example: The consistency of moral principles across societies, regardless of cultural differences, supports the argument for a universal source.
6. Fossil Records
The fossil record shows a progression of life forms in a way that suggests a purposeful plan rather than random evolution.
Scientific Example: The absence of transitional "missing links" in the evolutionary chain supports the concept of creation.
7. Origin of the Universe
The Big Bang theory indicates that the universe had a beginning, prompting the question: What or who caused it? God. Scientific Example: The law of cause and effect states that everything with a beginning must have a cause.
8. Beauty and Order in Nature
The natural world displays remarkable beauty and order, from ecosystems to galaxies, suggesting intentional design. Who designed? God.
Scientific Example: Photosynthesis is a highly complex and efficient process vital for life, reflecting intelligent planning.
9. Complexity of the Human Brain
The human brain is one of the most intricate systems known, capable of reasoning, creativity, and problem-solving at an unparalleled level. Who created it? God.
Scientific Example: The brain’s trillions of neurons enable advanced functions such as learning and memory.
10. Personal Experiences
Millions of people testify to spiritual experiences that affirm the existence of God. I am one of them. While not strictly scientific, such testimonies are impactful due to their transformative effects on individuals. I was under the bondage of sin, but now I am set free!
Scientific Example: Studies on prayer and faith have shown positive effects on mental and physical health.
Kama kuna mtu bado tu anahitaji uthibitisho zaidi ya huo, asubiri siku ya hukumu ambapo kila goti litapigwa mbele za Mungu. Ila wakati huo itakuwa "too late" kuamini kwamba Mungu yupo.
Wasioamini watatupwa katika moto wa milele. Wanaoamini wataingia mbinguni katika raha ya milele.
Tusikubali shetani atupotoshe. Yeye anajua Mungu yupo na anajua mbingu ipo. Shetani ameishahukumiwa kwenda motoni ndio sababu anajaribu kutushawishi tusiamini ili tuangamie pamoja naye. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
Sounds crazy lkini😇😇 Hili swali ni gumu mno asee!
Huenda Watu wote uliowahi kuwa nao wasingekua wanajua chochote kuhusu wewe na lazima pia vitu vyote ullivyowahi kuvifanya maishani mwaki visingeweza kuwa vimefanyika kamwe.
Infact, Taharifa yeyote kuhusiana na wewe isingekuwepo ni Sawa na Formated data.
I understand you, I know this topic sounds tough.I'm in dilemma
Much tough 😤I understand you, I know this topic sounds tough.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU, taratibu ataokoka huyoOK. Kwa ufupi, Mungu ni Muumba wa mbingu na dunia. Yeye ni mmoja tu, mwenye nguvu zote, upendo usio na kipimo, na mwenye haki. Mistari hii ya Biblia itakusaidia zaidi kujua Mungu ni nani:
Kama unapenda Mungu akuokoe sawa sawa na andiko hilo la Yn 3:16 fuatisha sala hii kwa dhati:
- Mwanzo 1:1: "Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia."
- 1 Yohana 4:8: "Mungu ni upendo."
- Isaya 45:5: "Mimi ni Bwana, hakuna mwingine, hakuna Mungu mwingine ila Mimi."
- Mfalme 1:18: "Bwana ni Mungu wa wote, na hakuna mwingine ila Yeye."
- Yeremia 10:10: "Bali Bwana ni Mungu wa kweli; Yeye ni Mungu aliye hai, Mfalme wa milele."
- Yohana 4:24: "Mungu ni Roho, na wale wamwabuduo Yeye lazima wamwabudu katika roho na kweli."
- Isaya 46:9: "Kumbukeni mambo ya zamani, maana mimi ni Mungu, wala hakuna mwingine, mimi ni Mungu, wala hakuna kama mimi."
- Yohana 3:16. "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila aaminiye katika Yeye asipotee, bali awe na uzima wa milele."
Omba hivi:
"Ee Mungu, nimetambua wewe ni nani. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Naamini wewe ndiye uliyeniumba na wewe ndiye uliyemtuma Yesu aje duniani atuokoe. Naamini kuwa Yesu ni Bwana na Mwokozi wetu. Nampokea Yesu sasa hivi kwa imani ndani ya moyo wangu atawale maisha yangu kuanzia leo. Katika Jina la Yesu Kristo. Amen"
Kama umeomba sala hiyo kwa dhati. Mungu amekusamehe na sasa unayo ahadi ya kuingia katika uzima wa milele. Ili ujifunze zaidi habari za Mungu na kazi zake, jiunge na kanisa lolote linalokiri wokovu na kufundisha utakatifu. Mungu akubariki. Nakutakia heri ya mwaka mpya.