Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Kocha Fahdu na Jean Charles Ahoua ndio walioiua Simba leo, Ahoua yuko slow, mchoyo na hajui kupiga faulo, kila nikitoa maoni mnatukana leo mmeona
2. Jean Charles Ahoua kama ndio MVP ligi ya kwao basi Ditram Nchimbi ana uwezo wa kucheza soka Ivory Coast
3. Kama Simba ingecheza na timu nzuri leo tungeongea mengine jioni wala sio sare
4. Uchezaji wa timu uko slow sanaaaa tofauti na Simba ile ya kasi
5. Joshua Mutale mpelekeni Ken Gold huko
6. Augustine Okajepha nakubali ni kiungo wa maana kabisa
7. Hivi chasambi na Karabaka hata leo mechi mbovu kabisa mmeshindwa kuwapanga?
8. Leonel Ateba Mbida anashindwa kufunga kwa sababu Ahoua mbinafsi sana
9. Kila mchezaji leo alikuwa anacheza kivyake wala hakukuwa na mfumo wowote
10. Mikoani kugumu sana, kocha wetu anaweza kudondosha point kizembe kabisa kama hatobadilika na mbinu zake za mwaka 1970.
11 Mwisho wa yote Simba haina mafia nje ya uwanja, leo wametegwa na wakategeka, mpango ulianzia Dodoma na bado wataendelea kutupiga pini
12. Nina uhakika tutashika nafasi ya 2 tena msimu huu kwa kocha huyu mchovu.
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
2. Jean Charles Ahoua kama ndio MVP ligi ya kwao basi Ditram Nchimbi ana uwezo wa kucheza soka Ivory Coast
3. Kama Simba ingecheza na timu nzuri leo tungeongea mengine jioni wala sio sare
4. Uchezaji wa timu uko slow sanaaaa tofauti na Simba ile ya kasi
5. Joshua Mutale mpelekeni Ken Gold huko
6. Augustine Okajepha nakubali ni kiungo wa maana kabisa
7. Hivi chasambi na Karabaka hata leo mechi mbovu kabisa mmeshindwa kuwapanga?
8. Leonel Ateba Mbida anashindwa kufunga kwa sababu Ahoua mbinafsi sana
9. Kila mchezaji leo alikuwa anacheza kivyake wala hakukuwa na mfumo wowote
10. Mikoani kugumu sana, kocha wetu anaweza kudondosha point kizembe kabisa kama hatobadilika na mbinu zake za mwaka 1970.
11 Mwisho wa yote Simba haina mafia nje ya uwanja, leo wametegwa na wakategeka, mpango ulianzia Dodoma na bado wataendelea kutupiga pini
12. Nina uhakika tutashika nafasi ya 2 tena msimu huu kwa kocha huyu mchovu.
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024