Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila sio fountain gate kuwa na kikosi nusu. sababu foreign players wote awakucheza. sema na kocha wa fountain gate ni tapeli. kipa mfupi. hii simba ni mbovu. sema najua wapi mwisho wenu Tripoli 13 September,
Kama vital o tuFountain Gate ni mbovu sana..haiwezi kuwa kipimo sahihi kwa simba,
“SIMBA WAMEIFUNGA FOUNTAIN GATE FC B MAANA WACHEZAJI WA KIKOSI CHA KWANZA WAMEKOSA LESENI” @issambuzi_tz Afisa Habari wa Fountain Gate FC baada ya kukandwa na Simba 😂😂😂😂🎥 @tvetanzania #mwamuziwakatiKama vital o tu
Kuweni na shukrani jamani, kweli leo Chama ni wa kumnanga kwamba ana kiguu kibovu?6 na 11 nimependa. 6 nimecheka mno na 11 umefafanua vizuri sana kama vile ni mchambuzi huru. Nina wasiwasi Mavambo ataondoka mapema sana kwenda Ulaya.
Ova
Lol! Amekosea sana. Analeta mambo ya Yanga wanavyomnanga Mayele. Sio poa kwa kweli.Kuweni na shukrani jamani, kweli leo Chama ni wa kumnanga kwamba ana kiguu kibovu?
Binadam wabaya sana!
Huu uswahili haukupendezi b…, nikimjua aliyekufundisha atanikoma.Lol! Amekosea sana. Analeta mambo ya Yanga wanavyomnanga Mayele. Sio poa kwa kweli.
Ova
Mkiifunga nyie sawa... ikifungwa na Simba aaaah!.team mbovu ile bhana, tuwe serious
Hivi hizo issue za lesseni mnazijua nyie tuu wachambuzi uchwara au hata TFF wanazijua? Timu iko ligi kuu inajua nini cha kufanya. Timu isilaumu wengine kwa matatizo yake yenyewe!.“SIMBA WAMEIFUNGA FOUNTAIN GATE FC B MAANA WACHEZAJI WA KIKOSI CHA KWANZA WAMEKOSA LESENI” @issambuzi_tz Afisa Habari wa Fountain Gate FC baada ya kukandwa na Simba 😂😂😂😂🎥 @tvetanzania #mwamuziwakati
![]()
45.950 Aufrufe · 836 Reaktionen | “SIMBA WAMEIFUNGA FOUNTAIN GATE FC B MAANA WACHEZAJI WA KIKOSI CHA KWANZA WAMEKOSA LESENI” @issambuzi_tz Afisa Habari wa Fountain Gate FC baada ya kukandwa na Simba 😂😂😂😂🎥 @tvetanzania #mwamuziwakati | Oscar Nickson N
“SIMBA WAMEIFUNGA FOUNTAIN GATE FC B MAANA WACHEZAJI WA KIKOSI CHA KWANZA WAMEKOSA LESENI” @issambuzi_tz Afisa Habari wa Fountain Gate FC baada ya kukandwa na Simba 😂😂😂😂🎥 @tvetanzania #mwamuziwakati.www.facebook.com
Ligi hyoKupiga mabomu machwari mshaanza kuandika vitabu 🤣🤣
16. Wachezaji wa kigeni wa singida fountain gate hawakucheza, reasons best know by TFF, (TFF wanasababu nzuri zaidi).1. Kipa wa Simba ana utulivu sana ni moja ya makipa bora kabisa ambao Simba msimu huu tunajivunia
2.Abdulrazak Hamza nimewaona akina Costa, Deo Njohole, Nico Bambaga wakati fulani akicheza namba nne, hata marehemu Method Mogella, Juma Limonga, Fikiri Magoso, Godwin Aswile, Mustafa Hoza, Juma Nyosso, ila dogo huyu ana utulivu sana ila aongeze spidi anapozidiwa mbio
3.Mzamiru Yassin hana uwezo wa kumweka benchi Yussuf Kagoma wala Augustine Okajepha, tunakosa kumaliza mchezo mapema kwa sababu yake, mechi tuliyofungwa na Yanga ni yeye alijisahau wakati Dube anagongeana Max Nzengeli, kila mechi na Yanga anachomesha yeye, namba 6 haiwezi, kwa sasa anapaswa kucheza dakika 10 za mwisho.
4.Yussuf Kagoma ndugu zanguni ni mtu makini sana, leo ndio mchezo wake wa kwanza lakini amedhihirisha kuwa Mwigulu Nchemba yuko nyuma ya matukio sana, pengine majukumu yamembana.Huyu kama Okajepha haanzi basi aanze yeye na sio Mzamiru.
5.Che Malone Fondoh ni kitasa kweli kweli ila aongeze umakini anajisahau sahau kidogo
6.Debora Mavambo Fernandez kila mtu ameona, kumlilia au kumkumbuka Chama na kiguu chake kibovu ni ulofa wa kiwango cha Chuo Kikuu.Huyu mtu aliyemsajili Mungu ambariki sana.
7.Valentino Mashaka ni mzuri lakini ajitahidi kupunguza uzito, anafunga mabao lakini uzito unamwelemea sana.
8.Fabrice Mwamba Ngoma aambiwe aongeze mazoezi mara 10, Kagoma na Okajepha ni habari nyingine
9.Jeans Charles Ahoua ameanza kujitafuta kidogo kidogo, aambiwe kazi yake sio kufunga ni kumlisha Mukwala, kufunga iwe Coincidence tu.
10.Kama Fahdu leo angemwenzisha Kagoma namba sita tangu mwanzo, nane Fernandes, 10 Awesu, wallahi Fountain Gate leo angeliwa 10.
11.Tofauti kubwa ya Simba na Yanga iko hivi, Yanga wanamtegemea sana Aziz Ki, jamaa ana uwezo mkubwa wa soka, amekamilika haswa mwanaume huyu sio masihara, Yanga wanapata taabu sana Aziz Ki akiwa nje, akiingia mambo yanabadilika sana, sisi Simba baada ya kuondoka Chama hilo halipo tena, timu imejengwa kama system vile, ukiondoka wewe mtu yupo.Yaani mchezaji anafanyiwa sub sio kwamba kachoka hapana, sub inafanyika kwa sababu wenzako wanataka nao kucheza.
12.Kocha Fahdu aendelee kuelekeza wachezaji waongeze Pressing maana kule Libya shughuli yake sio ndogo, tunahitaji kujipanga ili kuvuka makundi
Soma Pia: FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
13.Mukwala ni mshambuliaji hatari sana, movement zake, vurugu, control, balance zinaonyesha ni mtu kuliko Fredy, kinachotakiwa ni Ahoua akipata mpira amwangalie tu yuko wapi ili amtemee
14.Kuna jitu halijacheza leo linaitwa Ateba, ngojeni liingie siku moja muone balaa lake
15.Wana Simba we have a good, good team, we have the quality players, tuamini mchakato, msibishane nao, hao akina Mzengeli, Chama, Pacome, Aucho umri umewatupa mkono hao.
Kwa Chasamabi umenigusa na mimi. Huyo dogo ndio favorite player wangu katika timu ya Simba. Sijui kwa nini Kocha anamwacha nje.Namba 2 nakukatalia, bado tuna mechi nyingi za kudhiilisha uwezo wake.
Mzamiru sijui godfather wake ni nani, Hana utulivu, anapiga mapasi marefu haelewi hii ni Simba siyo yanga ingawa nayo imebadilika.
Kocha awape nafasi kina Chasambi na siyo kukariri wachezaji.
Acha kufananisha Yanga na vitu vya kijinga.1. Kipa wa Simba ana utulivu sana ni moja ya makipa bora kabisa ambao Simba msimu huu tunajivunia
2.Abdulrazak Hamza nimewaona akina Costa, Deo Njohole, Nico Bambaga wakati fulani akicheza namba nne, hata marehemu Method Mogella, Juma Limonga, Fikiri Magoso, Godwin Aswile, Mustafa Hoza, Juma Nyosso, ila dogo huyu ana utulivu sana ila aongeze spidi anapozidiwa mbio
3.Mzamiru Yassin hana uwezo wa kumweka benchi Yussuf Kagoma wala Augustine Okajepha, tunakosa kumaliza mchezo mapema kwa sababu yake, mechi tuliyofungwa na Yanga ni yeye alijisahau wakati Dube anagongeana Max Nzengeli, kila mechi na Yanga anachomesha yeye, namba 6 haiwezi, kwa sasa anapaswa kucheza dakika 10 za mwisho.
4.Yussuf Kagoma ndugu zanguni ni mtu makini sana, leo ndio mchezo wake wa kwanza lakini amedhihirisha kuwa Mwigulu Nchemba yuko nyuma ya matukio sana, pengine majukumu yamembana.Huyu kama Okajepha haanzi basi aanze yeye na sio Mzamiru.
5.Che Malone Fondoh ni kitasa kweli kweli ila aongeze umakini anajisahau sahau kidogo
6.Debora Mavambo Fernandez kila mtu ameona, kumlilia au kumkumbuka Chama na kiguu chake kibovu ni ulofa wa kiwango cha Chuo Kikuu.Huyu mtu aliyemsajili Mungu ambariki sana.
7.Valentino Mashaka ni mzuri lakini ajitahidi kupunguza uzito, anafunga mabao lakini uzito unamwelemea sana.
8.Fabrice Mwamba Ngoma aambiwe aongeze mazoezi mara 10, Kagoma na Okajepha ni habari nyingine
9.Jeans Charles Ahoua ameanza kujitafuta kidogo kidogo, aambiwe kazi yake sio kufunga ni kumlisha Mukwala, kufunga iwe Coincidence tu.
10.Kama Fahdu leo angemwenzisha Kagoma namba sita tangu mwanzo, nane Fernandes, 10 Awesu, wallahi Fountain Gate leo angeliwa 10.
11.Tofauti kubwa ya Simba na Yanga iko hivi, Yanga wanamtegemea sana Aziz Ki, jamaa ana uwezo mkubwa wa soka, amekamilika haswa mwanaume huyu sio masihara, Yanga wanapata taabu sana Aziz Ki akiwa nje, akiingia mambo yanabadilika sana, sisi Simba baada ya kuondoka Chama hilo halipo tena, timu imejengwa kama system vile, ukiondoka wewe mtu yupo.Yaani mchezaji anafanyiwa sub sio kwamba kachoka hapana, sub inafanyika kwa sababu wenzako wanataka nao kucheza.
12.Kocha Fahdu aendelee kuelekeza wachezaji waongeze Pressing maana kule Libya shughuli yake sio ndogo, tunahitaji kujipanga ili kuvuka makundi
Soma Pia: FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
13.Mukwala ni mshambuliaji hatari sana, movement zake, vurugu, control, balance zinaonyesha ni mtu kuliko Fredy, kinachotakiwa ni Ahoua akipata mpira amwangalie tu yuko wapi ili amtemee
14.Kuna jitu halijacheza leo linaitwa Ateba, ngojeni liingie siku moja muone balaa lake
15.Wana Simba we have a good, good team, we have the quality players, tuamini mchakato, msibishane nao, hao akina Mzengeli, Chama, Pacome, Aucho umri umewatupa mkono hao.
Alipokuwa Simba ,Yanga walikuwa wanamwita Mzee😁Kuweni na shukrani jamani, kweli leo Chama ni wa kumnanga kwamba ana kiguu kibovu?
Binadam wabaya sana!
Mashabiki wa yanga wanapenda kusema Simba inajitafuta😂😂Acha kuiweka/fananisha Yanga na timu ambayo bado inajitafuta!