Mambo 15 niliyoyaona Simba ikiiangamiza Fountain Gate leo

Kwa moto ambao simba wameanza nao, nawaona kabisa wakijihakikishia kushika nafasi ya 3
 
ila sio fountain gate kuwa na kikosi nusu. sababu foreign players wote awakucheza. sema na kocha wa fountain gate ni tapeli. kipa mfupi. hii simba ni mbovu. sema najua wapi mwisho wenu Tripoli 13 September,

Huyo kipa si ndiyo alikuwa Ihefu, kuna ile mechi alikaza sana akaja kuwazawadia goli baada ya kumpasia mpira Mayele akiwa nyuma yake. Ni kipa mzuri na anajiamini sana, sijaona ufupi wake kumsumbua.
 
Kama vital o tu
“SIMBA WAMEIFUNGA FOUNTAIN GATE FC B MAANA WACHEZAJI WA KIKOSI CHA KWANZA WAMEKOSA LESENI” @issambuzi_tz Afisa Habari wa Fountain Gate FC baada ya kukandwa na Simba 😂😂😂😂🎥 @tvetanzania #mwamuziwakati
 
6 na 11 nimependa. 6 nimecheka mno na 11 umefafanua vizuri sana kama vile ni mchambuzi huru. Nina wasiwasi Mavambo ataondoka mapema sana kwenda Ulaya.

Ova
Kuweni na shukrani jamani, kweli leo Chama ni wa kumnanga kwamba ana kiguu kibovu?
Binadam wabaya sana!
 
Nikupinge kwasababu sina akili au?!

Heshima kwako.

Kila siku nawaambia raia, hii Simba SC chemistry ikikubali, kocha akajua mchezaji wake bora wa kila nafasi ni yupi, mfano hapo kwa Mzamiru, wajuaji watalia sana.
 
Kupiga mabomu machwari mshaanza kuandika vitabu 🤣🤣
 
Hivi hizo issue za lesseni mnazijua nyie tuu wachambuzi uchwara au hata TFF wanazijua? Timu iko ligi kuu inajua nini cha kufanya. Timu isilaumu wengine kwa matatizo yake yenyewe!.
Msimu uliopita tabora vs Azam, tabora walicheza pungufu but hamkuja na uchambuzi manyaunyau...kaeni kwa kutulia, timu iko ligi kuu na sio championship. 😆
 
16. Wachezaji wa kigeni wa singida fountain gate hawakucheza, reasons best know by TFF, (TFF wanasababu nzuri zaidi).
 
Kwa Chasamabi umenigusa na mimi. Huyo dogo ndio favorite player wangu katika timu ya Simba. Sijui kwa nini Kocha anamwacha nje.
 
Acha kufananisha Yanga na vitu vya kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…