Mambo 15 niliyoyaona Simba ikiiangamiza Fountain Gate leo

Mchezaji wa maana pale Simba ni Debora tu, Kipa wa Simba ana ubora kwa kuweza kutumia miguu vizuri ila akikutana na timu nzuri ni mweupe kwenye one on one.
Ayubu si mzuri mguuni lakini one vs one Yuko mbali sana Kwa Camara.

Rejea Yanga vs Simba, kipa Camara zile one vs one zote zilimshinda, ukianza na Dube, Camara alizidiwa maarifa sema mpira uka gonga mwamba, akaja Max akampiga tobo, akaja Aziz k akalambishwa nyasi, akaja Pacome akalambishwa nyasi.

Kwa ujumla Camara ni mzuri kwenye taiming ya kutoka golini na kucheza mpira kwa miguu yote ila kwenye one vs one ni mweupe kuliko ata Ali Salim.

Kwenye kiungo Cha Simba Debora ni mtamu ila baada ya yeye anayefuatia Mzamiru kwa kuzuia ni Mzamiru alafu kagoma alafu Ngoma.

Kwenye maamuzi ya ushambulizi kutokea kwenye kiungo wa Chini ana Anza Ngoma, Debora na Mzamiru wako sawa kwenye kushanbulia na kagoma wa mwisho.

Namba 10 Ahoa ni kama Saidoo Tena Saidoo ni mzuri zaidi kwakua Ahoa yeye option yake ya kwanza ni kupiga golini na hana shabaha, katika mipira mitano anaweza kulenga Goli mar 2.
Mshambuliaji wa kati hakuna, anahitaji nafasi 3/4 akupe goli.
Nafasi nyingi kama izo atazipata kama mkicheza na timu dhaifu tu.
Kwa ujumla mpaka Sasa Simba si timu ya kugombea Ubingwa ila inaonuweso wa ku maintain nafasi ya tatu.

Mabeki wa kati wote wa Simba Wana Nguvu ila wazito wakikutana na washambuliaji wepesi ni mtihani labda refa aingilie kati kama ilivyotokea katika mechi ya Simba na Yanga.
 
Jipige kifua na ujisemee kuwa ww ni tikiti maji
 
Hizo pasi ndefu ulikuwa huoni zinavyofika kwa Shabalala?
 
SImba ilicheza kama kwenye kideo. Yanga Makopo ameanza kutetemeka. Na hapa bado simba inajitafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…