Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Aishi Manula amebadilika na hasa anapowaiga Mussa Camara na Diarra kutembea na mpira, anastahili mkataba mpya
2. Kapombe jamani amepungua sana kama sio umakini wa Manula leo ingekuwa aibu
3. Valentine Nouma ni mchezaji wa kawaida sana, anachojua yeye ni mashuti tu lakini kukaba zero.
4. Chamou Karaboue apunguze uzito halafu aachane na mpira wa akina Salum Kabunda Ninja au Abdallah Msheli au Juma Nyosso.
5. Hamza ni mzuri lakini ana mapungufu kwanza yuko slow then hana speed
6. Che Malone apunguze utoto atakuja kuigharimu timu hatutamwelewa
7. Yussuf Kagoma ndio aina ya viungo wanaotakiwa, anarusha mipira ya mbali ili mawinga wakimbize, ila ana tabia za Tadeo Lwanga mtupu.
8. Debora Mavambo amefaulu mtihani wote utadhan tulitunga wote.
9. Augustine Okajepha ni aina ya viungo wa kisasa kabisa sijui kocha ana tatizo naye gani?
10. Chasambi anahitaji kucheza zaidi ili kuiletea mafanikio Simba
11. Kibu Denis namkubali sana na ndio tegemeo langu mimi hata kama alizingua kwenye usajili.
12. Valentine Mashaka apunguze uzito awe fiti zaidi.
13. Lionel Ateba ni Joseph Kaniki Golota mtupu.
14. Joshua Mutale ni Issa Kihange mtupu
15. Awesu Awesu ameikosea nini nchi hii hadi anaachwa timu ya Taifa? Yaan akina Mudathir sijui andambwile ndio wamweke benchi Awesu, Hemed Morocco unamkosea sana kiungo huyu mwenye udambwi udambwi mwingi kama enzi zile Michael Paul au Nylon.
2. Kapombe jamani amepungua sana kama sio umakini wa Manula leo ingekuwa aibu
3. Valentine Nouma ni mchezaji wa kawaida sana, anachojua yeye ni mashuti tu lakini kukaba zero.
4. Chamou Karaboue apunguze uzito halafu aachane na mpira wa akina Salum Kabunda Ninja au Abdallah Msheli au Juma Nyosso.
5. Hamza ni mzuri lakini ana mapungufu kwanza yuko slow then hana speed
6. Che Malone apunguze utoto atakuja kuigharimu timu hatutamwelewa
7. Yussuf Kagoma ndio aina ya viungo wanaotakiwa, anarusha mipira ya mbali ili mawinga wakimbize, ila ana tabia za Tadeo Lwanga mtupu.
8. Debora Mavambo amefaulu mtihani wote utadhan tulitunga wote.
9. Augustine Okajepha ni aina ya viungo wa kisasa kabisa sijui kocha ana tatizo naye gani?
10. Chasambi anahitaji kucheza zaidi ili kuiletea mafanikio Simba
11. Kibu Denis namkubali sana na ndio tegemeo langu mimi hata kama alizingua kwenye usajili.
12. Valentine Mashaka apunguze uzito awe fiti zaidi.
13. Lionel Ateba ni Joseph Kaniki Golota mtupu.
14. Joshua Mutale ni Issa Kihange mtupu
15. Awesu Awesu ameikosea nini nchi hii hadi anaachwa timu ya Taifa? Yaan akina Mudathir sijui andambwile ndio wamweke benchi Awesu, Hemed Morocco unamkosea sana kiungo huyu mwenye udambwi udambwi mwingi kama enzi zile Michael Paul au Nylon.