Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Nahitaji kufahami hivi Nina kitambulisho cha nida nahitaji paspot je lazma niwe na cheti cha kuzaliwa? Maana kuna baadhi ya Mambo bdo sjaelewa

NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.

Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.

Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???

Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.

Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.

It is a total wastage of time and resources!

Wahusika lifanyieni kazi hili swala.
 
hakuna ulazima wa kuwa na birth certificate wakati una ID,MAANA HUWEZI PATA ID KAMA HUNA BIRTH CERTIFICATE.na kama umepata ID bila ya kuwa na ID jielewe unaishi ndani ya pithole country.
 
Nahitaji kufahamu, hivi kama nina kitambulisho cha NIDA na nahitaji Passport je lazma niwe na cheti cha kuzaliwa? Maana kuna baadhi ya mambo bado sijaelewa.
Cheti cha kuzaliwa hakina mbadala kama ilivyo cheti cha kifo, hivyo ni lazima uwe nacho.
 
NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.

Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.

Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???

Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.

Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.

It is a total wastage of time and resources!

Wahusika lifanyieni kazi hili swala.
Huyo E- Government kwa Tanzania wanafanya manual hawana mfumo wa kuunganisha taarifa ambao uko tayari hii ikiwa imesababishwa na kauajiri vilaza kwenye mambo nyeti
 
Nilijaribu kwa kuapply Online E pass nikakwama njiani hapa nafikiria nitapataje vyeti vya wazazi wangu haliyakuwa hawajui mwaka,mwezi wala tarehe waliyo zaliwa, ukizingatia namimi Niko mbali na Wazee
 
Nilijaribu kwa kuapply Online E pass nikakwama njiani hapa nafikiria nitapataje vyeti vya wazazi wangu haliyakuwa hawajui mwaka,mwezi wala tarehe waliyo zaliwa, ukizingatia namimi Niko mbali na Wazee
Nenda ofice za wanasheria ukamtengenezee affidavit mmoja ya mzazi,tarehe za kuzaliwa andika mwaka wa fedha yaani tarehe 01 july mwaka kadiria mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu tayarisha kitambulisho cha NIDA, Cheti cha kuzaliwa, cheti cha kuzaliwa cha baba au mama na kama hawana barua ya kiapo inahitajika, 150k. Hayo ndo ya msingi sana. Mengine kama sababu ya safari andaa maelezo then ingia mtandaoni jaza fomu na waibukie uhamiaji kwa kujiamini utapewa kitabu chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa umesahau barua ya mtendaji au ya mwajiri kama umeajiriwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji kufahamu, hivi kama nina kitambulisho cha NIDA na nahitaji Passport je lazma niwe na cheti cha kuzaliwa? Maana kuna baadhi ya mambo bado sijaelewa.
Kurenew tu ili tupate epassport tunaambiwa tupeleke cheti cha kuzaliwa na viambatanisho upya
Nmechoka kabisa nashindwa kuelewa wanakwama wapi
Wasnt i supposed kupeleka hii ya zamani tu.?anyways
Na cost ni 150,000
 
Andaa cheti cha kipaimara, barua ya sheikh au padri, cheti cha shule ya msingi, na cheti cha ndoa kama unacho mengine sio muhimu sana kama unahivo vitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu tayarisha kitambulisho cha NIDA, Cheti cha kuzaliwa, cheti cha kuzaliwa cha baba au mama na kama hawana barua ya kiapo inahitajika, 150k. Hayo ndo ya msingi sana. Mengine kama sababu ya safari andaa maelezo then ingia mtandaoni jaza fomu na waibukie uhamiaji kwa kujiamini utapewa kitabu chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
What if una no ya NIDA na online copy?!
 
Back
Top Bottom