Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Nina
Cheti cha drs la 7
Leaving cert form 4
Cheti cha form four
Leaving cert form six
Cheti cha form six
Cheti cha kipaimara
Cheti cha JKT
Cheti cha chuo
Transcript
Kadi ya CCM
Cheti cha mpigakura
Cheti cha ndoa kanisani
Cheti cha ndoa wilayaChe
Kitambulisho cha taifa
Vyote hivi hawaviamini mpaka niwape cheti cha kuzaliwa cha babu?
Na huna cheti cha chekechea, huna cheti cha ubatizo unaweza kuwa mrundi wewe.
 
Nina
Cheti cha drs la 7
Leaving cert form 4
Cheti cha form four
Leaving cert form six
Cheti cha form six
Cheti cha kipaimara
Cheti cha JKT
Cheti cha chuo
Transcript
Kadi ya CCM
Cheti cha mpigakura
Cheti cha ndoa kanisani
Cheti cha ndoa wilayaChe
Kitambulisho cha taifa
Vyote hivi hawaviamini mpaka niwape cheti cha kuzaliwa cha babu?
Kuna jamaa nawajua ni watu wa taifa fulani kusini mwa Tz. Tumesoma nao vidudu,mafundisho,primary, secondary, wakaenda UD sasa hivi wanafanya kazi kwenye taasisi za serikali.

Hivyo vyeti vyako vyote ulivyotaja wanavyo na si waTz
 
Muda mzuri wa kuchukua passport ilikuwa before deadline ilikuwa unaipata ndani ya wiki kama umekamilika. Ila sasa hivi cha moto mtakiona.

Mimi niliipata ndani ya wiki tu, nilijaza online nikaupload documents zao wanazotaka humo humo online.

Muhimu uwe na NI card, birth certificate, cheti cha mzazi au affidavit. Ukiwa na hivi vitu zoezi ni jepesi sana
 
Muda mzuri wa kuchukua passport ilikuwa before deadline ilikuwa unaipata ndani ya wiki kama umekamilika. Ila sasa hivi cha moto mtakiona.

Mimi niliipata ndani ya wiki tu, nilijaza online nikaupload documents zao wanazotaka humo humo online.

Muhimu uwe na NI card, birth certificate, cheti cha mzazi au affidavit. Ukiwa na hivi vitu zoezi ni jepesi sana
Ukiwa na pesa passport unaletewa nyumbani
 
Muda mzuri wa kuchukua passport ilikuwa before deadline ilikuwa unaipata ndani ya wiki kama umekamilika. Ila sasa hivi cha moto mtakiona.

Mimi niliipata ndani ya wiki tu, nilijaza online nikaupload documents zao wanazotaka humo humo online.

Muhimu uwe na NI card, birth certificate, cheti cha mzazi au affidavit. Ukiwa na hivi vitu zoezi ni jepesi sana

Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Nadhani hakuna idara ya serikali ambayo ime improve utendaji kazi wake kama Uhamiaji. Yes kuna urasimu (kama ofisi nyinginezo za serikali). Lakini kiukweli huyu mama Dr. Makakala, amejitahidi mno. Ukienda kuomba passport una kila kitu..njia ziko VERY straight forward. Ukifika utapewa namba na utahudumiwa. Mtu kutoa hela UHAMIAJI ni kwa sababu either anataka apate within two or three days or ana magumashi kiaina. Otherwise normal process ya passport ni wiki mpaka wiki mbili.

Kwa hili naomba nimpongeze Mkurugenzi wa Uhamiaji na team ya wafanyakazi wake. Katika ofisi zote za serikali naamini hii inaweza kuwa miongozi mwa zile chache sana..ambazo zinajitahidi na zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa ku-improve huduma kwa wateja.


Hongereni sana Umamiaji.


NB: Hili la NIDA mlifanyie kazi kama liko ndani ya uwezo wenu.
 
Hali yangu ya ombi inaonesha passport imechukuliwa,ndo kumaanisha iko tayari au?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.

Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.

Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???

Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.

Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.

It is a total wastage of time and resources!

Wahusika lifanyieni kazi hili swala.
Naona Brela wamejitahidi kulink na Database za nida huko unaweka namba taarifa zako muhimu zinakuja kwenye web yao,

Wengine ni ajira portal ile web nayo system yao pia itakuwa ina query dat kutoka Nida,

Pamoja na TRA pia.. wamelink na nida

Sasa uhamiaji , watu wa system wanakwama wapi?
Maana yake wakiweza kulink
Basi mtu anayejaza ,akiweka NIN tu
Taarifa zote zinajijaza automatically
Kuanzia jina , dob, yani zile info zote zitakazo hitajika
 
Back
Top Bottom