Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Mambo 15 ya kufanya kupata hati mpya ya kusafiria

Nimesoma comments zote sijaona wale jamaa wa "nifuate PM nikuunganishe"
 
Kwa uzoefu wangu binafsi wa kujaza fomu za maombi haya online nafahamu ya kua lazima uwe na kitambulisho nida cheti cha kuzaliwa au kiapo cha kuzaliwa cha kwako then kuwe na cheti chakuzaliwa cha mzazi mmoja wapo au kiapo chake, barua ya utambulisho serikali ya mtaa, barua yako binafsi ya ombi, na vithibitisho vya safari kutokana na dhumuni lako la safari..
Nahitaji kufahamu, hivi kama nina kitambulisho cha NIDA na nahitaji Passport je lazma niwe na cheti cha kuzaliwa? Maana kuna baadhi ya mambo bado sijaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.

Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.

Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???

Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.

Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.

It is a total wastage of time and resources!

Wahusika lifanyieni kazi hili swala.
Lau Masha ndivyo alitaka owe yaani serikali mtandao chadema wakamchakachua wakishirikiana team ya wapigaji wa Richmond mpango mzima ukatobangwa
 
Ni lazima , kuna number kwenye cheti inaitwa entry
Ni ya muhimu sana bila hivyo utakwama tu

sent from toyota Allex
 
Hili jambo nalo la ajabu mno. Kupata kadi ya NIDA, nilijaza form iliyohitaji maelezo yote muhimu.Mpaka fingerprints. Sasa kwa nini isiwe ukitaka passport, unawapa migration card ya NIDA, wanapata habari zote na fingerprints kutoka NIDA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wazee hawajui wamezaliwa lini uliza age mate wake ambaye miaka yake inajulikana then chukua huo mwaka. Tarehe huwa naona wanaweka 01 na mwezi June kwa wasio jua
Nilijaribu kwa kuapply Online E pass nikakwama njiani hapa nafikiria nitapataje vyeti vya wazazi wangu haliyakuwa hawajui mwaka,mwezi wala tarehe waliyo zaliwa, ukizingatia namimi Niko mbali na Wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.

Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.

Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???

Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.

Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.

It is a total wastage of time and resources!

Wahusika lifanyieni kazi hili swala.
Mkuu unachosema ni muhimu sana. Changamoto ni kua hao watu wa e-Govt. bado ni Wakala, taasisi changa na ndiyo sheria ya kuwafanya mamlaka imesainiwa lakini bado hawajatangazwa kwa kauli ya Waziri. Kwahiyo hata wanaposhauri taasisi zibadilishane taarifa au kuunganishwa muitikio bado ni mdogo kwasababu baadhi ya watu wanaona taasisi zikiungwa au kufutwa vibarua vyao vinakua ukingoni...siyo jambo rahisi kihivyo...pia hii sajili ya harakaharaka (kanyaga twende) huweza kusababisha ukawa na taarifa mamluki ambazo mbeleni zikaja kuigharimu nchi...Pia kuna wakati hizi taasisi za serikali haziaminiani...kila mtu anaona data zake ndiyo safi (anaogopa kuchukua za mwenzie kwa kuhisi yawezekana zina walakini)...ni safari ni ndefu inahitaji maamuzi ya dhati kutoka juu kwa kuanzia na kuwafanya wawe mamlaka ili wanachosema kiwe ni maelekezo na si ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao tena, nina passport kubwa still lazima niwe na hcho ktambulisho what for...! watataka mpaka cheti cha bibi ake shangazi na cha mtoto wa mama mdogo wake
 
Mi nimechkua passport juzikati bila cheti cha kuzaliwa yule afisa wa uhamiaji hata haongei na wewe.....muhimu kuwa na kila kitu wanachohitaji ikiwezekana ongeza na documents za ziada. Kikipungua kitu hata kimoja wanakurudisha....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheti cha kuzaliwa hakina mbadala kama ilivyo cheti cha kifo, hivyo ni lazima uwe nacho.
Nina
Cheti cha drs la 7
Leaving cert form 4
Cheti cha form four
Leaving cert form six
Cheti cha form six
Cheti cha kipaimara
Cheti cha JKT
Cheti cha chuo
Transcript
Kadi ya CCM
Cheti cha mpigakura
Cheti cha ndoa kanisani
Cheti cha ndoa wilayaChe
Kitambulisho cha taifa
Vyote hivi hawaviamini mpaka niwape cheti cha kuzaliwa cha babu?
 
Mrema anashangaaga inji hii!!! Cheti cha kuzaliwa kina jina la mama yako (biological mother) lakini unaambiwa ulete cheti cha kiapo affidavit! Halafu kama Office za NIDA kuna dawati la uhamiaji kwa nini kusiwe na dawati la RITA?
 
Huyo E- Government kwa Tanzania wanafanya manual hawana mfumo wa kuunganisha taarifa ambao uko tayari hii ikiwa imesababishwa na kauajiri vilaza kwenye mambo nyeti
Kwa sasa naona TRA na NIDA ni kitu kimoja
 
Mm nauliza hivi kama mfano mtu ambaye passport yake.ya zaman iliungua moto bahat mbaya na akaja kushtukia tayari ni.majivu je mtu huyu anaweza je kupatiwa passport mpya? Na je ikiwa namba za ile iliyoungua anazo huyu mtu atapewa passport yenye namba ingine ama ile ile?
Passport mpya zina namba tofauti na za zamani.
 
Back
Top Bottom