Na huna cheti cha chekechea, huna cheti cha ubatizo unaweza kuwa mrundi wewe.Nina
Cheti cha drs la 7
Leaving cert form 4
Cheti cha form four
Leaving cert form six
Cheti cha form six
Cheti cha kipaimara
Cheti cha JKT
Cheti cha chuo
Transcript
Kadi ya CCM
Cheti cha mpigakura
Cheti cha ndoa kanisani
Cheti cha ndoa wilayaChe
Kitambulisho cha taifa
Vyote hivi hawaviamini mpaka niwape cheti cha kuzaliwa cha babu?
Mkuu KKKT hawatoi cha ubatizo. Ninpicha tu mnapiga baadae mnakula ubwabwa na eeh umepatia. Na nyamaNa huna cheti cha chekechea, huna cheti cha ubatizo unaweza kuwa mrundi wewe.
Hiyo picha inahitajika uhamiaji sasa kama uthibtisho.Mkuu KKKT hawatoi cha ubatizo. Ninpicha tu mnapiga baadae mnakula ubwabwa na eeh umepatia. Na nyama
Taarifa zipi?Niulize swali, hivi ''deadline'' ya hizi pasipoti za kijani ni tarehe 31 Januari 2020? Kama ni sahihi, je ninaweza kupata wapi taarifa hizi wa vile nazihitaji sana.
Nimejaribu kuangalia https://www.immigration.go.tz/index.php/en/ sijaona chochote.
Kuna jamaa nawajua ni watu wa taifa fulani kusini mwa Tz. Tumesoma nao vidudu,mafundisho,primary, secondary, wakaenda UD sasa hivi wanafanya kazi kwenye taasisi za serikali.Nina
Cheti cha drs la 7
Leaving cert form 4
Cheti cha form four
Leaving cert form six
Cheti cha form six
Cheti cha kipaimara
Cheti cha JKT
Cheti cha chuo
Transcript
Kadi ya CCM
Cheti cha mpigakura
Cheti cha ndoa kanisani
Cheti cha ndoa wilayaChe
Kitambulisho cha taifa
Vyote hivi hawaviamini mpaka niwape cheti cha kuzaliwa cha babu?
Ukiwa na pesa passport unaletewa nyumbaniMuda mzuri wa kuchukua passport ilikuwa before deadline ilikuwa unaipata ndani ya wiki kama umekamilika. Ila sasa hivi cha moto mtakiona.
Mimi niliipata ndani ya wiki tu, nilijaza online nikaupload documents zao wanazotaka humo humo online.
Muhimu uwe na NI card, birth certificate, cheti cha mzazi au affidavit. Ukiwa na hivi vitu zoezi ni jepesi sana
Za pasipoti za zamani kutotumika tena baada ya 31 Jan 2020Taarifa zipi?
HazitatumikaZa pasipoti za zamani kutotumika tena baada ya 31 Jan 2020
Muda mzuri wa kuchukua passport ilikuwa before deadline ilikuwa unaipata ndani ya wiki kama umekamilika. Ila sasa hivi cha moto mtakiona.
Mimi niliipata ndani ya wiki tu, nilijaza online nikaupload documents zao wanazotaka humo humo online.
Muhimu uwe na NI card, birth certificate, cheti cha mzazi au affidavit. Ukiwa na hivi vitu zoezi ni jepesi sana
Naona Brela wamejitahidi kulink na Database za nida huko unaweka namba taarifa zako muhimu zinakuja kwenye web yao,NCHI YANGU MIMI NI NGUMU KUIELEWA. WANAOIELEWA MNISADIE.
Hivi mtu umepambana na maform kibao mpaka ukapata ID ya NIDA, kwa akili yangu ndogo, nilijua huo usajili utakidhi mahitaji yote popote utakapohitaji usajili kusudi upewe huduma ya serikali. Kama Uhamiaji wanataka record zangu kwa nini wasilink moja kwa moja na NIDA? Uhamiaji wanatakiwa kuniita pale ambapo kuna mkanganyiko wa habari au wanataka/wana maswali kuhusu uraia wangu. Lakini hii inabidi iwe specific. Case by case.
Sasa huyo mtu/idara ya E-GOVERNMENT KAZI YAKE NI IPI HASWA???
Hata hii ya TCRA, mtu kama una kitambulisho cha NIDA (na tunafanya usajili kwa alama za vidole), ya nini kuhangaisha watu kwamba wakasajiliwe upya? Kiukweli hii bureaucracy ndo inasababisha upigaji wa pesa za serikali kwa sababu records za NIDA zingekuwa zinafanya kazi sehemu zote ambapo usajili unahitajika.
Siamini kwamba serikalini hakuna watu wenye akili kiasi hiki.
It is a total wastage of time and resources!
Wahusika lifanyieni kazi hili swala.