Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

Wamkingie kifua kwa maslahi gani? Uyatimbe afu wengine wakukingie kifua?

Tumsapoti mtu aliyeisapoti Uganda wakati wa vita na TZ?

Ukiyatibua unapambana na hali yako kila mtu anabeba msalaba wake.
Kumbe mnataka kutawaliwa na wazungu????hakika hizi nchi kamwe hazitofikia maendeleo ya kweli mpaka kiyama
 
Hizi propaganda zinazunguka kila siku ila nothing could be further from the truth.

Kuna nchi zinakula matunda zaidi ya hayo zipo shwari na viongozi wao hawakuguswa, kwanini yeye?

Moreover, Muamar aliuwawa kwa mikono ya watu wake kabisa that speaks volume. Watu wake wangekua wa kwanza kumkingia kifua sio nchi zingine zisizohusika.

Muamar alisapoti matukio kadhaa ya kigaidi, alikiri na kulipa fidia Google is free y'all can Google it.
Eti Google!!!!!ni ujinga tu wa waafrika uliopitiliza hayo yaliyopo huko Google ameyaweka nan???hakika maneno ya Trump yalikuwa sahihi kabsa kuwa hizi ni nchi takataka na zinahitajika kuendelea kutawaliwa
 
Gadaf alistahili kifo hayo unayosema yaliwezekana kwasababu Libya ilikuwa na idadi ndogo ya watu na mauzo makubwa ya mafuta.

Hakuna kitu cha ajabu hapo hata mtu mjinga angepewa kuongoza Libya angefanya.

Gadaf alimsaidia Nduli Idd Amin katika vita ya Kagera.Kama wewe ni Mtanganyika halisi huwezi kumsifu mtu aliyesaidia kuuwa ndugu zetu.
Chuki zako wala hazitokufikisha popote,kama kufa kila mmoja ataonja hicho kikombe hata awe nan?????hizi vurugu nyingi duniani chanzo kikubwa ni hawa wanaojita wastaarabu kumbe uhalisia ni washenzi wakubwa wasiojali haki za wengine
 
hapa wagalatia lazima wakupinge, chochote kinachotokana na muislamu wao ni chuki tu
 
Daaah sasa kwa mazuri hayo bado raia wakaingizwa chaka na Marekani waka muua raisi wao so sad aisee
na wameingizwa chaka kweli na sasa hivi wanaipata joto ya jiwe. Mmarekani amewaruka kuleeee, na huku anaendelea kunyonya mafuta yake kiulaini kabisa.
 
Moreover, Muamar aliuwawa kwa mikono ya watu wake kabisa that speaks volume. Watu wake wangekua wa kwanza kumkingia kifua sio nchi zingine zisizohusika.
oooooh really? hao watu si ndiyo waliopewa fedha na marekani kumuondoa? Hivi unafiki wa nchi za magharibi (siyo zote) kama Ufaransa na Marekani unadhani ni mchezo?

Walifanya nini Iran walipotaka kumuondoa Waziri Mkuu ambae alipingana nao kuhusu faida inayopatikana kwenye mafuta yote kwenda magharibi badala ya kubali Iran? Waliwapa fedha wananchi wakafanya maandamano na kumuondoa yule Waziri Mkuu na kumuweka yule Reza kibaraka wao ambae alikuja kuondolewa na Ayatollah.

Na walifanya nini Congo kwa Patrice Lumumba? Unashangaa ya Gaddafi?
 
Eti Google!!!!!ni ujinga tu wa waafrika uliopitiliza hayo yaliyopo huko Google ameyaweka nan???hakika maneno ya Trump yalikuwa sahihi kabsa kuwa hizi ni nchi takataka na zinahitajika kuendelea kutawaliwa

Spewing nonsense. Nawewe kaweke yako ukanushe.

Gaddafi alisapoti, kufadhili na kufanikisha ugaidi. Yeye mwenyewe alikiri na kulipa fidia. Docs ziko mahakamani Scotland, German ukitaka fika ujisomee.

Ukiyatimba unapambana na hali yako hamna mtu wa kukusaidia kwenye ujinga wako.

Gaddafi aliuwawa na watu wake wenyewe ungeanza kwanza kujiuliza kwanini watu wake walimuua badala ya kumtetea na kumlinda, wewe mtu wa Chitipa una uchungu kuliko walibya wenyewe waliomtoa roho.
 
Sasa nguvu kazi ilitoka wapi kama mfano waoka mikate kama mikate 40 ni pesa hiyo less than one doller kuna umuhimu gani wa mimi kufanya kazi sasa wakati kuna uwezekano wa kupata fedha kirahisi tu upo kwanini nifanye kazi
Kwa takwimu hizi nilitegemea libya ingeongoza duniani kuajiri wageni kwenye sekta karibu zote nguvu kazi ingetoka nje ya nchi yao
Lakini sijawahi kusikia connection za kwenda libya enzi za gadafi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mnataka kutawaliwa na wazungu????hakika hizi nchi kamwe hazitofikia maendeleo ya kweli mpaka kiyamaha

Hatutaki mizungu, miarabu wala Gaddafi mwenyewe.

Mtu aliyeisapoti Uganda wakati wa vita ya TZ na Uganda. Mtu aliyesapoti ugaidi na kulipa fidia kwanini tumtetee?

Walibya wenyewe walimchoka na kumuua ndo sisi tumsapoti. Acheni uzwazwa
 
Mabeberu hawakupenda.
Duh kumbe nayo yana wivu hawapendi maendeleo yetu?
Basi hawana tofauti na wachawi.

Ila hata hivyo hakuwa na watetezi huyo marehemu ambao wangemkingia kifua kwa mazuri yote hayo aliyowafanyia?

Binadamu ni anafiki sana sio wa kuwaamini kabisa kmmq
 
Ghaddafi aliuawa kutokana na kutofautiana maslahi na wazungu pamoja na warabu wenzake kwenye mauzo ya mafuta ,Qatar alikuwa akieneza propaganda ya kumuondoa ghaddafi kwa walibya kwa kutumia Chombo chake cha habari aljazeera,NATO waliwafadhili waasi wa Libya kwa kuwapa silaha nzito nzito kupitia bandari ya benghazi.Alafu chengine nato walitumia ndege zao za kivita kudhoofisha majeshi ya ghaddafi
 
Ghaddafi aliuawa kutokana na kutofautiana maslahi na wazungu pamoja na warabu wenzake kwenye mauzo ya mafuta ,Qatar alikuwa akieneza propaganda ya kumuondoa ghaddafi kwa walibya kwa kutumia Chombo chake cha habari aljazeera,NATO waliwafadhili waasi wa Libya kwa kuwapa silaha nzito nzito kupitia bandari ya benghazi.Alafu chengine nato walitumia ndege zao za kivita kudhoofisha majeshi ya ghaddafi
Ni kweli haya uliloelezea yana Uhalisia. lakini ukweli ni kwamba Col. Muamar Gaddafi alinga'ang'ania sana madarakani, hakuwa na Succession Plan ya utawala wa nchi yake ya Libya. Hali hii ilitumika kama 'break-through' au 'scape-goat' kwa maadui zake ktk kuuangusha utawala wake uliodumu kwa muda mrefu wa miaka 40 nchini Libya.
 
Mabeberu a.k.a. Majambazi
wa Ulimwengu,hawataki kuona Afrika inakua na kiongozi anayejitambua.Kiongozi yeyote aliyeamua kusimama kwa miguu miwili bila ya woga na kupambania maslahi ya wengi katika nchi yake,huyu ni hatari kwa maslahi yao.Wao wanahitaji viongozi 'idiots' ambao wataimba na kucheza 'nyimbo' za hao wakubwa.Ukiondoa wachache wapigania uhuru,ukaongeza na Sankara,Gaddafi,JPM kwa mbaali sana Kagame,na kwa sasa namuona Ibrahim Traore,Asimi Goita na Abubakar Tiani;hao wengine waliobaki wamejisalimisha kwa Mabeberu.
 
View attachment 2970158

MAMBO 17 YALIYOSABABISHA KUUAWA KWA GADAFFI

1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, means umeme ulikuwa bure kwa raia wote
2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba.
3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake hawatapata nyumba nzuri hadi raia wote wa Libya wawe na makazi. Baba mzazi wa Gadafi amefariki wakati, yeye, mke wake na mama yake wakiishi kwenye hema.
4. Kila mfanyakazi Mpya (Mwajiriwa mpya) nchini Libya alipewa Dola za kimarekani 50,000 ili aanzie maisha.
5. Kabla ya Gadafi, kulikuwa na 25% tu ya raia wa Libya ndio walikuwa na Elimu.
6. Elimu na Huduma za Afya (matibabu) nchini LIBYA zilitolewa bure.
7. Kama Mwananchi wa LIBYA aliyehitaji kujishughulisha na kilimo, alipatiwa ardhi, nyumba, mbegu na mahitaji mengine yaliyohitajika.
8. Iwapo mwananchi wa Libya akishindwa kupata Elimu au Huduma ya Afya ndani ya LIBYA, serikali ilimsafirisha nje ya nchi kwa ajili ya mahitaji hayo, pia alipewa Dola milioni 3 za kimarekani kwa ajili ya gharama .
9. LIBYA, Kila raia wa LIBYA aliyenunua gari, serikali ilimwongezea nusu ya bei ya gari, means kama gari itauzwa sh milioni tano, basi raia alilipia shilingi milioni mili na laki tano na kiasi kingine kinalipwa na serikali.
10. Bei ya Petrol nchini LIBYA ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.14
11. Libya ilikuwa haina madeni ya Nje, ilikuwa haidaiwi na nchi yoyote na ilikuwa imehifadhi dola za kimarekani bilioni 150
12. Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.
13. Sehemu ya mauzo ya mafuta nchini Libya ilipelekwa moja kwa moja kwenye akaunti za benki za kila raia wa LIBYA
14. Kila mwanamke aliyejifungua, alipewa Dola za kimarekani 5,000
15. Gharama ya mikate arobaini ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.15
16. 25% ya raia wa LBYA walikuwa na kiwango cha Elimu cha SHAHADA (a university degree)
17. GADAFFI aliaanzisha mradi mkubwa zaidi kuwai kutokea duniani, mradi wa Umwagiliaji uliojulikana kama MAN- MADE RIVER PROJECT, Mradi uliowezesha upatikanaji wa maji eneo zima la jangwa.
Kama huu uliitwa “UDIKTETA” Basi WANADEMOCRASIA wote watakwenda Motoni
Kipindi hicho Libya haikuwa nchi, ilikuwa ni NUSU PARADISO
 
Alikua mfadhili wa ugaidi duniani. Pia alishirikiana na nduli idd amini kuuwa Watanzania kwenye vita ya Kagera
Alikua gaidi kuliko Marekani?
Vita ya Kagera Tanzania ingeweza kwa namna yeyote kuiepuka...

Siasa za kijinga.. sasa ile vita baada ya kushinda ilitusaidia nini ilikuwa na manufaa yapi?

Hivi hio vita imewekwa hata kwenye syllabus shuleni kuanzia primary, au watoto bado wanasoma maji maji war?
Haikuwa na manufaa ni bora hata hizo vita walipigana wazee kupinga ukoloni...
Manufaa yalikua madogo kuliko faida, ndio maana tumebaki kutazama movies tu, katika analysis hio vita imeturudisha nyuma that's why hata shuleni watoto hawafundishwi kuihusu...


Ujinga tu...
 
Ni Gaddafi sio Gadaffi.
Gaddafi ameuawa kwa sababu moja tu, ujinga na kutokuwepo kwa umoja wa nchi za Afrika, unafiki,ubinafsi, uoga na uzandiki wa nchi za Kiafrika. Walikuwa na uwezo wa kuungana na kumkingia kifua lakini walishindwa.

Kama sababu za kifo chake ni kuwa mzalendo wa nchi yake basi hakuna nchi Afrika itaendelea.
Pia hatukuandamana kumtetea ndugu yetu.
 
Spewing nonsense. Nawewe kaweke yako ukanushe.

Gaddafi alisapoti, kufadhili na kufanikisha ugaidi. Yeye mwenyewe alikiri na kulipa fidia. Docs ziko mahakamani Scotland, German ukitaka fika ujisomee.

Ukiyatimba unapambana na hali yako hamna mtu wa kukusaidia kwenye ujinga wako.

Gaddafi aliuwawa na watu wake wenyewe ungeanza kwanza kujiuliza kwanini watu wake walimuua badala ya kumtetea na kumlinda, wewe mtu wa Chitipa una uchungu kuliko walibya wenyewe waliomtoa roho.
Watu wangap wanatengenezwa na hao wamarekan kisha wanakuja kuvuruga nchi zao????ukiongozwa na misingi ya chuki za kidini ambao weng ndyo wapo hvyo huwezi ona tatizo....lkn ushenzi wa nchi za magharibi ukiongozwa na Marekani haujaanza leo na ugaid basi hakuna anaeweza kuishinda Marekan kwa matendo yake ya kigaidi karibu ulimwengu mzima
 
Back
Top Bottom