Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

Hatutaki mizungu, miarabu wala Gaddafi mwenyewe.

Mtu aliyeisapoti Uganda wakati wa vita ya TZ na Uganda. Mtu aliyesapoti ugaidi na kulipa fidia kwanini tumtetee?

Walibya wenyewe walimchoka na kumuua ndo sisi tumsapoti. Acheni uzwazwa
Kumbe
 
“Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.“ .. basi hakuna ambae angetafuta ajira kama ndo unalipwa salary bure hivi
 

Jirani akikwambia muue baba yako na wewe ukakubali kumuua hapo mjinga ni wewe sio jirani aliyekushawishi. Kama baba yako ni mwema na una akili timamu huwezi kumuua utamkingia kifua.

Gaddafi alikufa mikononi mwa walibya wenyewe. Anything nyie outsiders say is irrelevant, mtawabebesha Marekani lawama zote ila Gaddafi aliuwawa na walibya wenyewe, angekua mwema sana walibywa wangekuwa wa kwanza kumtetea na hadi Leo ni nyie walibya wa ileje mnaomtetea huyo bwana ila walibya wenyewe husikii wakipiga kelele.
 
R.i.P Classmate...😥
Roho bado inaniuma hadi leo kwajinsi ulivyo sulubiwa na wanachi wako ulio wapenda, tena chini ya mtaro wa maji taka..😪
 
R.i.P Classmate...😥
Roho bado inaniuma hadi leo kwajinsi ulivyo sulubiwa na wanachi wako ulio wapenda, tena chini ya mtaro wa maji taka..😪
Kumbe tulikuwa darasa moja na wewe pia, looh. Za siku
 
Sio kweli DOLA 50000 haikuwa inatolewa kwa kila mwajiriwa mpya isipokuwa kwa Usalama wake wa taifa na usilolijua Gadafi alikuwa anazini na mabikira wengi toa upuz
 
HAKIKA NAMCHUKIA GAIDI GADAFI,,, BABU YANGU AKIWA LINDO WAKATI WA VITA YA UGANDA VS TZ AKIWA NA SECTION YAKE WALIPAMBANA NA MAGAIDI WA GADAFI WALIOKUWA WANAWAPELEKEA SILAHA UGANDA NDIPO WALIPOSHIKWA NA BABU YANGU ALIKUWA KIONGOZI SECTION TRAINII NDIPO ALIPOANZA KUWAHOJI MLINZI WA GADAFI AKATAMKA MANENO YAO MNAYAJUA KUSHTUKA BOMU MOJA MATATA ALILOKUWA AMEVAA GAIDI LIKA....
 
Wadanganye watoto, et mwanafunzi apewe dollar million 3 za Marekani? Mgonjwa apewe dollar million 300 za Marekani, asee we jamaa wadanganye watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…