Mambo 20 ya kumuambia mpenzi wako Kila siku

Haya maneno kwa madomo zege na pangu pakavu mchuzi mnuko. Wala kimasihara na wenye hela hakuna maneno mengi.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mbona unajichanganyaa ukishakuwa domo zege maneno ya nini Sasa? Kumbe wanaotanguliza hela ndo madomo zege? au hujui maana ya domo zege? Domo zege ni mtu anayetanguliza pesa kwenye kutongoza! na sijabisha ya kwamba ukianza na maneno matamu pesa haitatumika!
 
Mapenzii nj pesa n maneno na good rude
Madomo zege wanatanguliza pesa, wakati unatakiwa utangulize maneno matamu ili umsome huyo mwanamke yupoje pesa itatumika tu lakini baada au katikati ya maneno matamu.
 
Safi sanaa ndiyo inavyotakiwa mkuu yaani ikiwezekana ukishampata uwe unavaa na chupi zake kabisa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji22]hiyo namba saba tunaomba itazamwe vzr kuna watu watskula vipondo kutoka KWA wake zao
Eti unamwambia wewe SIO mnene akati anajiona kabisa ni kifutu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie nyie haya msisahau mrejesho lakin
 
Unamwambia kimoja kimoja kila baada ya saa moja au unalist vyote afu unamtumia?! Mapenzi nayo kazi km kazi zingine tu [emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…