Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga😂Nimesoma kote sijaona ulipoandika, "Ukiwa na shida(pesa) yoyote nipo kwa ajili yako"
Lakin kabla haujamuambia mwanamke maneno haya ni vizuri umjue mwanamk uliyenaye ni wa aina gani asilimia kubwa haya uliyoyaandika hapa yanapendelewa zaidi na wanawake ambao hawajakuwa kiakiliWakati kijana uko kwenye process ya kutafuta na kujaribu kuuteka moyo wa msichana, unatakiwa kujifunza kutumia maneno matamu. Na lazima ujue kuwa sio kila neno unalotumia litagusa moyo wa mwanamke unayemtaka, Lakini maneno matamu yanafanya kazi ya kushangaza.
Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. Watu wengi pia huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza.
Sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unayempenda na unahitaji awe wako milele;
1. Macho yako ni mazuri, yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama.
2, Unanifanya niwe mwanaume bora, kwa hio nastahili mapenzi yako.
3. Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu.
4. Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.
5. Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea, ghafla nakuwa mtu wa furaha.
6. Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani, lakini umenichagua mimi.
7. Hapana wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo.
8. Ninapokushika nahisi kulegea kwenye magoti.
9. Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako, ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.
10. Siamini, maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.
11. kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda, natamani niwe na wewe milele. yaani usife.
12. Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.
13. Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda, nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.
14. Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.
15. Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia, hapo hupotea kabisaaa.
16. Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.
17. Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.
18. Napata furaha nikiwa na wewe.
19. Napenda kutumia muda na wewe.
20. Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.
Kumsifia mwanamke.Mambo gani?
Hayuko serious kabisaEti!! Unaachaje kipengele cha muhimu namna hiyo[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Anasahauje kipengele muhimu kama hicho lakini?Acha ujinga[emoji23]
🤣🤣🤣 yaani akiyaacha yoote akasema hilo tu kila siku, huchoki kumsikilizaNimesoma kote sijaona ulipoandika, "Ukiwa na shida(pesa) yoyote nipo kwa ajili yako"
Utakuwa mchaga wewe[emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani akiyaacha yoote akasema hilo tu kila siku, huchoki kumsikiliza
Kwanza kila akiongea/andika unajikuta unafall in love zaidi na zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani akiyaacha yoote akasema hilo tu kila siku, huchoki kumsikiliza
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiwa na hela hivo vinakua viceversa dem ndo atakua anakwambia