Mambo 20 ya kumuambia mpenzi wako Kila siku

"Kama malaika wanapaswa kuwepo peponi, sijajua ww unafanya nini hapa duniani"

Nimegundua wanawake wanapenda sana kuongopewa
 
Unaweza Sema yote hayo na usijipe asilimia zote kua uta win NI Mara chache saana mkuu..heading haikawii kubadilika sometimes "Asikwambie mtu tutu..πŸ˜ƒ
 
Lakin kabla haujamuambia mwanamke maneno haya ni vizuri umjue mwanamk uliyenaye ni wa aina gani asilimia kubwa haya uliyoyaandika hapa yanapendelewa zaidi na wanawake ambao hawajakuwa kiakili
 
Hizo maneno zingekuwa kwa kingereza ingekuwa romantic kweli ila kiswahili utakesha,kingereza buana hunogesha penzi mnajikuta tu mnalainikaaa
 
Biyo namba 3 kuhusu tumbo ni tumbo lip walinenea. Yaan mwanaume unachezwa na tumbo? SERIOUSLY?
 
Pamoja na hayo yote uhakikishe unampa ulinzi muda wowote huyo mke wako.

Ulinzi wenyewe siyo kuwa kama baunsa bali uwe financially stable. Muda wote akihitaji pesa ipo. Hakikisha hajui stress ni kitu gani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani akiyaacha yoote akasema hilo tu kila siku, huchoki kumsikiliza
Kwanza kila akiongea/andika unajikuta unafall in love zaidi na zaidi
 
Wanawake hawatabiriki hata kidogo kuna yule anaempa pesa penzi linanoga na kumpa hadi gali ila anakuja namjazia upepo kwenye tairi anamega kisera na pesa anapewa mwanaume mjaza upepo ukiliza kwanini kafanya hivi unambiwa shakaji yule mwenye pesa hayupo romantic ila huyu kapuku akianza kuzungumza haya demu utamsia wanataka pesa sio maneno hawa viumbe ni hatari kama wametoka sayari ya 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…