suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
You are the real MVP. Your woman must be proud.Pamoja na hayo yote uhakikishe unampa ulinzi muda wowote huyo mke wako.
Ulinzi wenyewe siyo kuwa kama baunsa bali uwe financially stable. Muda wote akihitaji pesa ipo. Hakikisha hajui stress ni kitu gani.
Nimecheka[emoji23][emoji23]Sawa maneno matamu, ila inabidi yaende sambamba na pesa, maneno tupu saloon ntaenda na hayo maneno?[emoji23][emoji2088]
Wakati kijana uko kwenye process ya kutafuta na kujaribu kuuteka moyo wa msichana, unatakiwa kujifunza kutumia maneno matamu. Na lazima ujue kuwa sio kila neno unalotumia litagusa moyo wa mwanamke unayemtaka, Lakini maneno matamu yanafanya kazi ya kushangaza.
Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. Watu wengi pia huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza.
Sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unayempenda na unahitaji awe wako milele;
1. Macho yako ni mazuri, yananifanya nipotelee kwako kila nikiyatizama.
2, Unanifanya niwe mwanaume bora, kwa hio nastahili mapenzi yako.
3. Tumbo langu hutetemeka unapoleta mikono yako usoni pangu.
4. Wewe ni mzuri na ni mrembo naogopa hata kukugusa naona kama nitakuchafua.
5. Unapotabasamu huzuni kwangu hupotea, ghafla nakuwa mtu wa furaha.
6. Ungeweza kupata mwanaume yeyote duniani, lakini umenichagua mimi.
7. Hapana wewe sio mnene uko poa na ndivyo nipendavyo.
8. Ninapokushika nahisi kulegea kwenye magoti.
9. Wewe ni rafiki yangu, najifunza vitu vingi kwako, ndiye mtu ambae nimekuchagua, ndio mpenzi wa maisha yangu ni wangu pekee, wewe ndio kila kitu kwangu.
10. Siamini, maana jinsi ulivyo amazing, lakini upo na mimi.
11. kila nikiangalia muda naona kama hautoshi kukupenda, natamani niwe na wewe milele. yaani usife.
12. Umenifanya niamini kuwa zipo nafsi zinazoungana, zinazokutana pamoja.
13. Usiku nikiwa naangalia nyota na kuzilinganisha kila moja ili kuelewa ni kwa nini nakupenda, nilifanya vizuri hatimae nikazikimbia.
14. Kukutana nawe ni kitu ambacho hakijawahi kutokea.
15. Unapoonyesha kunipenda, huwa nazidiwa na hisia, hapo hupotea kabisaaa.
16. Kabla ya kulala ni lazima kwanza nikupigie simu ndio nitapata usingizi.
17. Naweza kuwa nawe maisha yote, lakini bado nahisi kama haitatosha kukupenda.
18. Napata furaha nikiwa na wewe.
19. Napenda kutumia muda na wewe.
20. Napenda ngozi yako laini, ninapoigusa.
Ww ndio unatakiwa utufafanulie ya kweli haya!!!Mbele kabisa pembeni ya dereva [emoji144]
Thank you Suzie_barbie. Mere words won't pay your bills. Right? Nawe una mambo mengi ya kufanya. Hivyo you must be supported financially.You are the real MVP. Your woman must be proud.
Exactly.Sawa maneno matamu, ila inabidi yaende sambamba na pesa, maneno tupu saloon ntaenda na hayo maneno?[emoji23][emoji2088]
Mbele kabisa pembeni ya dereva [emoji144]
Kabisa.....Vijana chukueni madini, wazee tuendelee kujifukiza.....na tusiache barakoa.
Tena ni kivumishi kunachosifia "ukunaji" haujakosea kabisa....upo sawaKabisa.....
Haya manejo ya wakati wa balehe
Wakongwe tukiambiwa "nakupenda" unawaza huyu "mbuzi" kaharibu wapi mpaka anakuja na mahaba haya!!!!
NB
mbuzi:- hiki ni kivumishi cha sifa wenye jinsia yao wasije kunishambulia buuureeeeee)
Future gani wewe.....!!!Andaa future Acha ujinga
Za kuambiwa changanya na zako.....!!!Sasa tushike lipi na tufanye yapi?
Maana wa pesa wanatuambia tutafute pesa usiku kucha wakati hata hatujui wala hatuna uhakika kama zimepotea
Akija wa dini nae anatuambia tukeshe tukiomba na kuswali
Mwalimu naye anatwambia tupige kitabu muda wote hakuna kupumzika
Wa afya nao watwambia tuzingatie mazoezi tumwage jasho kila siku kwa walau dk20
Wa milo nao ndo kabisa wanatuchanganya huyu anasema usikose papai kwenye mlo wako yule anasema tango huyu maziwa mwingine bamia yulekule ubuyu... yaani ilimradi tu
Bado tozo bado kodi bado tamthilia bado kazi bado...
Sasa wewe ndo kabisa unatuvuruga zaidi kutuambia kila siku hayo maneno (kwenye sentensi 20) tudumu nayo kuwaambia wachumba kila siku dah!
Huwezi kuwa serious and busy muda wote, muda mwingine unahitaji ku relax. life is too short to complicate Mambo.....!!!Muda wa hayo yote mnautoa wapi?
Mimi nimevuka ujana nakaribia uzee Sasa[emoji1]Nimezipenda ila vijana mna kazi sana aisee [emoji1][emoji1]