Mambo 20 ya kumuambia mpenzi wako Kila siku

Pamoja na hayo yote uhakikishe unampa ulinzi muda wowote huyo mke wako.

Ulinzi wenyewe siyo kuwa kama baunsa bali uwe financially stable. Muda wote akihitaji pesa ipo. Hakikisha hajui stress ni kitu gani.
You are the real MVP. Your woman must be proud.
 

Andaa future Acha ujinga
 
Mi sinaga huo muda wa kumsomea risala kiumbe niliyekutana naye ukubwani kama namtimizia mahitaji yake hizo mambo nitajichosha bure
 
Vijana chukueni madini, wazee tuendelee kujifukiza.....na tusiache barakoa.
Kabisa.....

Haya manejo ya wakati wa balehe


Wakongwe tukiambiwa "nakupenda" unawaza huyu "mbuzi" kaharibu wapi mpaka anakuja na mahaba haya!!!!


NB
mbuzi:- hiki ni kivumishi cha sifa wenye jinsia yao wasije kunishambulia buuureeeeee)
 
Sasa tushike lipi na tufanye yapi?

Maana wa pesa wanatuambia tutafute pesa usiku kucha wakati hata hatujui wala hatuna uhakika kama zimepotea

Akija wa dini nae anatuambia tukeshe tukiomba na kuswali

Mwalimu naye anatwambia tupige kitabu muda wote hakuna kupumzika

Wa afya nao watwambia tuzingatie mazoezi tumwage jasho kila siku kwa walau dk20

Wa milo nao ndo kabisa wanatuchanganya huyu anasema usikose papai kwenye mlo wako yule anasema tango huyu maziwa mwingine bamia yulekule ubuyu... yaani ilimradi tu

Bado tozo bado kodi bado tamthilia bado kazi bado...

Sasa wewe ndo kabisa unatuvuruga zaidi kutuambia kila siku hayo maneno (kwenye sentensi 20) tudumu nayo kuwaambia wachumba kila siku dah!
 
Kabisa.....

Haya manejo ya wakati wa balehe


Wakongwe tukiambiwa "nakupenda" unawaza huyu "mbuzi" kaharibu wapi mpaka anakuja na mahaba haya!!!!


NB
mbuzi:- hiki ni kivumishi cha sifa wenye jinsia yao wasije kunishambulia buuureeeeee)
Tena ni kivumishi kunachosifia "ukunaji" haujakosea kabisa....upo sawa
 
Za kuambiwa changanya na zako.....!!!
 
We tafuta hela hayo yote huhitaji yasema
 
Mpaka 20 Hakuna pesa,Anasubiria kipengere kinachotataja pesa hakuna...Ukikata simu tu Anapigiwa mwenzio.
 
Watu kumbe wameanza kupoteza muda tokea siku nyingi sana....

Ndio maana umasikini hauishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…